Mkuu hizo ndege ni very expensive! Isitoshe US hawezi kutoa kila ndege,ni kwa ajili ya usalama wake! Ndege kama F22 US haruhusu hata kuiuza nje.Hivi F 16 zina maajabu gani mbele ya taifa kama Russia, si wawape F 22 na F 35?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hizo ndege ni very expensive! Isitoshe US hawezi kutoa kila ndege,ni kwa ajili ya usalama wake! Ndege kama F22 US haruhusu hata kuiuza nje.Hivi F 16 zina maajabu gani mbele ya taifa kama Russia, si wawape F 22 na F 35?
Europe wajichange wawape F 35..Mkuu hizo ndege ni very expensive! Isitoshe US hawezi kutoa kila ndege,ni kwa ajili ya usalama wake! Ndege kama F22 US haruhusu hata kuiuza nje.
Nikiangalia kinachofanyika GAZAUstaarabu upo huo?.....
Urusi hatumii ndege kwenye anga la Ukraine. Zile ndege zake za kisasa Sukhoi-57 zipo chache sana (hazifiki 30) na hazijajaribiwa kwenye uwanja wa mapambano kwa kuogopa kudunguliwaZelensiky ameshawaambia NATO silaha wanazompa hazitoshi kupambana na adui! Kwa mfano hizo F16 40 ni chache kulinganisha na ndege 300 ambazo Russia inazitumia kupambana na Ukraine.
Kakudanganya nani?Urusi hatumii ndege kwenye anga la Ukraine. Zile ndege zake za kisasa Sukhoi-57 zipo chache sana (hazifiki 30) na hazijajaribiwa kwenye uwanja wa mapambano kwa kuogopa kudunguliwa
NATO wanataka sifa; Russia na Ukraine wao wanataka usafi. Umeelewa hapo, au niongeze sauti kidogo?Huu mgogoro nilifatilia ile miezi ya kwanza kwanza tu, russia anataka nini, ukraine anataka nini na nato nao wanataka nini?
Unafurhia uvamizi wa Urusi dhidi ya nchi ndogo jirania ya Ukraine, siyo? Ni kati ya wanaodhani ni kutuniana na West wakati huo ni uvamizi haramu.t isingeisaidia Ukraine, kwa plan ya Putini sassa hivi Ukraine ingekuwa imefutwa kwenye ramani, na wee ungefurahi sana.Kakudanganya nani?
Zipo nyingine bomba ambazo ni nuclear powered chapa ya TUPLOVE!
![]()
Kiev can ‘never’ get enough weapons – Zelensky
Ukraine’s Vladimir Zelensky has urged the West to provide more weapons to Kiev, as NATO leaders hold a summit in the USon.rt.com
You're such a fool. Bila hao NATO Ukraine ingeendelea kuwa nyutro. Nani angemgusa?Unafurhia uvamizi wa Urusi dhidi ya nchi ndogo jirania ya Ukraine, siyo? Ni kati ya wanaodhani ni kutuniana na West wakati huo ni uvamizi haramu.t isingeisaidia Ukraine, kwa plan ya Putini sassa hivi Ukraine ingekuwa imefutwa kwenye ramani, na wee ungefurahi sana.
Yaania na wewe unaamini View attachment 3038808
Umetumia neno kubwa sana kusema I am a fool, isipokuwa nitasema tu kuwa wewe ni mjinga na mpumbavu sana ambaye bado una sumbululiwa na kuamini cold war politics kama Putin ambaye bado anataka kuipata USSR tena, na hata huelewei kuwa chini ya makubaliano ya Budapest Memorandum baada ya kuanguka USSR, nchi za Urusi, Uingereza na Marekani zilipewa jukumu kulinda usalama wa Ukraine kusudi iachie silaha za Nyuklia ilizokuwa nazo.You're such a fool. Bila hao NATO Ukraine ingeendelea kuwa nyutro. Nani angemgusa?
^Kama huwezi kumwona mchokozi halisi katika ugomvi fulani, labda wewe ndiye!^ ~Prof. Alfonso Mansolonni
Hizo F 22 na F 35 hawataweza kufundishika kiwepesi kuzi operate ukizingatia vita ni kama inapamba moto. Ngoja wajaribu hizi F 16Hivi F 16 zina maajabu gani mbele ya taifa kama Russia, si wawape F 22 na F 35?
Huyu Biden kwa sasa anahitaji kupumzika kama wamarekani wanajitambua hafai kuendelea tena kuongoza maana hajitambui anachoongea ana tatizo la kiafya wanasema ana umwa ule ugonjwa alioumwa mzee lowasa.Cha ajabu Biden leo anasema kuwa NATO ifanye bidii kupanua viwanda vyake view kama China, Urusi na Korea Kaskazini.
Sasa unajiuliza mbona wanasema Korea kaskazini ni masikini wanawezaje kuwapita ulaya kwa industrial complex???? Au tunadanganywa sana na media???
Wakimpa nuclear kabla haja itumia atakuwa ameshaangamizwa na Russia.Labda wampe nyuklia laa sivyo ataanza kulialia tena punde
We have to set a New World Order . Hii biashara ya kusema Tanganyika ilikabidhiwa uingereza ife .Umetumia neno kubwa sana kusema I am a fool, isipokuwa nitasema tu kuwa wewe ni mjinga na mpumbavu sana ambaye bado una sumbululiwa na kuamini cold war politics kama Putin ambaye bado anataka kuipata USSR tena, na hata huelewei kuwa chini ya makubaliano ya Budapest Memorandum baada ya kuanguka USSR, nchi za Urusi, Uingereza na Marekani zilipewa jukumu kulinda usalama wa Ukraine kusudi iachie silaha za Nyuklia ilizokuwa nazo.
Wakati Putin anavamia na kujimegea Crimea, Ukraine haikuwa na jeshi kabisa na ilikuwa ni nchi neutral ikiamini yale makubaliano ya Budapest Memorandum. Uingereza na Marekani wanatekeleza makubaliano hayo kwa kuisadia Ukraine, wakati Urusi ndiye aliyevunja makubaliano hayo kwa kuanzisha uvamizi.
Wewe ni Great thinker. Thank youNikiangalia kinachofanyika GAZA
Russia anapigana kistaarabu sana
Tumia tu akili ya kawaida kati ya vita ya Israel na Palestine na vita ya Russia na Ukraine ipi imesababisha vifo vingi na majeruhi mengi
Wakati huo uzingatie na muda wa uanzishwaji wa vita
Baada ya huu mpambano Urusi hata vamia nchi yoyote miaka ya karibuni.Wengi hatufuatilia historia tunabaki kulalama NATO vile NATO hivi.Tunajua kuwa 11% ya Ardhi ya Urus inakopakana Finland ni Ardhi ya Finland Urusi ilibeba kimabavu,mnajua Urusi alipataje kisiwa cha Kalingard ,Mnajua kuwa Urusi anatawala baadhi maeneo ya Georgia baada uvamizi wa 2008.Urusi kwa asili ni mvamizi SuguHizi nchi za NATO tangu vita imeanza wamekua wakitoa silaha na fedha kwaajili ya Ukraine kupambana na Russia 🇷🇺. Leo wametangaza kupeleka ndege vita za kisasa F 16 lakini tuelewe kuwa Ukraine anazo mig ambazo ni Su version ya mrusi na Russia amekua akizilipua na kupiga miundo mbinu ya Ukraine inayosaidia mashambulizi dhidi yake.
Hawa NATO hawajitokezi waziwazi front lakini wapo..
Lengo la andiko hili kwa wasomaji wenzangu na wafuatiliaji wa vita hapa duniani ni kuelezea udhaifu wa nchi ya Ukraine na mtego wa NATO katika hii vita. Kwanza hawajampa uanachama mpaka leo kama target ya Ukraine na ombi lake la muda mrefu.
NATO wapo mguu nje mguu ndani ni kama hawana uhakika je tutashinda hii vita kwa kumsaidia Ukraine? ( ukweli ni kwamba hawawezi kushinda)
Russia amekua akipigana kiustaarabu sana kwa sababu kiuhalisia wayukreini wengi wana asili ya urusi na hawataki hii vita ila maslahi ya marekani na NATO vita hii inachochewa.
Leo uingereza huyu waziri mkuu mpya ametoa agizo kiwa silaha za uingereza ziidhambulie urusi moja kwa moja. Kwa mtazamo wangu sasa putin atafungua ghala la silaha maana ni kama vita ya NATO na Russia imetangazwa rasmi. Lakini atakeumia hapa ni Ukraine na mwisho wa siku Ukraine atabaki kama alivyo hatapewa uanachama wa NATO na atakua koloni la mrusi totally.
View attachment 3038710
Mbona hutaji sababu za Ukraine kuvamiwa kwamba kavunja mkataba walioingia na Russia Kwa kutegemea silaha za msaada zitamsaidia kwahyo anachezea mboko tuKwamba Ukraine angekubali Rais wao kutoka madarani na pia wanajeshi wake wasijibu chochote pindi Russia walipoivamia? Inaingia akilini kweli!!!
Mbona hujamalizia story Yako nini kilitokea 2008, kwa nini Rais wa Ukraine alipinduliwa, na kwa nini kwa miaka 8 Ukraine umekuwa ikiwapiga maboom waukraine wenye asiki ya Urusi huko Donbas, na kwengineko. Ndio utaona kwa nini Urusi imeingia vitaniUmetumia neno kubwa sana kusema I am a fool, isipokuwa nitasema tu kuwa wewe ni mjinga na mpumbavu sana ambaye bado una sumbululiwa na kuamini cold war politics kama Putin ambaye bado anataka kuipata USSR tena, na hata huelewei kuwa chini ya makubaliano ya Budapest Memorandum baada ya kuanguka USSR, nchi za Urusi, Uingereza na Marekani zilipewa jukumu kulinda usalama wa Ukraine kusudi iachie silaha za Nyuklia ilizokuwa nazo.
Wakati Putin anavamia na kujimegea Crimea, Ukraine haikuwa na jeshi kabisa na ilikuwa ni nchi neutral ikiamini yale makubaliano ya Budapest Memorandum. Uingereza na Marekani wanatekeleza makubaliano hayo kwa kuisadia Ukraine, wakati Urusi ndiye aliyevunja makubaliano hayo kwa kuanzisha uvamizi.