Zipo Tetesi ambazo sio rasmi ila sasa uwenda Tetesi hizo zikawa kweli japo yatupasa kujiandaa kwa lolote linaweza tokea hasa ukizingatia tembo wanapo pigana nyasi ndio zinazo umia.
Kwa muda mrefu sasa USA na washarika wake wameamua ku mute mjibu Russia kwa maneno na Vyombo vya Habari kama pale mwanzo ila wameamua kufanya kivingine na hii njia wanayotumia ni mbinu mpya ktk uwanja wa vita ambayo haijawahi tumika na kama imewahitumika basi uwenda Dunia haikuwahi kuambiwa na todate hiyo mbinu ni top top secret.
Jambo la kwanza la ajabu kabisa CIA wamelifanya nikutengeneza clip yenye kueleza kile kinaendelea Russia na kuwashawishi vijana kujiunga na CIA jambo ambalo ni lanamna yake. Video hiyo ni video inayo ongea kwa lugha ya kirusia.
Jambo lingine ambalo Dunia wameungana ni shearing ya real time secret information regarding Russian activity around the world na hii ni baada ya taarifa za siri kuvuja jamaa anasafirisha kwa siri silaha hatari za nyuklia. Na ili kuthibitisha hili hivi siku za karibu Mosssad wamegundua jambo la Siri ktk Taifa la Iran na wamejiridhisha kuwa Iran anajiandaa either pokea silaha hatari au anamalizia kutengeneza BOom hatari la nyuklia. Israel wamejibu na muda wowote kutoka sasa msishangae vita ikiibuka Kati ya Iran na Israel. Vita hii itakuwa mbaya sana ila ina malengo makuu mawili kama sio matatu.
Kuionya Urusi kuwa wanamuona na hawato acha kumjibu kwa nguvu zote. USA amesha mpa green light Israel kujiandaa na vita.
Pili kuirudisha nyuma Iran kwenye mpango wake wa nuclear
Update
Wagner Chief die in Jet crash. Tulio na macho ya mbali tulikuwa he must die. Putin anahaha akijuwa saa na siku zake Zina hesabika mbele ya majasusi wa Dunia...
Kwa muda mrefu sasa USA na washarika wake wameamua ku mute mjibu Russia kwa maneno na Vyombo vya Habari kama pale mwanzo ila wameamua kufanya kivingine na hii njia wanayotumia ni mbinu mpya ktk uwanja wa vita ambayo haijawahi tumika na kama imewahitumika basi uwenda Dunia haikuwahi kuambiwa na todate hiyo mbinu ni top top secret.
Jambo la kwanza la ajabu kabisa CIA wamelifanya nikutengeneza clip yenye kueleza kile kinaendelea Russia na kuwashawishi vijana kujiunga na CIA jambo ambalo ni lanamna yake. Video hiyo ni video inayo ongea kwa lugha ya kirusia.
Jambo lingine ambalo Dunia wameungana ni shearing ya real time secret information regarding Russian activity around the world na hii ni baada ya taarifa za siri kuvuja jamaa anasafirisha kwa siri silaha hatari za nyuklia. Na ili kuthibitisha hili hivi siku za karibu Mosssad wamegundua jambo la Siri ktk Taifa la Iran na wamejiridhisha kuwa Iran anajiandaa either pokea silaha hatari au anamalizia kutengeneza BOom hatari la nyuklia. Israel wamejibu na muda wowote kutoka sasa msishangae vita ikiibuka Kati ya Iran na Israel. Vita hii itakuwa mbaya sana ila ina malengo makuu mawili kama sio matatu.
Kuionya Urusi kuwa wanamuona na hawato acha kumjibu kwa nguvu zote. USA amesha mpa green light Israel kujiandaa na vita.
Pili kuirudisha nyuma Iran kwenye mpango wake wa nuclear
Update
Wagner Chief die in Jet crash. Tulio na macho ya mbali tulikuwa he must die. Putin anahaha akijuwa saa na siku zake Zina hesabika mbele ya majasusi wa Dunia...