NATO wamefikwa na Nini? Mbona waliweza Kuwait na wakaweza Kosovo,wanashindwa Nini Ukraine?

NATO wamefikwa na Nini? Mbona waliweza Kuwait na wakaweza Kosovo,wanashindwa Nini Ukraine?

lee Vladimir cleef

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
9,571
Reaction score
35,475
Hapo zamani,Sadam huseini wa Iraq alifanya kama anavyofanya Putin wa Urusi Leo kwa kuivamia nchi ya Kuwait.
Marekani na washirika wake wakaivamia Iraq na kuipiga Hadi ikatoka Kuwait.

Miaka kadhaa baadae Slobodan Milosevic wa Yugoslavia aliwapiga kishenzi waasi na raia waliokua wanataka kujitenga wa mji wa Kosovo Huku wakikimbia bila kujua wanakimbilia wapi.
Yalikua ni mapigano ya kikabila.

NATO wakaingilia kati na kushusha kipigo Cha mabomu Cha Hali ya juu katika miji na vijiji vya Yugoslavia upande wa Serbia iloyokua ikiongozwa na Milosevic aliekua anawashusgia vipigo vikali sana wakosovo,na hatimae Milosevic akasalimu amri.

NATO walifanya hayo hayo kwa Yugoslavia Huku umoja wa mataifa ukipinga kuwa damu itamwagika sana, bila idhini ya umoja wa mataifa NATO walipiga mabomu sana upande wa Serbia.

Marekani alipiga Tena Iraq yeye na washirika wake kwa madai kuwa Iraq ilikua imeficha silaha za maangamizi.(weapons of Mass destruction) WMD.

Wamarekani na washirika wake na wapambe wao walishiriki vita hizo na hatimae Wakamkamata Rais wa Iraq akiwa mzima na kumkabidhi kwa wairaq wasio mpenda wakamnyonga.

Muamar Ghadafi wa Libya nae hakuweza kukwepa mkono mmoja wa Baadhi ya Wanachama wa NATO Marekani na Ufaransa .

Baada ya kuonekana Gadafi anaua raia wake kwa wingi kutokana na guvu ya jeshi lake ,ilibidi Marekani na Ufaransa wakatimia madege kudhoofisha uwezo wa jeshi la Libya na hatimae Gadafi kuzidiwa na kukamatwa na mwisho kuuwawa.

Leo najiuliza NATO wamefikwa na nini?
Matendo anavyofanya Urusi huko Ukraine yanafanana kabisa na matendo ya akina Milosevic,Saddam na Ghadafi.
Marekani na NATO waliweza kushusha mabomu na kuwamaliza nguvu maraisi hao.

Sasa hivi masikini,ukweli nimeingiwa na huruma ,Ukraine inaadhibiwa na Urusi NATO hiihii ambayo ilimpa matumaini Zelensky inaangalia TU jinsi anavyofedheheshwa.

Zelensky Yuko chumbani kwake amevamiwa anapiga mayowe,makele,mwano na Kila aina ya kuomba msaada majirani na marafiki waliokua wanampa matumaini wamesimama pembeni mwa madirisha wanachungulia TU.

Sababu wanayotoa Haina mashiko,kuwa NATO ni kwa ajili ya Wanachama TU.

Ok basi tuache uanachama,tuaangalie na ubinadamu TU,kwa mfano Kuwait,Kosovo,na Libya hazikua Wanachama wa NATO lakini ubinadamu ulikuja na kuwaokoa watu wa nchi hizo.

Sasa kwa Nini NATO inakua na ubaguzi namna hii?

Ukweli sipendi vita,vita inaharibu Kila kitu.watu wasio na makosa ama hatia wanakufa bila sababu wanaacha makazi na kazi zao wanakimbilia kusukijulikana.

NATO- Kuiwait,Kosovo na Libya waliingilia kijeshi lakini nchi zote hizo hazikua Wanachama na kwingine hata umoja wa mataifa haukutoa baraka .

Anachokifanya Urusi Leo kwa Ukraine walifanya akina Sadam,Ghadafi na Milosevic.

Labda tofauti ni ndogo TU,Urusi yeye anasema anaharibu miundimbinu ya kijeshi tuu.
 
IMG-20220225-WA0111.jpg


IMG-20220225-WA0100.jpg
 

Attachments

  • VID-20220225-WA0055.mp4
    3.5 MB
  • VID-20220225-WA0068.mp4
    6.3 MB
  • VID-20220225-WA0108.mp4
    3.5 MB
  • VID-20220225-WA0091.mp4
    11.2 MB
  • VID-20220225-WA0069.mp4
    1.1 MB
Urusi sio nchi hizo ulizozitaja

Technology ya vita yuko juu pengine kumzidi hata huyo mmarekani, ila kwasababu mmarekani hufanya namna kuonekana yeye yupo juu muda wote.

Ukitoa ukubwa na uzuri wa Technology ya vita, Kiongozi kuwa na msimamo ulio dhabiti ni siraha ya kwanza.

Wakati huo au ule sio sasa, Russia ana siraha kali kiasi kwamba wakisema kianze, Patachimbika.
 
Urusi sio nchi hizo ulizozitaja

Technology ya vita yuko juu pengine kumzidi hata huyo mmarekani, ila kwasababu mmarekani hufanya namna kuonekana yeye yupo juu muda wote.

Ukitoa ukubwa na uzuri wa Technology ya vita, Kiongozi kuwa na msimamo ulio dhabiti ni siraha ya kwanza.

Wakati huo au ule sio sasa, Russia ana siraha kali kiasi kwamba wakisema kianze, Patachimbika.
Maneno mazito sana haya kiongozi.
 
Ukitaka kumwangamiza Mbwa mpe jina baya, hicho ndicho kinafanyika kwa Rusia Sasa,japo sijajua wanataka kumwangamiza kwa style ipi....sumu ambo sawa na vikwazo au kitu gani.

Ila tuombe Mungu busara impate Rais wa Rusia bila hivyo wananchi wake wataumia vibaya mno. Au labda watakula gesi walionayo kwa wingi.
 
Ukitaka kumwangamiza Mbwa mpe jina baya, hicho ndicho kinafanyika kwa Rusia Sasa,japo sijajua wanataka kumwangamiza kwa style ipi....sumu ambo sawa na vikwazo au kitu gani.

Ila tuombe Mungu busara impate Rais wa Rusia bila hivyo wananchi wake wataumia vibaya mno. Au labda watakula gesi walionayo kwa wingi.
Russia sio Tanzania, angalia madhara wanayopata ulaya, na hapo hawajuzuia uagizaji wa gesi. USA anata kua mbadala wa Russia pale ulaya... ni vita ya kiuchumi. Ngoja tuone nani atakua mbabe.
 
Russia sio Tanzania, angalia madhara wanayopata ulaya, na hapo hawajuzuia uagizaji wa gesi. USA anata kua mbadala wa Russia pale ulaya... ni vita ya kiuchumi. Ngoja tuone nani atakua mbabe.
Kuna msemo unasema ni rahisi kuwa namba 1 ila ni vigumu kubaki namba moja wakati wote, USA ilishakua namba 1 hivyo anajitahidi kubaki na. 1....shida inakuja wanaotaka hiyo na. 1 ya USA ndiyo hawachangi karata vizuri.

Ebu fikiria suala la Rusia kutaka kuweka silaa karibu na USA kupitia CUBA ilimalizwa ki diplomasia bila USA kupoteza baadhi ya resources zake na Rusia waliondoa hizo silaa. Kama Rusia walijua maadui zake wanataka kuweka Silaa karibu yake akishindwa nini ushawishi?

Ukubwa pia unapimwa kwa busara siyo uwezo wa kumpiga mtu makonde tu.
 
Kabla ya kupigana vita hufanyika tathmini kwanza kujua gharama, muda na madhara ya vita husika... Vita pia ni njia ya mwisho kabisa baada ya mbinu zote kushindwa..

NATO kuivamia Urusi gharama, muda na madhara vitakuwa juu sana sio Ulaya na America tu bali kwa dunia nzima..

Russia ni Nuklia power nation, Nato nao ni Nuklia Power...kukurupuka kwa mmoja wapo kunaweza kusababisha vita ya Nuklia hasa mmoja anapoona anaangamizwa matokeo yake ni athari kubwa duniani kwa viumbe vyote..

Nawapongeza NATO na USA kwa kuwa na tolerance katika hili, tofauti na hapo wangeweza kusababisha madhara makubwa kwa dunia...
 
Marekani na NATO yake wamefyata mikia, wamezoea kuonea dagaa tu hao! Wanajua mrusi anapomchapa m'ukrane, kimsingi anayelengwa hapo ni m'marekani' na NATO' yake! Akijichanganya tu imekula kwake! Ila vita isee isikie tu kwa mbali...siyo kabisa i see! Mungu azinusuru nyika!
 
Hapo zamani,Sadam huseini wa Iraq alifanya kama anavyofanya Putin wa Urusi Leo kwa kuivamia nchi ya Kuwait.
Marekani na washirika wake wakaivamia Iraq na kuipiga Hadi ikatoka Kuwait.

Miaka kadhaa baadae Slobodan Milosevic wa Yugoslavia aliwapiga kishenzi waasi na raia waliokua wanataka kujitenga wa mji wa Kosovo Huku wakikimbia bila kujua wanakimbilia wapi.
Yalikua ni mapigano ya kikabila.

NATO wakaingilia kati na kushusha kipigo Cha mabomu Cha Hali ya juu katika miji na vijiji vya Yugoslavia upande wa Serbia iloyokua ikiongozwa na Milosevic aliekua anawashusgia vipigo vikali sana wakosovo,na hatimae Milosevic akasalimu amri.

NATO walifanya hayo hayo kwa Yugoslavia Huku umoja wa mataifa ukipinga kuwa damu itamwagika sana, bila idhini ya umoja wa mataifa NATO walipiga mabomu sana upande wa Serbia.

Marekani alipiga Tena Iraq yeye na washirika wake kwa madai kuwa Iraq ilikua imeficha silaha za maangamizi.(weapons of Mass destruction) WMD.

Wamarekani na washirika wake na wapambe wao walishiriki vita hizo na hatimae Wakamkamata Rais wa Iraq akiwa mzima na kumkabidhi kwa wairaq wasio mpenda wakamnyonga.

Muamar Ghadafi wa Libya nae hakuweza kukwepa mkono mmoja wa Baadhi ya Wanachama wa NATO Marekani na Ufaransa .

Baada ya kuonekana Gadafi anaua raia wake kwa wingi kutokana na guvu ya jeshi lake ,ilibidi Marekani na Ufaransa wakatimia madege kudhoofisha uwezo wa jeshi la Libya na hatimae Gadafi kuzidiwa na kukamatwa na mwisho kuuwawa.

Leo najiuliza NATO wamefikwa na nini?
Matendo anavyofanya Urusi huko Ukraine yanafanana kabisa na matendo ya akina Milosevic,Saddam na Ghadafi.
Marekani na NATO waliweza kushusha mabomu na kuwamaliza nguvu maraisi hao.

Sasa hivi masikini,ukweli nimeingiwa na huruma ,Ukraine inaadhibiwa na Urusi NATO hiihii ambayo ilimpa matumaini Zelensky inaangalia TU jinsi anavyofedheheshwa.

Zelensky Yuko chumbani kwake amevamiwa anapiga mayowe,makele,mwano na Kila aina ya kuomba msaada majirani na marafiki waliokua wanampa matumaini wamesimama pembeni mwa madirisha wanachungulia TU.

Sababu wanayotoa Haina mashiko,kuwa NATO ni kwa ajili ya Wanachama TU.

Ok basi tuache uanachama,tuaangalie na ubinadamu TU,kwa mfano Kuwait,Kosovo,na Libya hazikua Wanachama wa NATO lakini ubinadamu ulikuja na kuwaokoa watu wa nchi hizo.

Sasa kwa Nini NATO inakua na ubaguzi namna hii?

Ukweli sipendi vita,vita inaharibu Kila kitu.watu wasio na makosa ama hatia wanakufa bila sababu wanaacha makazi na kazi zao wanakimbilia kusukijulikana.

NATO- Kuiwait,Kosovo na Libya waliingilia kijeshi lakini nchi zote hizo hazikua Wanachama na kwingine hata umoja wa mataifa haukutoa baraka .

Anachokifanya Urusi Leo kwa Ukraine walifanya akina Sadam,Ghadafi na Milosevic.

Labda tofauti ni ndogo TU,Urusi yeye anasema anaharibu miundimbinu ya kijeshi tuu.
.
Screenshot_20220304-162938.jpg
 
Marekani na NATO yake wamefyata mikia, wamezoea kuonea dagaa tu hao! Wanajua mrusi anapomchapa m'ukrane, kimsingi anayelengwa hapo ni m'marekani' na NATO' yake! Akijichanganya tu imekula kwake! Ila vita isee isikie tu kwa mbali...siyo kabisa i see! Mungu azinusuru nyika!
Hizi comment za kitoto zinatakiwa ziwe zinafutwa.
 
Ukitaka kumwangamiza Mbwa mpe jina baya, hicho ndicho kinafanyika kwa Rusia Sasa,japo sijajua wanataka kumwangamiza kwa style ipi....sumu ambo sawa na vikwazo au kitu gani.

Ila tuombe Mungu busara impate Rais wa Rusia bila hivyo wananchi wake wataumia vibaya mno. Au labda watakula gesi walionayo kwa wingi.
Tatizo lako u dont have detailed information about russia na unaiona ni kama kanchi fulani labda kama Lesotho siyo hivyo mkuu huwezi tuma mbwa kumtisha Dubu
 
Hapo zamani,Sadam huseini wa Iraq alifanya kama anavyofanya Putin wa Urusi Leo kwa kuivamia nchi ya Kuwait.
Marekani na washirika wake wakaivamia Iraq na kuipiga Hadi ikatoka Kuwait.

Miaka kadhaa baadae Slobodan Milosevic wa Yugoslavia aliwapiga kishenzi waasi na raia waliokua wanataka kujitenga wa mji wa Kosovo Huku wakikimbia bila kujua wanakimbilia wapi.
Yalikua ni mapigano ya kikabila.

NATO wakaingilia kati na kushusha kipigo Cha mabomu Cha Hali ya juu katika miji na vijiji vya Yugoslavia upande wa Serbia iloyokua ikiongozwa na Milosevic aliekua anawashusgia vipigo vikali sana wakosovo,na hatimae Milosevic akasalimu amri.

NATO walifanya hayo hayo kwa Yugoslavia Huku umoja wa mataifa ukipinga kuwa damu itamwagika sana, bila idhini ya umoja wa mataifa NATO walipiga mabomu sana upande wa Serbia.

Marekani alipiga Tena Iraq yeye na washirika wake kwa madai kuwa Iraq ilikua imeficha silaha za maangamizi.(weapons of Mass destruction) WMD.

Wamarekani na washirika wake na wapambe wao walishiriki vita hizo na hatimae Wakamkamata Rais wa Iraq akiwa mzima na kumkabidhi kwa wairaq wasio mpenda wakamnyonga.

Muamar Ghadafi wa Libya nae hakuweza kukwepa mkono mmoja wa Baadhi ya Wanachama wa NATO Marekani na Ufaransa .

Baada ya kuonekana Gadafi anaua raia wake kwa wingi kutokana na guvu ya jeshi lake ,ilibidi Marekani na Ufaransa wakatimia madege kudhoofisha uwezo wa jeshi la Libya na hatimae Gadafi kuzidiwa na kukamatwa na mwisho kuuwawa.

Leo najiuliza NATO wamefikwa na nini?
Matendo anavyofanya Urusi huko Ukraine yanafanana kabisa na matendo ya akina Milosevic,Saddam na Ghadafi.
Marekani na NATO waliweza kushusha mabomu na kuwamaliza nguvu maraisi hao.

Sasa hivi masikini,ukweli nimeingiwa na huruma ,Ukraine inaadhibiwa na Urusi NATO hiihii ambayo ilimpa matumaini Zelensky inaangalia TU jinsi anavyofedheheshwa.

Zelensky Yuko chumbani kwake amevamiwa anapiga mayowe,makele,mwano na Kila aina ya kuomba msaada majirani na marafiki waliokua wanampa matumaini wamesimama pembeni mwa madirisha wanachungulia TU.

Sababu wanayotoa Haina mashiko,kuwa NATO ni kwa ajili ya Wanachama TU.

Ok basi tuache uanachama,tuaangalie na ubinadamu TU,kwa mfano Kuwait,Kosovo,na Libya hazikua Wanachama wa NATO lakini ubinadamu ulikuja na kuwaokoa watu wa nchi hizo.

Sasa kwa Nini NATO inakua na ubaguzi namna hii?

Ukweli sipendi vita,vita inaharibu Kila kitu.watu wasio na makosa ama hatia wanakufa bila sababu wanaacha makazi na kazi zao wanakimbilia kusukijulikana.

NATO- Kuiwait,Kosovo na Libya waliingilia kijeshi lakini nchi zote hizo hazikua Wanachama na kwingine hata umoja wa mataifa haukutoa baraka .

Anachokifanya Urusi Leo kwa Ukraine walifanya akina Sadam,Ghadafi na Milosevic.

Labda tofauti ni ndogo TU,Urusi yeye anasema anaharibu miundimbinu ya kijeshi tuu.
Wew ni zamwamwa+zuzu
 
Ukitaka kumwangamiza Mbwa mpe jina baya, hicho ndicho kinafanyika kwa Rusia Sasa,japo sijajua wanataka kumwangamiza kwa style ipi....sumu ambo sawa na vikwazo au kitu gani.

Ila tuombe Mungu busara impate Rais wa Rusia bila hivyo wananchi wake wataumia vibaya mno. Au labda watakula gesi walionayo kwa wingi.
 

Attachments

  • VID-20220304-WA0002.mp4
    2.8 MB
Zakwako za kizee ziko wapi? Vita ya mrusi marekali lazima ale mbio fuatilia haya mambo upate raha siyo unazomoka from no where
We unaonekana hujafuatilia kabisa hii migogoro baina ya US na Russia.
Tatizo ni kwamba USA ni maakili mingi we acha kabisa.
Russia mtumia mabavu.
Aliyefanya USSR ivunjike ni US,aliyesababisha Georgia kuishinda Russia ni huyo huyo US na aliyefanya Taliban imtembezee kichapo Russia ni huyo huyo USA.
ASA jiulize aliwezaje!?
Kinachomfanya USA asiingie ktk Vita kwasasa ni kwasababu ya kiuchumi.
China ni taifa ambalo linasubiri US akosee padogo wao wawe super power na ni kitu ambacho USA kinamuumiza kichwa kwasasa.Hivyo hajiingizi vitani hovyo.
 
Russia sio Tanzania, angalia madhara wanayopata ulaya, na hapo hawajuzuia uagizaji wa gesi. USA anata kua mbadala wa Russia pale ulaya... ni vita ya kiuchumi. Ngoja tuone nani atakua mbabe.
Kaka hiyo Russia Ina uchumi gani wa kushindana hata na Germany au UK!?
US anataka kuwa mbadala wa Russia Ulaya ktk kitu gani!?
Hiyo Russia tofauti na gesi Ina supply nn Cha maana Ulaya kuizidi USA!?
Mind you kaka Russia ina hali mbaya kiuchumi kwasasa wananchi washaanza kuteseka pesa ya ruble inashuka kwa kasi.
Kama unategemea Ulaya iteseke kiss gesi toka Russia umechemka bro.
DUNIANI SUPPLIER MKUBWA WA MAFUTA NI MATAIFA YA UARABUNI ILA KIPINDI CHA YOMKIPPUR WAR 1973 KISA KUIOKOA SYRIA AMBAYO ILIKUA IKIPOKEA KICHAPO KITAKATIFU TOKA ISRAEL WAKASUSIA KUUZA MAFUTA ULAYA.
KILICHOWAKUTA WANAUME WAKASUSA KWELI NA WAO KUNUNUA MAFUTA YAO WALIOMBA POO WENYEWE NDIO MKATABA WA CAPE DAVID UKAUNDWA.
ACHANA NA USA NA EU WALE JAMAA KIUCHUMI NDIO WANAONGOZA DUNIANI HAWAKOSAGI MBADALA.
 
Back
Top Bottom