NATO wasema wanafukuzana na wakati kuiwahi Urusi

NATO wasema wanafukuzana na wakati kuiwahi Urusi

Kwakweli watanzania tunajifanya kana kwamba kila kitu tunakijua, unamkuta mtu ambaye hata level yake kielimu ni ya kutia mashaka but anajifanya yeye ndiye gwiji wa diplomasia ya kimataifa.

Wengi humu wanajifanya ni wataalamu wa masuala ya kivita na ni wachambuzi haswa kuliko hata warusi na wamarekani, nakwambia unakuta mtu hata hajui historia ya hizo nchi but hapa jamvini ni gwiji duh!

Tuache ujuaji, tuache ushabiki usio na maana wowote, ni vyema tulinde hadhi yetu kama watanzania, watu wenye akili na uchambua mambo kisomi ok
 
successfully mkuu., Russia alivyojipanga alibugi sana alisema ataishughulikia Ukraine kwa 72hrs sasa inamkost mwaka 2 tena, budget yake imevurugwa kitambo sana, anapigana kwa hasara, vita ya siku 1 Russia inagaramika Euro 160 million, Urusi sasa amelazimika kukodi majeshi kwa vikundi vya kigaidi dhidi ya Ukraine jesh hana tena, kamaliza vijana wake, wafungwa magerezani na wanajeshi aliplan kuwapeleka mwanzo wote kwisha habar yao, urusi inaenda kuanguka raia wake wanahama nchi kutafuta maisha nchi nyengine
Si kweli kwamba Russia ilisema itaishughulikia Ukraine ndani ya masaa 72 bali walisema waaanzisha operesheni maalum ya kuondoa unazi na uwezo wa kijeshi wa Ukraine ambao utakuwa ni tishio kwake.

Hiyo ni kwasababu mbili.

1. NATO na USA kushindwa kuelewa katazo la Russia kwamba wasisogee karibu yake kwa kuingia Ukraine.

2. Kwa ajili ya kuimarisha usalama wake.
 
Njia alokuwa akiitumia mwanzo kwa sasa haipo tena. Russia ni anapga akitokea mbali, na hii imeonesha namna gani Ukraine ameimprove ktk mapambano.

Kasi ya Russia kuteka miji imepungua kwa zaidi ya asilimia 80, unless uwe haufatilii hii vita kwa undani zaidi.
Russia is closing in pale Bakhmut.

Vyombo vya habari vya magharibi haviwezi kusema haya.

Ukraine yajiandaa kujibu mapigo mwezi ujao baada ya kupokea shehena ya silaha jambo ambalo linawafanya wapoteze uwezo huo.
 
Mkuu mtu mwenye hofu zaidi ni Putin kwamba inakuwaje Taifa kubwa kama Russia tulivyokuwa tunaambiwa hapo kabla kiongozi wao mkubwa wa kijeshi sasa anakuwa chini ya kundi la Wagner Group kwenye vita kule Ukrean kikundi kidogo cha kukodi
Wagner ni Private Military Company inafanya kazi chini ya amri ya Putin na amehusika kuiunda na inafanya operations za nje ya Russia na brings more money to Russia and Putin's pocket na few Orligachs ktk cirle yake.
 
sijui Zelensky alikubari je kuchonganishwa na wenda wazimu wa magharibi dhidi ya Urusi


Zelensky ni pando (product) ya Marekani, Marekani alifanya njama yule Rais wa kabla ya Zelensky (Zelensky predecessor) ambaye alikuwa ni Pro-Russia akaondolewa madarakani kwa njama za Marekani/NATO ili iwe rahisi kwa Ukraine kujiunga na NATO ili kuithibiti Urusi kijeshi kupitia Ukraine kwa minajili ya kuiteza nguvu za kimkakati (strategic position), Putin akawashtukia juu ya huo mchezo na ndio maana utaona Marekani hapati usingizi inapoona Ukraine ikila kichapo kwani inajua yenyewe kimsingi ndio sababu ya hii vita.
 
Zelensky ni pando (product) ya Marekani, Marekani alifanya njama yule Rais wa kabla ya Zelensky (Zelensky predecessor) ambaye alikuwa ni Pro-Russia akaondolewa madarakani kwa njama za Marekani/NATO ili iwe rahisi kwa Ukraine kujiunga na NATO ili kuithibiti Urusi kijeshi kupitia Ukraine kwa minajili ya kuiteza nguvu za kimkakati (strategic position), Putin akawashtukia juu ya huo mchezo na ndio maana utaona Marekani hapati usingizi inapoona Ukraine ikila kichapo kwani inajua yenyewe kimsingi ndio sababu ya hii vita.
Na mrusi akifanikiwa hapo kiev ataacha kibaraka wake, lazima amtoe kibaraka wa marekani
 
Zelensky ni pando (product) ya Marekani, Marekani alifanya njama yule Rais wa kabla ya Zelensky (Zelensky predecessor) ambaye alikuwa ni Pro-Russia akaondolewa madarakani kwa njama za Marekani/NATO ili iwe rahisi kwa Ukraine kujiunga na NATO ili kuithibiti Urusi kijeshi kupitia Ukraine kwa minajili ya kuiteza nguvu za kimkakati (strategic position), Putin akawashtukia juu ya huo mchezo na ndio maana utaona Marekani hapati usingizi inapoona Ukraine ikila kichapo kwani inajua yenyewe kimsingi ndio sababu ya hii vita.
This is rubbish, utter rubbish. This senseless war has been caused by the policies of expansionism run by dictator Putin. He promised to subdue Ukraine in about 72 hours but now the war is running into one year and he is struggling to concur some settlements in Ukraine.
 
This is rubbish, utter rubbish. This senseless war has been caused by the policies of expansionism run by dictator Putin. He promised to subdue Ukraine in about 72 hours but now the war is running into one year and he is struggling to concur some settlements in Ukraine.
Anae strugle anaonekana haihitaji propaganda......na hata wanaolia kiuchumi wanaonekana ,,,,,halijifichi kwa sasa......mrusi akili kubwa sana anatwanga ndege wa 3 kwa jiwe 1.......kisiasa, kiuchumi, mtizamo wa kijamiii.,.......kwa ka vita ka sehemu 1 tu wakati kuna maboya wamelazimisha vita uchwara sehem mbalimbali duniani ili wayapate anayoyapata mrusi kwa sasa kwa ka oparesheni kamoja tu
 
Zelensky ni pando (product) ya Marekani, Marekani alifanya njama yule Rais wa kabla ya Zelensky (Zelensky predecessor) ambaye alikuwa ni Pro-Russia akaondolewa madarakani kwa njama za Marekani/NATO ili iwe rahisi kwa Ukraine kujiunga na NATO ili kuithibiti Urusi kijeshi kupitia Ukraine kwa minajili ya kuiteza nguvu za kimkakati (strategic position), Putin akawashtukia juu ya huo mchezo na ndio maana utaona Marekani hapati usingizi inapoona Ukraine ikila kichapo kwani inajua yenyewe kimsingi ndio sababu ya hii vita.
Pre decessor wa zelensky ni Petro poroshenko ..na Alikuwa pro west ,,.....yule pro Russian alipinduliwa na maandamano makubwa yaitwyo euromaidan 2014
 
Aiseee, pole sana kijana.

Unajua Kyiv Russia alipoteza askari wangapi? Alipoteza silaha ngapi pale Kyiv? Mwezi mpaka March 2022 Russia alipoteza askari zaidi ya 1,500 kwa mujubu wa Putin ktk ile speech yake ya mwezi March.

Zaidi ya askari 1,000 inasemekana walipotea ktk ile battle ya Kyiv. Kumbuka ni msafara uliokuwa wa 64km ukisheheni silaha za maangamizi kutoka Russia, msafara ukilindwa na air defences bora zaidi za s300 n.k

Hizi drones za Byaktar, Javeline the Don na Stinger si mchezo mzee. Russia walikimbia kwa miguu kwa kuacha silaha zao Kyiv.
Tuoneshe huo msafara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wanachukulia CIA ni kama TISS.

NATO walisema mapema kabisa toka vita vinaanza kuwa wanahitaji kuona hii vita ikichukua muda mrefu zaidi. Na wakaitengea hii vita bajeti ya miaka mitano, wote tulioona NATO ni kama imewehuka, tuliamini vita haiwezi kumaliza mwezi. Lakini leo tunazungumzia mwaka.

Russia ataendelea kuchukua maeneo ya Ukraine ila hatochukua kwa kasi kubwa sana, watachukua sababu NATO wanataka vita vichukue muda mrefu zaidi, sasa itachukuaje muda mrefu endapo hakuna maeneo ya kupiganiwa? Ni lazima russia amege sehemu kisha ipambaniwe hiyo sehemu.

Kadri siku zinavyozidi kwenda, NATO wanaonesha kuikabili vyema Russia kijeshi, kiuchumi, kidiplomasia walishammaliza mpaka sasa.
NATO wapo vitani RUSSIA yupo kwenye SMO nayupo tayari hata miaka 100

Sent using Jamii Forums mobile app
 
This is rubbish, utter rubbish. This senseless war has been caused by the policies of expansionism run by dictator Putin. He promised to subdue Ukraine in about 72 hours but now the war is running into one year and he is struggling to concur some settlements in Ukraine.
NATO waende wakaitetee UKRAINE hii dikteta cjui expanshenizm haitasaidia kitu huko SMO inaendelea na itaendelea mpaka malengo yafikiwe

SMO iendeleeee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na wajitutumue kweli, wakichelewa kidogo tu watawakuta Warusi wameshajimilikisha nchi.
Wahuni wameanzisha jambo lao na lazima walitimize!
hahaa!!wakati kiongozi wa eti kundi hatari la wagner amesema wazi kuwa Urusi kuyachukua maeneo hayo tu itawachukua kama miaka 2!!!
 
Acha kujidanganya Mzee kwenye vita Kuna kitu kinaitwa propaganda na huwa ni muhimu kweli kweli kama Kuna wana jeshi kwenye huu Uzi watakuelezea . Hizo kauli za wafungwa na blabla zingine ni Moja ya propaganda zenyewe za kivita . Na kuhusu gharama sio kweli maeneo waliyochukua urusi ni yenye utajiri mkubwa Sana wa Mali kwahiyo watafidia haraka sana

Urusi wamechukua ardhi ya Ukraine yenye utajiri wa chuma , utajiri wa chumvi, utajiri wa Aluminum, utajiri wa miji yenye viwanda vikubwa, wamechukua bandari kubwa zote kwenye miji hiyo , wameweza kulinda njia ya kupitisha Bomba lao la kimkakati kupeleka gesi na mafuta ulaya , pia wameweza kupora maeneo yenye utajiri wa mafuta na gesi na kuharibu mpango wa marekan na ulaya kuacha kutumia gesi na mafuta ya urusi na waanze kutumia ya Ukraine. Na Bado amebeba wananchi wa hayo maeneo na atanufaika nao kiuchumi. Na Bado anaendelea kupiga Ukraine na kupora maeneo mengine makubwa zaidi

Mwisho wa siku utajiri huo utafidiwa na kubwa zaid baada ya hii vita kuisha Kuna kitu kinaitwa balance of power inaenda kutokea Sasa hivi rasmi na Dunia itapumua Kwa ujinga wa marekan na vibaraka wake angalau Sasa Kuna block mpya ya urusi mataifa yanawezekana kukimbilia huko na kufanya biashara kama zamani
Mimi mpaka sasa nashangaa wasomi wa Pentagon na NATO kushindwa kutumia akili kuepusha janga la kibinadamu.

My heart inasimama na raia wanaoathirika na hizi showcases za gadgets.

So imbecile hii vita
 
Hakuna eneo hata moja kwenye ardhi ya Ukraine ambayo urusi wamechukua na kuwa comfortable kufanya shughuli za kichumi ni propaganda ya hali ya juu umelishwa, miji waliyotangaza urusi kuchukua ni partially hayako full controlled na urusi vita inaendelea ingawa ni kweli Urusi alikuwa na mpango wakupora hayo maeneo kujimilikisha rasilimali lakini kilichomkuta hakutegemea ndio maana hadi mwaka umeisha bado anapeleka makundi haya na haya kwenye vita wanajeshi wake wanaambulia kufa tu.

Vita alii miscalculate vibaya na sasa anakumbana na changamoto ambazo Urusi kurudi kiuchumi ni ndoto, raia wake wanahama nchi maisha yamekuwa magumu urusi na juzi ametunga sheria kuwazuia raia wake wasiondoke au atawalipisha kodi mara 2 lakini wimbi ni kubwa hata urusi sasa wanaishi kwa khofu.

Marekani wanataifisha hela za matajiri wa kirusi walizoekeza Ulaya na Marekani kuzitoa msaada Ukraine zikiwemo hela za mtoto wa Putin ni vile Putin vita inamugharimu yeye peke yake sasa amekodi silaha kutoka Iran kila ndege na droon inayoangushwa inasoma toka Iran, putin amebakiwa na nuclear ambayo sasa hataweza kutumia alitishia vya kutosha lakini akachemsha watu wanasonga mbele
Hivi Vita vimeleta hasara kubwa kwa wahusika na dunia kwa ujumla.
 
Back
Top Bottom