NATO itaiponza Ukraine. Leo wametangaza kupeleka ndege vita huko Ukraine

NATO itaiponza Ukraine. Leo wametangaza kupeleka ndege vita huko Ukraine

Hizi nchi za NATO tangu vita imeanza wamekua wakitoa silaha na fedha kwaajili ya Ukraine kupambana na Russia 🇷🇺. Leo wametangaza kupeleka ndege vita za kisasa F 16 lakini tuelewe kuwa Ukraine anazo mig ambazo ni Su version ya mrusi na Russia amekua akizilipua na kupiga miundo mbinu ya Ukraine inayosaidia mashambulizi dhidi yake.

Hawa NATO hawajitokezi waziwazi front lakini wapo..

Lengo la andiko hili kwa wasomaji wenzangu na wafuatiliaji wa vita hapa duniani ni kuelezea udhaifu wa nchi ya Ukraine na mtego wa NATO katika hii vita. Kwanza hawajampa uanachama mpaka leo kama target ya Ukraine na ombi lake la muda mrefu.

NATO wapo mguu nje mguu ndani ni kama hawana uhakika je tutashinda hii vita kwa kumsaidia Ukraine? ( ukweli ni kwamba hawawezi kushinda)

Russia amekua akipigana kiustaarabu sana kwa sababu kiuhalisia wayukreini wengi wana asili ya urusi na hawataki hii vita ila maslahi ya marekani na NATO vita hii inachochewa.

Leo uingereza huyu waziri mkuu mpya ametoa agizo kuwa silaha za uingereza ziishambulie urusi moja kwa moja. Kwa mtazamo wangu sasa putin atafungua ghala la silaha maana ni kama vita ya NATO na Russia imetangazwa rasmi. Lakini atakeumia hapa ni Ukraine na mwisho wa siku Ukraine atabaki kama alivyo hatapewa uanachama wa NATO na atakua koloni la mrusi totally.

View attachment 3038710
Wewe unajua kama wenye NATO yao?....punguzo kihelehele
 
Ukraine ina Mig-29, Su-25, Mig-27 na Su-24 kwenye inventory inazitumia sembuse ikatae F-16.
Ukraine imepewa Mig-29 kutoka Poland imezipokea na inazitumia. Ndio ije ikatae F-16 kwamba hazitofanya kazi. F-16 zina rekodi nzuri kuliko ndege zote zilizopo Ukraine. Kusema F-16 haitafanya kitu ni sawa na kusema ndege zote za Ukraine hazifanyi kitu na hazitumiki.

Si rahisi kubeba hizo EW systems na AD kuzipeleka frontline. Kuna cases za S-400, S-300 kupigwa na HIMARS na HARM missiles pale Crimea na maeneo mengine.
Urusi hana control ya airspace ya Ukraine hivyo hawezi weka silaha nzito na ngumu kuhamishika deep within Ukrainian territory. Hizo mifumo ya EW najua Russia yuko vizuri ila hazifungi karibukaribu anafunga mbali.

Ukizisogeza karibu EW systems zinapigwa sababu ili zifanye kazi inabidi zirushe mionzi ambayo inaonekana kwa electronic reconn drones au ndege za NATO. Na radiation ya EW inabidi iwe kubwa kuzidi uwezo countermeasure hivyo inaonekana kwa nguvu. Zimeletwa Krasukha, Leer-2, Zhitel, Bylina na all the best of the best Russian EW assets ila zikienda frontline zinapigwa. Sanasana frontline kuna mifumo midogo ya kufungwa kwenye gari moja ambayo ni kusumbua drones ndogo.

F-16 zitafanya kazi na zitatoa matokeo, na nyingine zitadunguliwa. Na hizo F-35 unazotaka nazo zingekuja kuna ambazo zingedunguliwa. Kama Russia imepoteza A-50 yenye electronic warfare, radar, wataalamu wabobevu zaidi ya 10 ndani na kila kitu ikadondoshwa na Ukraine zaidi ya 200km kutoka frontline sembuse jet yenye rubani mmoja/wawili na vifaa basic vya EW.
Umemaliza kabisa...ila wanakuja elimu ahera watabisha mbwa hawa
 
Ukraine ina Mig-29, Su-25, Mig-27 na Su-24 kwenye inventory inazitumia sembuse ikatae F-16.
Ukraine imepewa Mig-29 kutoka Poland imezipokea na inazitumia. Ndio ije ikatae F-16 kwamba hazitofanya kazi. F-16 zina rekodi nzuri kuliko ndege zote zilizopo Ukraine. Kusema F-16 haitafanya kitu ni sawa na kusema ndege zote za Ukraine hazifanyi kitu na hazitumiki.

Si rahisi kubeba hizo EW systems na AD kuzipeleka frontline. Kuna cases za S-400, S-300 kupigwa na HIMARS na HARM missiles pale Crimea na maeneo mengine.
Urusi hana control ya airspace ya Ukraine hivyo hawezi weka silaha nzito na ngumu kuhamishika deep within Ukrainian territory. Hizo mifumo ya EW najua Russia yuko vizuri ila hazifungi karibukaribu anafunga mbali.

Ukizisogeza karibu EW systems zinapigwa sababu ili zifanye kazi inabidi zirushe mionzi ambayo inaonekana kwa electronic reconn drones au ndege za NATO. Na radiation ya EW inabidi iwe kubwa kuzidi uwezo countermeasure hivyo inaonekana kwa nguvu. Zimeletwa Krasukha, Leer-2, Zhitel, Bylina na all the best of the best Russian EW assets ila zikienda frontline zinapigwa. Sanasana frontline kuna mifumo midogo ya kufungwa kwenye gari moja ambayo ni kusumbua drones ndogo.

F-16 zitafanya kazi na zitatoa matokeo, na nyingine zitadunguliwa. Na hizo F-35 unazotaka nazo zingekuja kuna ambazo zingedunguliwa. Kama Russia imepoteza A-50 yenye electronic warfare, radar, wataalamu wabobevu zaidi ya 10 ndani na kila kitu ikadondoshwa na Ukraine zaidi ya 200km kutoka frontline sembuse jet yenye rubani mmoja/wawili na vifaa basic vya EW.
Umemaliza kabisa...ila wanakuja elimu ahera watabisha
 
Ukraine ina Mig-29, Su-25, Mig-27 na Su-24 kwenye inventory inazitumia sembuse ikatae F-16.
Ukraine imepewa Mig-29 kutoka Poland imezipokea na inazitumia. Ndio ije ikatae F-16 kwamba hazitofanya kazi. F-16 zina rekodi nzuri kuliko ndege zote zilizopo Ukraine. Kusema F-16 haitafanya kitu ni sawa na kusema ndege zote za Ukraine hazifanyi kitu na hazitumiki.

Si rahisi kubeba hizo EW systems na AD kuzipeleka frontline. Kuna cases za S-400, S-300 kupigwa na HIMARS na HARM missiles pale Crimea na maeneo mengine.
Urusi hana control ya airspace ya Ukraine hivyo hawezi weka silaha nzito na ngumu kuhamishika deep within Ukrainian territory. Hizo mifumo ya EW najua Russia yuko vizuri ila hazifungi karibukaribu anafunga mbali.

Ukizisogeza karibu EW systems zinapigwa sababu ili zifanye kazi inabidi zirushe mionzi ambayo inaonekana kwa electronic reconn drones au ndege za NATO. Na radiation ya EW inabidi iwe kubwa kuzidi uwezo countermeasure hivyo inaonekana kwa nguvu. Zimeletwa Krasukha, Leer-2, Zhitel, Bylina na all the best of the best Russian EW assets ila zikienda frontline zinapigwa. Sanasana frontline kuna mifumo midogo ya kufungwa kwenye gari moja ambayo ni kusumbua drones ndogo.

F-16 zitafanya kazi na zitatoa matokeo, na nyingine zitadunguliwa. Na hizo F-35 unazotaka nazo zingekuja kuna ambazo zingedunguliwa. Kama Russia imepoteza A-50 yenye electronic warfare, radar, wataalamu wabobevu zaidi ya 10 ndani na kila kitu ikadondoshwa na Ukraine zaidi ya 200km kutoka frontline sembuse jet yenye rubani mmoja/wawili na vifaa basic vya EW.
Unachozungumza ni kama Abrams tanks ambapo watu walikaa humu vikao kujadili jinsi abrams tanks ambazo zinasifika ni hatari zitakapo fanya maajabu Ukraine dhidi ya Russia, wengine walisema zitafanya maajabu, lakini hakuna chochote kilichobadilika baada ya abrams tanks kuingia, tumeshuhudia zikitandikwa hovyo na Russia na watu kuanza kujiuliza kuhusu uwezo wake kama wanavyonadi watengenezaji.

F-16s haziwezi kubadili chochote kwenye hio vita, hata kama wapewe F-16s mia, haziwezi kutosha kupambana na ndege vita za kirusi japo ni ukweli mchungu kwamba hizo F-16s hazitofika 100.

Russia wanatengeneza hizo Sukhoi na Mig je? Ukraine na F-16s za msaada ataweza kupambana?

Ni kama mgonjwa wa kansa ambae siku zake zinahesabika, anatumia dawa na kufanyiwa mionzi kupunguza tu ile kasi ya ugonjwa lakini kiuhalisia inajulikana hana muda kansa itammaliza.
Ndio sawa na Ukraine, ni suala la muda tu.
 
Russia wanavamia eneo , wanaweka SAM(Surface to Air Missile) zenye uwezo wa kulinda eneo walilovamia na kulichukua. Hivyo NATO itabidi warushe missiles au ndege kwenda kupiga air defenses za Russia, kitu ambacho ni kigumu.

Kingine uwezo wa Russia kwenye EW (Electronic warfare ) unatisha, NATO wanakiri juu ya uwezo wa Russia kwenye EW na wameshangazwa kwa kuchelewa kufahamu uwezo wa Russia kwenye EW, uwezo wa EW wa Russia ni hatari kwa vifaa vya NATO kuanzia drones zinazoruka kwenye highly altitudes hadi mifumo ya ulinzi kama airborne early warning and control (AEW&C)
Grumman_E-2C_Hawkeye_in_flight_DN-SD-04-13416.jpg


Hizo AEW&C ndizo zile radar huweka kwenye ndege na kuruka juu kwa ajili ya kukusanya taarifa kwa ajili ya kujilinda na kushambulia, AEW&C system moja inaweza kugundua ndege ya adui iliyopo umbali wa 400 km, na kuweza kukusanya taarifa ndani ya eneo lenye ukubwa wa 312,000 km2, Tuseme ndege moja tu yenye mfumo wa AEW&C inaweza kupata taarifa ya anga zima la nchi ya Uganda lenye 241,038 km2.

Hata hili suala la F-16 soni kama ni threat kwa Russia.
NATO inabidi waweze kutawala electromagnetic spectrum katika anga la Ukraine, hivyo unapozungumzia air superiority inapaswa uelewe pia kama Russia hawawezi air superiority je NATO wataweza air denial ? jibu ni NO.

Kingine Russia wanatumia drones na missiles kupiga air defenses na missile defenses za NATO, NATO inabidi wawe na silaha za kutosha zenye uwezo mkubwa na nyingi ili kuweza ku target launch positions za Russia, washambulie na kulipa kisasi, mfano long range ATACAMS au watumie JASSM ambazo cost yake moja ni zaidi ya 1 million usd. Hapa sioni kama NATO wataweza kuilinda Ukraine kwa gharama hizo dhidi ya Russia, gharama za ATACAMS na JASSM ni kubwa mno.
US_clears_sale_of_50_AGM-158B_B-2_JASSM-ER_air-to-ground_missiles_for_Japanese_Air_Force_1.jpg

jassm missile

Hii vita NATO hawakujipanga vyema kupambana na Russia.
Russia hafilisiki kwa sababu anatumia fedha efficiently and effectively.

Mwanzo alianza vibaya kwa kutumia mavifaa ya gharama ila naona ana waziri mzuri wa fedha na washauri wa uchumi wakamuwahi kuwa akiendelea kutumia masilaha ya gharama watafilisika kweli mapema sana na hilo ndio lengo la NATO hivyo akae na vijana wake wafikirie mbinu ya kutumia technolojia itakayorahisisha ku deliver kipigo kwa gharama nafuu ndipo walipogeukia Iran kukopa teknolojia ya drones na akaboresha zaidi ili ziweze kukidhi mahitaji yake ya kivita.

Matokeo yake anaangamiza vifaa vya adui in a fraction of cost aliotumia adui. Mfano Marekani anatuma vifaa vya billion 30 kila kimoja ila mrusi anatumia gharama ya million 300 tu kuviangamiza 🤣!
 
Russia ataichakaza vibaya sana na NATO wataipotezea .we jiulize nini kinazuia mpaka leo wasiipe NATO uanachama wa umoja wa ulaya na marekani kiulinzi ? Jibu ni kuwa hawana uhakika kama hii vita watashinda ama laa. Jibu la uhakika ni kuwa Russia ataibamiza vibaya sana Ukraine.
Kuipa Ukraine uanachama wa NATO directly ni kuingia vitani na Russia as sheria ya Nato inasema mwanachama mmoja akivamiwa ni kama alliance yote imevamiwa so ni officially itakua Nato vs Russia war!
 
Unachozungumza ni kama Abrams tanks ambapo watu walikaa humu vikao kujadili jinsi abrams tanks ambazo zinasifika ni hatari zitakapo fanya maajabu Ukraine dhidi ya Russia, wengine walisema zitafanya maajabu, lakini hakuna chochote kilichobadilika baada ya abrams tanks kuingia, tumeshuhudia zikitandikwa hovyo na Russia na watu kuanza kujiuliza kuhusu uwezo wake kama wanavyonadi watengenezaji.

F-16s haziwezi kubadili chochote kwenye hio vita, hata kama wapewe F-16s mia, haziwezi kutosha kupambana na ndege vita za kirusi japo ni ukweli mchungu kwamba hizo F-16s hazitofika 100.

Russia wanatengeneza hizo Sukhoi na Mig je? Ukraine na F-16s za msaada ataweza kupambana?

Ni kama mgonjwa wa kansa ambae siku zake zinahesabika, anatumia dawa na kufanyiwa mionzi kupunguza tu ile kasi ya ugonjwa lakini kiuhalisia inajulikana hana muda kansa itammaliza.
Ndio sawa na Ukraine, ni suala la muda tu.
Sawa mchambuzi wa vita kutoka ukonga mombasa
 
Back
Top Bottom