Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 8,870
- 14,258
Kauli za mataifa yanayounda umoja wa NATO kwa sasa zinatia huruma.Unaweza ukaona hilo katika matamshi ya kiongozi wa umoja huo General Jens Stoltenberg aliposema mataifa hayo yanakimbia na wakati ili kuiwahi Urusi kabla haijakazia katika mashambulio yao makubwa dhidi ya mwenzao Ukraine.
Akaongeza kwa kusema kama mtu mwenye hofu "Na kwa kweli tumeshaona tayari wameanza".... "Kwangu mimi ni muhimu kukimbizana na wakati na kuipatia Ukraine silaha kwa haraka."
Hayo ameyasema Jumanne huko Brussels kwenye makao makuu ya umoja huo alipokuwa akikutana na waandishi wa habari.
Akaongeza kwa kusema kama mtu mwenye hofu "Na kwa kweli tumeshaona tayari wameanza".... "Kwangu mimi ni muhimu kukimbizana na wakati na kuipatia Ukraine silaha kwa haraka."
Hayo ameyasema Jumanne huko Brussels kwenye makao makuu ya umoja huo alipokuwa akikutana na waandishi wa habari.