Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
- Thread starter
-
- #161
Hizo ndege hazitakua na msaada wowote kwa Ukraine kwanza kuziendesha hawajui wataishia kuzidondosha tu.Hizi ndege zimekuja kwa kuchelewa.....
Ukraine ingepata msaada wa kutosha toka awali hali ingekuwa njema upande wake.
T14 Armata
Wewe unajua kama wenye NATO yao?....punguzo kiheleheleHizi nchi za NATO tangu vita imeanza wamekua wakitoa silaha na fedha kwaajili ya Ukraine kupambana na Russia 🇷🇺. Leo wametangaza kupeleka ndege vita za kisasa F 16 lakini tuelewe kuwa Ukraine anazo mig ambazo ni Su version ya mrusi na Russia amekua akizilipua na kupiga miundo mbinu ya Ukraine inayosaidia mashambulizi dhidi yake.
Hawa NATO hawajitokezi waziwazi front lakini wapo..
Lengo la andiko hili kwa wasomaji wenzangu na wafuatiliaji wa vita hapa duniani ni kuelezea udhaifu wa nchi ya Ukraine na mtego wa NATO katika hii vita. Kwanza hawajampa uanachama mpaka leo kama target ya Ukraine na ombi lake la muda mrefu.
NATO wapo mguu nje mguu ndani ni kama hawana uhakika je tutashinda hii vita kwa kumsaidia Ukraine? ( ukweli ni kwamba hawawezi kushinda)
Russia amekua akipigana kiustaarabu sana kwa sababu kiuhalisia wayukreini wengi wana asili ya urusi na hawataki hii vita ila maslahi ya marekani na NATO vita hii inachochewa.
Leo uingereza huyu waziri mkuu mpya ametoa agizo kuwa silaha za uingereza ziishambulie urusi moja kwa moja. Kwa mtazamo wangu sasa putin atafungua ghala la silaha maana ni kama vita ya NATO na Russia imetangazwa rasmi. Lakini atakeumia hapa ni Ukraine na mwisho wa siku Ukraine atabaki kama alivyo hatapewa uanachama wa NATO na atakua koloni la mrusi totally.
View attachment 3038710
Umemaliza kabisa...ila wanakuja elimu ahera watabisha mbwa hawaUkraine ina Mig-29, Su-25, Mig-27 na Su-24 kwenye inventory inazitumia sembuse ikatae F-16.
Ukraine imepewa Mig-29 kutoka Poland imezipokea na inazitumia. Ndio ije ikatae F-16 kwamba hazitofanya kazi. F-16 zina rekodi nzuri kuliko ndege zote zilizopo Ukraine. Kusema F-16 haitafanya kitu ni sawa na kusema ndege zote za Ukraine hazifanyi kitu na hazitumiki.
Si rahisi kubeba hizo EW systems na AD kuzipeleka frontline. Kuna cases za S-400, S-300 kupigwa na HIMARS na HARM missiles pale Crimea na maeneo mengine.
Urusi hana control ya airspace ya Ukraine hivyo hawezi weka silaha nzito na ngumu kuhamishika deep within Ukrainian territory. Hizo mifumo ya EW najua Russia yuko vizuri ila hazifungi karibukaribu anafunga mbali.
Ukizisogeza karibu EW systems zinapigwa sababu ili zifanye kazi inabidi zirushe mionzi ambayo inaonekana kwa electronic reconn drones au ndege za NATO. Na radiation ya EW inabidi iwe kubwa kuzidi uwezo countermeasure hivyo inaonekana kwa nguvu. Zimeletwa Krasukha, Leer-2, Zhitel, Bylina na all the best of the best Russian EW assets ila zikienda frontline zinapigwa. Sanasana frontline kuna mifumo midogo ya kufungwa kwenye gari moja ambayo ni kusumbua drones ndogo.
F-16 zitafanya kazi na zitatoa matokeo, na nyingine zitadunguliwa. Na hizo F-35 unazotaka nazo zingekuja kuna ambazo zingedunguliwa. Kama Russia imepoteza A-50 yenye electronic warfare, radar, wataalamu wabobevu zaidi ya 10 ndani na kila kitu ikadondoshwa na Ukraine zaidi ya 200km kutoka frontline sembuse jet yenye rubani mmoja/wawili na vifaa basic vya EW.
Umemaliza kabisa...ila wanakuja elimu ahera watabishaUkraine ina Mig-29, Su-25, Mig-27 na Su-24 kwenye inventory inazitumia sembuse ikatae F-16.
Ukraine imepewa Mig-29 kutoka Poland imezipokea na inazitumia. Ndio ije ikatae F-16 kwamba hazitofanya kazi. F-16 zina rekodi nzuri kuliko ndege zote zilizopo Ukraine. Kusema F-16 haitafanya kitu ni sawa na kusema ndege zote za Ukraine hazifanyi kitu na hazitumiki.
Si rahisi kubeba hizo EW systems na AD kuzipeleka frontline. Kuna cases za S-400, S-300 kupigwa na HIMARS na HARM missiles pale Crimea na maeneo mengine.
Urusi hana control ya airspace ya Ukraine hivyo hawezi weka silaha nzito na ngumu kuhamishika deep within Ukrainian territory. Hizo mifumo ya EW najua Russia yuko vizuri ila hazifungi karibukaribu anafunga mbali.
Ukizisogeza karibu EW systems zinapigwa sababu ili zifanye kazi inabidi zirushe mionzi ambayo inaonekana kwa electronic reconn drones au ndege za NATO. Na radiation ya EW inabidi iwe kubwa kuzidi uwezo countermeasure hivyo inaonekana kwa nguvu. Zimeletwa Krasukha, Leer-2, Zhitel, Bylina na all the best of the best Russian EW assets ila zikienda frontline zinapigwa. Sanasana frontline kuna mifumo midogo ya kufungwa kwenye gari moja ambayo ni kusumbua drones ndogo.
F-16 zitafanya kazi na zitatoa matokeo, na nyingine zitadunguliwa. Na hizo F-35 unazotaka nazo zingekuja kuna ambazo zingedunguliwa. Kama Russia imepoteza A-50 yenye electronic warfare, radar, wataalamu wabobevu zaidi ya 10 ndani na kila kitu ikadondoshwa na Ukraine zaidi ya 200km kutoka frontline sembuse jet yenye rubani mmoja/wawili na vifaa basic vya EW.
Kihelehele??Wewe unajua kama wenye NATO yao?....punguzo kihelehele
Kama huwezi kuwa mstaarabu usichangie uzi wangu anzisha wakwako. Kwanini unaita wenzako mbwa..?Umemaliza kabisa...ila wanakuja elimu ahera watabisha mbwa hawa
Eeeh unajifanya unajua kuliko NATO SASA hicho si kihelele au wewe tukuitaje?Kihelehele??
Afya ya akili wahi hospitali ukapate matibabu.Eeeh unajifanya unajua kuliko NATO SASA hicho si kihelele au wewe tukuitaje?
Unachozungumza ni kama Abrams tanks ambapo watu walikaa humu vikao kujadili jinsi abrams tanks ambazo zinasifika ni hatari zitakapo fanya maajabu Ukraine dhidi ya Russia, wengine walisema zitafanya maajabu, lakini hakuna chochote kilichobadilika baada ya abrams tanks kuingia, tumeshuhudia zikitandikwa hovyo na Russia na watu kuanza kujiuliza kuhusu uwezo wake kama wanavyonadi watengenezaji.Ukraine ina Mig-29, Su-25, Mig-27 na Su-24 kwenye inventory inazitumia sembuse ikatae F-16.
Ukraine imepewa Mig-29 kutoka Poland imezipokea na inazitumia. Ndio ije ikatae F-16 kwamba hazitofanya kazi. F-16 zina rekodi nzuri kuliko ndege zote zilizopo Ukraine. Kusema F-16 haitafanya kitu ni sawa na kusema ndege zote za Ukraine hazifanyi kitu na hazitumiki.
Si rahisi kubeba hizo EW systems na AD kuzipeleka frontline. Kuna cases za S-400, S-300 kupigwa na HIMARS na HARM missiles pale Crimea na maeneo mengine.
Urusi hana control ya airspace ya Ukraine hivyo hawezi weka silaha nzito na ngumu kuhamishika deep within Ukrainian territory. Hizo mifumo ya EW najua Russia yuko vizuri ila hazifungi karibukaribu anafunga mbali.
Ukizisogeza karibu EW systems zinapigwa sababu ili zifanye kazi inabidi zirushe mionzi ambayo inaonekana kwa electronic reconn drones au ndege za NATO. Na radiation ya EW inabidi iwe kubwa kuzidi uwezo countermeasure hivyo inaonekana kwa nguvu. Zimeletwa Krasukha, Leer-2, Zhitel, Bylina na all the best of the best Russian EW assets ila zikienda frontline zinapigwa. Sanasana frontline kuna mifumo midogo ya kufungwa kwenye gari moja ambayo ni kusumbua drones ndogo.
F-16 zitafanya kazi na zitatoa matokeo, na nyingine zitadunguliwa. Na hizo F-35 unazotaka nazo zingekuja kuna ambazo zingedunguliwa. Kama Russia imepoteza A-50 yenye electronic warfare, radar, wataalamu wabobevu zaidi ya 10 ndani na kila kitu ikadondoshwa na Ukraine zaidi ya 200km kutoka frontline sembuse jet yenye rubani mmoja/wawili na vifaa basic vya EW.
Analinda taifa lake kwa kupiga ndani ya urusi?Ukraine hawajawahi kuwa na haja ya kupigana na Urusi.
Ukraine analinda Taifa lake.
There’s quite a difference.
Russia hafilisiki kwa sababu anatumia fedha efficiently and effectively.Russia wanavamia eneo , wanaweka SAM(Surface to Air Missile) zenye uwezo wa kulinda eneo walilovamia na kulichukua. Hivyo NATO itabidi warushe missiles au ndege kwenda kupiga air defenses za Russia, kitu ambacho ni kigumu.
Kingine uwezo wa Russia kwenye EW (Electronic warfare ) unatisha, NATO wanakiri juu ya uwezo wa Russia kwenye EW na wameshangazwa kwa kuchelewa kufahamu uwezo wa Russia kwenye EW, uwezo wa EW wa Russia ni hatari kwa vifaa vya NATO kuanzia drones zinazoruka kwenye highly altitudes hadi mifumo ya ulinzi kama airborne early warning and control (AEW&C)
Hizo AEW&C ndizo zile radar huweka kwenye ndege na kuruka juu kwa ajili ya kukusanya taarifa kwa ajili ya kujilinda na kushambulia, AEW&C system moja inaweza kugundua ndege ya adui iliyopo umbali wa 400 km, na kuweza kukusanya taarifa ndani ya eneo lenye ukubwa wa 312,000 km2, Tuseme ndege moja tu yenye mfumo wa AEW&C inaweza kupata taarifa ya anga zima la nchi ya Uganda lenye 241,038 km2.
Hata hili suala la F-16 soni kama ni threat kwa Russia.
NATO inabidi waweze kutawala electromagnetic spectrum katika anga la Ukraine, hivyo unapozungumzia air superiority inapaswa uelewe pia kama Russia hawawezi air superiority je NATO wataweza air denial ? jibu ni NO.
Kingine Russia wanatumia drones na missiles kupiga air defenses na missile defenses za NATO, NATO inabidi wawe na silaha za kutosha zenye uwezo mkubwa na nyingi ili kuweza ku target launch positions za Russia, washambulie na kulipa kisasi, mfano long range ATACAMS au watumie JASSM ambazo cost yake moja ni zaidi ya 1 million usd. Hapa sioni kama NATO wataweza kuilinda Ukraine kwa gharama hizo dhidi ya Russia, gharama za ATACAMS na JASSM ni kubwa mno.
jassm missile
Hii vita NATO hawakujipanga vyema kupambana na Russia.
Kuipa Ukraine uanachama wa NATO directly ni kuingia vitani na Russia as sheria ya Nato inasema mwanachama mmoja akivamiwa ni kama alliance yote imevamiwa so ni officially itakua Nato vs Russia war!Russia ataichakaza vibaya sana na NATO wataipotezea .we jiulize nini kinazuia mpaka leo wasiipe NATO uanachama wa umoja wa ulaya na marekani kiulinzi ? Jibu ni kuwa hawana uhakika kama hii vita watashinda ama laa. Jibu la uhakika ni kuwa Russia ataibamiza vibaya sana Ukraine.
Kwahiyo yeye urusi anaepiga Ukraine ni sawa?Analinda taifa lake kwa kupiga ndani ya urusi?
Ndiyo.Analinda taifa lake kwa kupiga ndani ya urusi?
Yeye si mmeshampa jina la mvamizi. Kwahiyo acheni aendelee kugawa doziKwahiyo yeye urusi anaepiga Ukraine ni sawa?
Point ya USA is always not to win a war is having endless wars.Hizi ndege zimekuja kwa kuchelewa.....
Ukraine ingepata msaada wa kutosha toka awali hali ingekuwa njema upande wake.
T14 Armata
Kwahiyo ukivamia usipigwe pale panapopatikana nafasi yakushambuliwa?Yeye si mmeshampa jina la mvamizi. Kwahiyo acheni aendelee kugawa dozi
Vita ina faida kwa Putin pia na wale “Oligarchs”Point ya USA is always not to win a war is having endless wars.
Why.
Vita ina faida sana kwa USA na makampuni hizo F16 spare zitanunuliwa USA
Sawa mchambuzi wa vita kutoka ukonga mombasaUnachozungumza ni kama Abrams tanks ambapo watu walikaa humu vikao kujadili jinsi abrams tanks ambazo zinasifika ni hatari zitakapo fanya maajabu Ukraine dhidi ya Russia, wengine walisema zitafanya maajabu, lakini hakuna chochote kilichobadilika baada ya abrams tanks kuingia, tumeshuhudia zikitandikwa hovyo na Russia na watu kuanza kujiuliza kuhusu uwezo wake kama wanavyonadi watengenezaji.
F-16s haziwezi kubadili chochote kwenye hio vita, hata kama wapewe F-16s mia, haziwezi kutosha kupambana na ndege vita za kirusi japo ni ukweli mchungu kwamba hizo F-16s hazitofika 100.
Russia wanatengeneza hizo Sukhoi na Mig je? Ukraine na F-16s za msaada ataweza kupambana?
Ni kama mgonjwa wa kansa ambae siku zake zinahesabika, anatumia dawa na kufanyiwa mionzi kupunguza tu ile kasi ya ugonjwa lakini kiuhalisia inajulikana hana muda kansa itammaliza.
Ndio sawa na Ukraine, ni suala la muda tu.