NATO itaiponza Ukraine. Leo wametangaza kupeleka ndege vita huko Ukraine

NATO itaiponza Ukraine. Leo wametangaza kupeleka ndege vita huko Ukraine

Umetumia neno kubwa sana kusema I am a fool, isipokuwa nitasema tu kuwa wewe ni mjinga na mpumbavu sana ambaye bado una sumbululiwa na kuamini cold war politics kama Putin ambaye bado anataka kuipata USSR tena, na hata huelewei kuwa chini ya makubaliano ya Budapest Memorandum baada ya kuanguka USSR, nchi za Urusi, Uingereza na Marekani zilipewa jukumu kulinda usalama wa Ukraine kusudi iachie silaha za Nyuklia ilizokuwa nazo.

Wakati Putin anavamia na kujimegea Crimea, Ukraine haikuwa na jeshi kabisa na ilikuwa ni nchi neutral ikiamini yale makubaliano ya Budapest Memorandum. Uingereza na Marekani wanatekeleza makubaliano hayo kwa kuisadia Ukraine, wakati Urusi ndiye aliyevunja makubaliano hayo kwa kuanzisha uvamizi.
Mhe Kichuguu, nashauri uangalie hii video hapa uone nani hasa ni mkorofi kati ya Marekani (NATO) na Mrusi. Then uje tujadiliane. Asante

View: https://www.youtube.com/watch?v=8X7Ng75e5gQ
 
Watu wanaonea huruma nchi za NATO kwenye vita ya 3, vita ikianza China haiwezi kuingia kichwa kichwa, labda Iran , kitakachotokea Rusia atapiga bomu la nyuklia Ukraine na Ukraine ataipiga Rusia kwa msasa wa USA, kwa madhara yatakayotokea kwa pande 2 , wananchi wa Russia na Ukraine wataungana kufanya maandamano ili kuondoa Putin na Zelensky madaraka. Kuna uwezekano pale Ukraine mzigo wa nyukilia utakuwa umeshafika, kila siku Rusia analalamika kuwa NATO wanatengeneza silaha za kibiolojia. Vita ya 3 ya dunia yatabaki maatifa ya Africa, Amerika ya kidini, Asia na Australia, ila Iran lazima aliwe kichwa. Rusia atateketea, Nato atayeketea.
 
Mhe Kichuguu, nashauri uangalie hii video hapa uone nani hasa ni mkofori kati ya Marekani (NATO) na Mrusi. Then uje tujadiliane. Asante

View: https://www.youtube.com/watch?v=8X7Ng75e5gQ

Huyu pamoja na conspiracy theorist mwingine wa University of Chicago wanajulikana sana kwenye circles zinazohusu Policies za Eastern Europe kwamba kila baya linalotokea eastern europe ni kosa la west. Video zao zipo nyingi sana.

Kosa kubwa la west lilikuwa ni lile la kuishauri Ukraine iache silaha zake za Nyuklia ziende Urusi, lakini siyo vita hii. Iwapo Silaha za Nyuklia zilizokuwa Ukraine zingebaki mikononi mwao, Urusi isingefanya uvamizi huo.


Sasa na wewe nasharuri uangalie video hii
View: https://www.youtube.com/watch?v=Wbzf0ix2G5I
 
Nikiangalia kinachofanyika GAZA
Russia anapigana kistaarabu sana

Tumia tu akili ya kawaida kati ya vita ya Israel na Palestine na vita ya Russia na Ukraine ipi imesababisha vifo vingi na majeruhi mengi

Wakati huo uzingatie na muda wa uanzishwaji wa vita
Siyo anapigana kistaarabu Bali huo uwezo hana Kama tulivyodanganywa, hata kutawala anga la Ukraine hawezi, Vita vya ardhini vimekuwa vigumu kwake, huko baharini meli amepeleka mbali baada ya kuzamishwa na Ukraine.
Msituone wote hatuna akili ya kung'amua Mambo wakati ukweli uko bayana.
 
Watu wanaonea huruma nchi za NATO kwenye vita ya 3, vita ikianza China haiwezi kuingia kichwa kichwa, labda Iran , kitakachotokea Rusia atapiga bomu la nyuklia Ukraine na Ukraine ataipiga Rusia kwa msasa wa USA, kwa madhara yatakayotokea kwa pande 2 , wananchi wa Russia na Ukraine wataungana kufanya maandamano ili kuondoa Putin na Zelensky madaraka. Kuna uwezekano pale Ukraine mzigo wa nyukilia utakuwa umeshafika, kila siku Rusia analalamika kuwa NATO wanatengeneza silaha za kibiolojia. Vita ya 3 ya dunia yatabaki maatifa ya Africa, Amerika ya kidini, Asia na Australia, ila Iran lazima aliwe kichwa. Rusia atateketea, Nato atayeketea.
Ganja bana.
 
Cha ajabu Biden leo anasema kuwa NATO ifanye bidii kupanua viwanda vyake view kama China, Urusi na Korea Kaskazini.
Sasa unajiuliza mbona wanasema Korea kaskazini ni masikini wanawezaje kuwapita ulaya kwa industrial complex???? Au tunadanganywa sana na media???
Bidhaa gani za huko korea kaskazini unazozijua za viwandani au kuwauzia siraha akina Iran zile za enzi za soviet era?bora urusi angalau tunaijua michechemeo yake.
 
Nikiangalia kinachofanyika GAZA
Russia anapigana kistaarabu sana

Tumia tu akili ya kawaida kati ya vita ya Israel na Palestine na vita ya Russia na Ukraine ipi imesababisha vifo vingi na majeruhi mengi

Wakati huo uzingatie na muda wa uanzishwaji wa vita
Na vile vile angalia kila upande nani alikuwa mchokozi,ewe putin vaa hata kibaraghashia uwafurahishe hawa watumwa[emoji23]
 
Sasa anapigana vipi kwa kutegemea silaha za msaada? Aachane na mpango wake wa kuwakaribisha maadui wa Russia kwenye mipaka ya urusi. Naamini marekani leo hawezi kuvumilia Iran au urusi awake kambi za jeshi Canada .
Lakini huyo huyo,ndo anataka aziweke milangoni kwa wenzie. Vita ni vita,na kazi ni kuharibu tu si vinginevyo,lakini USA kuishida Russia pale si rahisi. Mrusi nae ana akili na mipango,anasoma nyakati.
Mambo mazito waachie wahusika wenyewe. USA mpaka kuvamia,haikua plan ya siku,wiki au mwezi. Ni maandalizi ya mda mrefu. Kwani,Afghanistan,Libya,na kwingineko, USA hiyo ilifanya nini? Muachane mwanaume akalinde heshima ya nchi yake,hana nyanya za kutekenywa kama waAfrica
 
Hizo F 22 na F 35 hawataweza kufundishika kiwepesi kuzi operate ukizingatia vita ni kama inapamba moto. Ngoja wajaribu hizi F 16
Kwani,una uhakika hiyo USA na mataifa mengine hawana watu humo Ukraine? Kwa nini wachelewe,nani ataenda kukagua ndege na kudai rubani huyu siyo mu Ukraine? Kwanza,USA na washilika wake,wanasogeza matako mlangoni mwa Russia kutafuta nini?! Kama siyo uhasama. Mpaka leo hii,jirani ni rafiki wa lazima. Haya, wamekaribisha hao,wameambulia nini? Mwenye hasara nani? Wote kwanza ni wazungu,acha wauane. Una hasara gani?
 
Back
Top Bottom