Tetesi: NATO na USA kufanya maamuzi magumu kuiokoa Dunia na WW3

Tetesi: NATO na USA kufanya maamuzi magumu kuiokoa Dunia na WW3

TumainiEl

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
6,782
Reaction score
12,716
Zipo Tetesi ambazo sio rasmi ila sasa uwenda Tetesi hizo zikawa kweli japo yatupasa kujiandaa kwa lolote linaweza tokea hasa ukizingatia tembo wanapo pigana nyasi ndio zinazo umia.

Kwa muda mrefu sasa USA na washarika wake wameamua ku mute mjibu Russia kwa maneno na Vyombo vya Habari kama pale mwanzo ila wameamua kufanya kivingine na hii njia wanayotumia ni mbinu mpya ktk uwanja wa vita ambayo haijawahi tumika na kama imewahitumika basi uwenda Dunia haikuwahi kuambiwa na todate hiyo mbinu ni top top secret.
Jambo la kwanza la ajabu kabisa CIA wamelifanya nikutengeneza clip yenye kueleza kile kinaendelea Russia na kuwashawishi vijana kujiunga na CIA jambo ambalo ni lanamna yake. Video hiyo ni video inayo ongea kwa lugha ya kirusia.
Jambo lingine ambalo Dunia wameungana ni shearing ya real time secret information regarding Russian activity around the world na hii ni baada ya taarifa za siri kuvuja jamaa anasafirisha kwa siri silaha hatari za nyuklia. Na ili kuthibitisha hili hivi siku za karibu Mosssad wamegundua jambo la Siri ktk Taifa la Iran na wamejiridhisha kuwa Iran anajiandaa either pokea silaha hatari au anamalizia kutengeneza BOom hatari la nyuklia. Israel wamejibu na muda wowote kutoka sasa msishangae vita ikiibuka Kati ya Iran na Israel. Vita hii itakuwa mbaya sana ila ina malengo makuu mawili kama sio matatu.
Kuionya Urusi kuwa wanamuona na hawato acha kumjibu kwa nguvu zote. USA amesha mpa green light Israel kujiandaa na vita.
Pili kuirudisha nyuma Iran kwenye mpango wake wa nuclear
Update
Wagner Chief die in Jet crash. Tulio na macho ya mbali tulikuwa he must die. Putin anahaha akijuwa saa na siku zake Zina hesabika mbele ya majasusi wa Dunia...
 
Zipo Tetesi ambazo sio rasmi ila sasa uwenda Tetesi hizo zikawa kweli japo yatupasa kujiandaa kwa lolote linaweza tokea hasa ukizingatia tembo wanapo pigana nyasi ndio zinazo umia.

Kwa muda mrefu sasa USA na washarika wake wameamua ku mute mjibu Russia kwa maneno na Vyombo vya Habari kama pale mwanzo ila wameamua kufanya kivingine na hii njia wanayotumia ni mbinu mpya ktk uwanja wa vita ambayo haijawahi tumika na kama imewahitumika basi uwenda Dunia haikuwahi kuambiwa na todate hiyo mbinu ni top top secret.
Jambo la kwanza la ajabu kabisa CIA wamelifanya nikutengeneza clip yenye kueleza kile kinaendelea Russia na kuwashawishi vijana kujiunga na CIA jambo ambalo ni lanamna yake. Video hiyo ni video inayo ongea kwa lugha ya kirusia.
Jambo lingine ambalo Dunia wameungana ni shearing ya real time secret information regarding Russian activity around the world na hii ni baada ya taarifa za siri kuvuja jamaa anasafirisha kwa siri silaha hatari za nyuklia. Na ili kuthibitisha hili hivi siku za karibu Mosssad wamegundua jambo la Siri ktk Taifa la Iran na wamejiridhisha kuwa Iran anajiandaa either pokea silaha hatari au anamalizia kutengeneza BOom hatari la nyuklia. Israel wamejibu na muda wowote kutoka sasa msishangae vita ikiibuka Kati ya Iran na Israel. Vita hii itakuwa mbaya sana ila ina malengo makuu mawili kama sio matatu.
Kuionya Urusi kuwa wanamuona na hawato acha kumjibu kwa nguvu zote. USA amesha mpa green light Israel kujiandaa na vita.
Pili kuirudisha nyuma Iran kwenye mpango wake wa nuclear
Israel asimshambulie Iran kwa sababu kuna matokeo mabaya sana kuzidi ya Ukrain
 
Zipo Tetesi ambazo sio rasmi ila sasa uwenda Tetesi hizo zikawa kweli japo yatupasa kujiandaa kwa lolote linaweza tokea hasa ukizingatia tembo wanapo pigana nyasi ndio zinazo umia.

Kwa muda mrefu sasa USA na washarika wake wameamua ku mute mjibu Russia kwa maneno na Vyombo vya Habari kama pale mwanzo ila wameamua kufanya kivingine na hii njia wanayotumia ni mbinu mpya ktk uwanja wa vita ambayo haijawahi tumika na kama imewahitumika basi uwenda Dunia haikuwahi kuambiwa na todate hiyo mbinu ni top top secret.
Jambo la kwanza la ajabu kabisa CIA wamelifanya nikutengeneza clip yenye kueleza kile kinaendelea Russia na kuwashawishi vijana kujiunga na CIA jambo ambalo ni lanamna yake. Video hiyo ni video inayo ongea kwa lugha ya kirusia.
Jambo lingine ambalo Dunia wameungana ni shearing ya real time secret information regarding Russian activity around the world na hii ni baada ya taarifa za siri kuvuja jamaa anasafirisha kwa siri silaha hatari za nyuklia. Na ili kuthibitisha hili hivi siku za karibu Mosssad wamegundua jambo la Siri ktk Taifa la Iran na wamejiridhisha kuwa Iran anajiandaa either pokea silaha hatari au anamalizia kutengeneza BOom hatari la nyuklia. Israel wamejibu na muda wowote kutoka sasa msishangae vita ikiibuka Kati ya Iran na Israel. Vita hii itakuwa mbaya sana ila ina malengo makuu mawili kama sio matatu.
Kuionya Urusi kuwa wanamuona na hawato acha kumjibu kwa nguvu zote. USA amesha mpa green light Israel kujiandaa na vita.
Pili kuirudisha nyuma Iran kwenye mpango wake wa nuclear
🤣🤣🤣🤣 Hizi ndoto nyingine bhana! Haya kakojoe urudi kulala
 
Zipo Tetesi ambazo sio rasmi ila sasa uwenda Tetesi hizo zikawa kweli japo yatupasa kujiandaa kwa lolote linaweza tokea hasa ukizingatia tembo wanapo pigana nyasi ndio zinazo umia.

Kwa muda mrefu sasa USA na washarika wake wameamua ku mute mjibu Russia kwa maneno na Vyombo vya Habari kama pale mwanzo ila wameamua kufanya kivingine na hii njia wanayotumia ni mbinu mpya ktk uwanja wa vita ambayo haijawahi tumika na kama imewahitumika basi uwenda Dunia haikuwahi kuambiwa na todate hiyo mbinu ni top top secret.
Jambo la kwanza la ajabu kabisa CIA wamelifanya nikutengeneza clip yenye kueleza kile kinaendelea Russia na kuwashawishi vijana kujiunga na CIA jambo ambalo ni lanamna yake. Video hiyo ni video inayo ongea kwa lugha ya kirusia.
Jambo lingine ambalo Dunia wameungana ni shearing ya real time secret information regarding Russian activity around the world na hii ni baada ya taarifa za siri kuvuja jamaa anasafirisha kwa siri silaha hatari za nyuklia. Na ili kuthibitisha hili hivi siku za karibu Mosssad wamegundua jambo la Siri ktk Taifa la Iran na wamejiridhisha kuwa Iran anajiandaa either pokea silaha hatari au anamalizia kutengeneza BOom hatari la nyuklia. Israel wamejibu na muda wowote kutoka sasa msishangae vita ikiibuka Kati ya Iran na Israel. Vita hii itakuwa mbaya sana ila ina malengo makuu mawili kama sio matatu.
Kuionya Urusi kuwa wanamuona na hawato acha kumjibu kwa nguvu zote. USA amesha mpa green light Israel kujiandaa na vita.
Pili kuirudisha nyuma Iran kwenye mpango wake wa nuclear
Russia ikisnxa kutandikwa na mkiiona inashindwa vita mnakuja na porojo za kila namna safari kiburi cha mrudi lazima kielekkwe na Putin lazima afungashwe virago

Alivyoligema atalinywa

No retreat no surrender hiyo ndio slogan ya Ukraine
 
Zipo Tetesi ambazo sio rasmi ila sasa uwenda Tetesi hizo zikawa kweli japo yatupasa kujiandaa kwa lolote linaweza tokea hasa ukizingatia tembo wanapo pigana nyasi ndio zinazo umia.

Kwa muda mrefu sasa USA na washarika wake wameamua ku mute mjibu Russia kwa maneno na Vyombo vya Habari kama pale mwanzo ila wameamua kufanya kivingine na hii njia wanayotumia ni mbinu mpya ktk uwanja wa vita ambayo haijawahi tumika na kama imewahitumika basi uwenda Dunia haikuwahi kuambiwa na todate hiyo mbinu ni top top secret.
Jambo la kwanza la ajabu kabisa CIA wamelifanya nikutengeneza clip yenye kueleza kile kinaendelea Russia na kuwashawishi vijana kujiunga na CIA jambo ambalo ni lanamna yake. Video hiyo ni video inayo ongea kwa lugha ya kirusia.
Jambo lingine ambalo Dunia wameungana ni shearing ya real time secret information regarding Russian activity around the world na hii ni baada ya taarifa za siri kuvuja jamaa anasafirisha kwa siri silaha hatari za nyuklia. Na ili kuthibitisha hili hivi siku za karibu Mosssad wamegundua jambo la Siri ktk Taifa la Iran na wamejiridhisha kuwa Iran anajiandaa either pokea silaha hatari au anamalizia kutengeneza BOom hatari la nyuklia. Israel wamejibu na muda wowote kutoka sasa msishangae vita ikiibuka Kati ya Iran na Israel. Vita hii itakuwa mbaya sana ila ina malengo makuu mawili kama sio matatu.
Kuionya Urusi kuwa wanamuona na hawato acha kumjibu kwa nguvu zote. USA amesha mpa green light Israel kujiandaa na vita.
Pili kuirudisha nyuma Iran kwenye mpango wake wa nuclear
Uliyoandika yote hamna tetesi wala siri, ni mawazo yako umechanganya na baadhi ya speculations ambazo ni widely available kwa wafuatiliaji mwenendo wa kimataifa.

Ni sawa na mfuatiliaji wa mpira akihisi Faisal anasukumwa na mawakala wanaoitumikia Simba ama kwa yeye kujua au kutojua kufanya hivi anavyofanya kwa Yanga, hizo ni speculations za kawaida kabisa wala anayezileta hatakiwi kusema ni siri au tetesi.
 
Wababe wote duniani tuko upande wa Russia na Putin wake.

Mashoga wote, na watumiaji wa madawa ya kulevya hawana uwezo wa kumshinda Urusi.
USHOGA???

Usikute hata wewe mwenyewe ni shoga kwa sababu ushoga sio Taifa ila mtu!

Wapo warusi mashoga, wapo waislam mashoga na wakristo mashoga!

USHOGA ni mtu na siyo Taifa wala umoja wa nchi fulani, wamarekeni wapo mashoga na wasio mashoga, watanzania mashoga na wasio mashoga

Unadhani Tanzania ikiwa pro Russia ndo itaokoka na baadhi ya watu kuwa mashoga?
 
Kuishambulia Iran itaamsha morali kwa mataifa ya Kiislam na makundi kama Hozbollah watainuka kuanza offensive attacks maana zipo taarifa za kiintelejensia kuwa yapo mataifa yanafanya mazoezi kujiandaa kwa uvamizi wakati wowote.

Iran tayari anazo silaha za nyuklia na anaweza kuzitumia muda wowote endapo busara haitotumika. Wanasayansi wa Urusi wamefanikiwa kwa siri kujenga plant ya kurutubisha urani kuwa silaha ya maangamizi hapo Iran
 
Hapa ni sawa sawa na kujaribu kukusanya kinyesi cha Mbu ili kifike nusu kilo.
 
Watu wakishiba kande ndo wanahororojoka hivi. Haya weka chanzo cha taarifa zako or else categorize kwamba this is a mere opinion from your end
 
USHOGA???

Usikute hata wewe mwenyewe ni shoga kwa sababu ushoga sio Taifa ila mtu!

Wapo warusi mashoga, wapo waislam mashoga na wakristo mashoga!

USHOGA ni mtu na siyo Taifa wala umoja wa nchi fulani, wamarekeni wapo mashoga na wasio mashoga, watanzania mashoga na wasio mashoga

Unadhani Tanzania ikiwa pro Russia ndo itaokoka na baadhi ya watu kuwa mashoga?
Hilo jina lako tu halihitaji mtu kujiuliza maswali mengi kuhusu tabia yako. Nyinyi ni wa kuwaangamiza tu.
 
Hilo jina lako tu halihitaji mtu kujiuliza maswali mengi kuhusu tabia yako. Nyinyi ni wa kuwaangamiza tu.
Ona ulivyo mjinga,

Tafsiri yako hiyo ndio haswaa inayotupa tuamini jinsi ulivyo!
 
Back
Top Bottom