NATO wasema wanafukuzana na wakati kuiwahi Urusi

NATO wasema wanafukuzana na wakati kuiwahi Urusi

Hakuna eneo hata moja kwenye ardhi ya Ukraine ambayo urusi wamechukua na kuwa comfortable kufanya shughuli za kichumi ni propaganda ya hali ya juu umelishwa, miji waliyotangaza urusi kuchukua ni partially hayako full controlled na urusi vita inaendelea ingawa ni kweli Urusi alikuwa na mpango wakupora hayo maeneo kujimilikisha rasilimali lakini kilichomkuta hakutegemea ndio maana hadi mwaka umeisha bado anapeleka makundi haya na haya kwenye vita wanajeshi wake wanaambulia kufa tu.

Vita alii miscalculate vibaya na sasa anakumbana na changamoto ambazo Urusi kurudi kiuchumi ni ndoto, raia wake wanahama nchi maisha yamekuwa magumu urusi na juzi ametunga sheria kuwazuia raia wake wasiondoke au atawalipisha kodi mara 2 lakini wimbi ni kubwa hata urusi sasa wanaishi kwa khofu.

Marekani wanataifisha hela za matajiri wa kirusi walizoekeza Ulaya na Marekani kuzitoa msaada Ukraine zikiwemo hela za mtoto wa Putin ni vile Putin vita inamugharimu yeye peke yake sasa amekodi silaha kutoka Iran kila ndege na droon inayoangushwa inasoma toka Iran, putin amebakiwa na nuclear ambayo sasa hataweza kutumia alitishia vya kutosha lakini akachemsha watu wanasonga mbele
Hakuna kitu ambacho mrusi hakukijua toka mwanzoni,,,, wamagharibi michezo yao ni ileile hawana mbinu mbadala na mrusi alishajua akishawagusa ukraine nini kinafata,,,,,,hii vita anaitumia kuipa nguvu brics na kuionyesha dunia maisha bila wamagharibi yanawezekana.............hao wamekumbatia madola ambayo kwenye mtikisiko wa uchumi ujao hayatasaidia kitu, huku mrusi anajikusanyia rasilimali na akibeba hilo eneo la ukraine atajiongezea utajiri mkubwa kuliko hivyo vidola walivyovifungia mabepari, maana maeneo anayoyataka mrusi nchini ukraine kiuchumi yana umuhimu mkubwa,,,,,,vita itaisha kwa mrusi kuimega ukraine na kule kiev kuweka kibaraka wake........yule mfungwa ambae ndo alikua kiongozi mkuu wa upinzani nchini ukraine anaweza akapewa nchi na mrusi,,,,,jamaa wana hesabu ndefu.......hawezi kuomba raia 1 tu kwa wanajeshi kibao wa ukraine huku akiwaacha wanajeshi wake mateka halafu amchukue raia mmoja tu wa ukraine......................
 
Sasa kama silaha zinazozalishwa kwa miezi 6 Ukraine aazitumia kwa siku moja alafu bado Urusi anaendelea kumega nchi kimasihara kwanini NATO wasiogope?
Hata ungekuwa wewe lazima uweke mikono kichwani huku ukitafuta uchochoro wa kutorokea 🤣🤣

Kibaya zaidi Urusi akikupiga anakuzunguka weee alafu mwisho anateka silaha uliobaki nazo pamoja na wanajeshi.
Pia kuna habari mbaya kutoka huko NATO kwamba, Urusi akiwateka wanamgambo wa Ukraine hawaui bali anawageuza kuwa jeshi lake na kuwatupa mstari wa mbele.

Urusi ni limbuyu likuubwa kiasi kwamba NATO wakitaka kulitikisa wanajikuta wakitikisika makalio
Na yalivyo wazi yanamwaga ule ugali uliharbika sababu ya spiringi za mlango taka kuwa legevu.
 
successfully mkuu., Russia alivyojipanga alibugi sana alisema ataishughulikia Ukraine kwa 72hrs sasa inamkost mwaka 2 tena, budget yake imevurugwa kitambo sana, anapigana kwa hasara, vita ya siku 1 Russia inagaramika Euro 160 million, Urusi sasa amelazimika kukodi majeshi kwa vikundi vya kigaidi dhidi ya Ukraine jesh hana tena, kamaliza vijana wake, wafungwa magerezani na wanajeshi aliplan kuwapeleka mwanzo wote kwisha habar yao, urusi inaenda kuanguka raia wake wanahama nchi kutafuta maisha nchi nyengine
Tatizo USA na NATO hawakujua strategy ya Russia. Mpango mkubwa wa Russia ni kuchukua nuclear plant kubwa kuliko zote in Europe na maeneo muhimu kijeshi na kiuchumu na amefanikiwa kwa 100%.

Ile ya kujifanya anataka kuichukua kyiv ni war plan ya kuwazuga. Hayo maeneo aliyoyachukua plus nuclear plant ni kujiakikishia usalama wake kwa asilimia kubwa sana.

My friend USA, NATO na Zelensky wameshapotea vibaya sana na wanachoendela kufanya ni kuiteketeza Ukraine kabisa
 
Huruma gani kwa kauli hizo??
Anaetia huruma ni puti aliye piga mkwala mandonga eti atakae msaidia Ukraine naye atachukua kichapo!
Leo wanao msaidia Ukraine wanajidhihirisha bila hofu mchana kweupe ww unasema wanatia huruma [emoji15][emoji12]
Uko sawa kweli ww?!
 
Putini hana hofu hata kidogo kwani Russia ilijipanga/kujiandaa kitambo sana. Mpango wa USA wa kuidhohofisha Russia kijeshi na kiuchumi ulipangwa kitambo sana na Russia walishausoma kitambo vilevile.
Huyo Zelensky na NATO ni tools za marekani ktk kumdhoofisha mrusi na hawataweza kushinda
Puti alibugi alipo linganisha uvamizi wake kule Chechinya ambao hawakuwa na silaha nzito zaidi ya rpg na jihadi ya kujitoa muhanga, hawakusaidiwa na Taifa lolote mjomba! lakini mrusi alionja joto la jiwe!
Sasa Ajìangalie mbinu ile aliyoitumia Chechinya itamgharimu kule Ukreine ambako wana Mjomba na silaha nzito!
Mwaka sasa unaisha![emoji15]
 
Puti alibugi alipo linganisha uvamizi wake kule Chechinya ambao hawakuwa na silaha nzito zaidi ya rpg na jihadi ya kujitoa muhanga, hawakusaidiwa na Taifa lolote mjomba! lakini mrusi alionja joto la jiwe!
Sasa Ajìangalie mbinu ile aliyoitumia Chechinya itamgharimu kule Ukreine ambako wana Mjomba na sil aha nzito!
Mwaka sasa unaisha![emoji15]
Umeongelea upande mmoja🤣🤣🤣 Marekani naye alipoingia kibubusa hapo chechnya nini kilimpata??
 
Vita ilishaisha kitambo sana. Kilichobaki saa hizi ni zelensky kutaka kurudisha maeneo yaliyotwaliwa na mrusi huku NATO wakimwangalia tu bila msaada wa maana. Ukraine wanataka msaada wa ndege hasa F16(Falcon Fighters), NATO wanaogopa kumpa zelensky ndege hizi sababu wanajua fika Ukraine wataanza kuzitumia Kwa kushambulia maeneo ya ndani kabisa ya Urusi. NATO wanaogopa majibu ya Urusi baada ya kuona anaanza kushambuliwa barazani, na Kwa upande wa Putin atakuwa na vitu viwili, siraha za nuclear na kupoteza vita. Maexpert wa NATO wamefanya calculations na kung'amua kuwa raisi Putin atachagua kutumia siraha za nuclear na siyo kushindwa vita,. Vilevile wanahisi Urusi ataanza kuongeza eneo la vita hasa kwenye mataifa yaliyotoa hizo ndege.. Marekani na mabest wake siyo mafala
 
Acha kujidanganya Mzee kwenye vita Kuna kitu kinaitwa propaganda na huwa ni muhimu kweli kweli kama Kuna wana jeshi kwenye huu Uzi watakuelezea . Hizo kauli za wafungwa na blabla zingine ni Moja ya propaganda zenyewe za kivita . Na kuhusu gharama sio kweli maeneo waliyochukua urusi ni yenye utajiri mkubwa Sana wa Mali kwahiyo watafidia haraka sana

Urusi wamechukua ardhi ya Ukraine yenye utajiri wa chuma , utajiri wa chumvi, utajiri wa Aluminum, utajiri wa miji yenye viwanda vikubwa, wamechukua bandari kubwa zote kwenye miji hiyo , wameweza kulinda njia ya kupitisha Bomba lao la kimkakati kupeleka gesi na mafuta ulaya , pia wameweza kupora maeneo yenye utajiri wa mafuta na gesi na kuharibu mpango wa marekan na ulaya kuacha kutumia gesi na mafuta ya urusi na waanze kutumia ya Ukraine. Na Bado amebeba wananchi wa hayo maeneo na atanufaika nao kiuchumi. Na Bado anaendelea kupiga Ukraine na kupora maeneo mengine makubwa zaidi

Mwisho wa siku utajiri huo utafidiwa na kubwa zaid baada ya hii vita kuisha Kuna kitu kinaitwa balance of power inaenda kutokea Sasa hivi rasmi na Dunia itapumua Kwa ujinga wa marekan na vibaraka wake angalau Sasa Kuna block mpya ya urusi mataifa yanawezekana kukimbilia huko na kufanya biashara kama zamani
Wakati sisi tumelala na tunafuatilia propaganda za NATO huko Urusi walikoteka wameshabadili kila kitu na hata wananchi waliokuwa waukraine wamekubali. Mji kama Mariupol na Severodonest hata kuitaja tena Zelensky hawezi.Barabara na madaraja yamejengwa na watu wametulia hawana habari na Ukraine.
 
Inayeyuka kikweli. Bandari zote zimekwenda imebaki Odessa nayo hawawezi kuitumia vizuri wateja wanaogopa.Mji wa viwanda Sevedonesk umekwenda.Na mgodi wa chumvi inayotumika ulaya yote nao umekwenda. Kyiv na Kharkiv ni kama Tanzania kubakiwa na Dodoma na Singida.
Malizia na kile kinu cha nyuklia kinacho zalisha umeme (kinaiywa "zaporoshie") ambacho urusi ameruka nacho juu juu sasa kimeunganishwa na grid ya taifa ya urusi!
 
Tatizo USA na NATO hawakujua strategy ya Russia. Mpango mkubwa wa Russia ni kuchukua nuclear plant kubwa kuliko zote in Europe na maeneo muhimu kijeshi na kiuchumu na amefanikiwa kwa 100%.

Ile ya kujifanya anataka kuichukua kyiv ni war plan ya kuwazuga. Hayo maeneo aliyoyachukua plus nuclear plant ni kujiakikishia usalama wake kwa asilimia kubwa sana.

My friend USA, NATO na Zelensky wameshapotea vibaya sana na wanachoendela kufanya ni kuiteketeza Ukraine kabisa
Aiseee, pole sana kijana.

Unajua Kyiv Russia alipoteza askari wangapi? Alipoteza silaha ngapi pale Kyiv? Mwezi mpaka March 2022 Russia alipoteza askari zaidi ya 1,500 kwa mujubu wa Putin ktk ile speech yake ya mwezi March.

Zaidi ya askari 1,000 inasemekana walipotea ktk ile battle ya Kyiv. Kumbuka ni msafara uliokuwa wa 64km ukisheheni silaha za maangamizi kutoka Russia, msafara ukilindwa na air defences bora zaidi za s300 n.k

Hizi drones za Byaktar, Javeline the Don na Stinger si mchezo mzee. Russia walikimbia kwa miguu kwa kuacha silaha zao Kyiv.
 
successfully mkuu., Russia alivyojipanga alibugi sana alisema ataishughulikia Ukraine kwa 72hrs sasa inamkost mwaka 2 tena, budget yake imevurugwa kitambo sana, anapigana kwa hasara, vita ya siku 1 Russia inagaramika Euro 160 million, Urusi sasa amelazimika kukodi majeshi kwa vikundi vya kigaidi dhidi ya Ukraine jesh hana tena, kamaliza vijana wake, wafungwa magerezani na wanajeshi aliplan kuwapeleka mwanzo wote kwisha habar yao, urusi inaenda kuanguka raia wake wanahama nchi kutafuta maisha nchi nyengine
mpaka kufika machi mwishoni, 2022 jeshi la ukraine lilikuwa imevurugwa kwa 95%. Walikuwa hawana tena nguvu. Ndio misaada ikaanza. Ukraine kwa sasa nusu wa wapiganaji wake ni mamluki toka nchi mbalimbali.
 
Vita ilishaisha kitambo sana. Kilichobaki saa hizi ni zelensky kutaka kurudisha maeneo yaliyotwaliwa na mrusi huku NATO wakimwangalia tu bila msaada wa maana. Ukraine wanataka msaada wa ndege hasa F16(Falcon Fighters), NATO wanaogopa kumpa zelensky ndege hizi sababu wanajua fika Ukraine wataanza kuzitumia Kwa kushambulia maeneo ya ndani kabisa ya Urusi. NATO wanaogopa majibu ya Urusi baada ya kuona anaanza kushambuliwa barazani, na Kwa upande wa Putin atakuwa na vitu viwili, siraha za nuclear na kupoteza vita. Maexpert wa NATO wamefanya calculations na kung'amua kuwa raisi Putin atachagua kutumia siraha za nuclear na siyo kushindwa vita,. Vilevile wanahisi Urusi ataanza kuongeza eneo la vita hasa kwenye mataifa yaliyotoa hizo ndege.. Marekani na mabest wake siyo mafala
Watu wanachukulia CIA ni kama TISS.

NATO walisema mapema kabisa toka vita vinaanza kuwa wanahitaji kuona hii vita ikichukua muda mrefu zaidi. Na wakaitengea hii vita bajeti ya miaka mitano, wote tulioona NATO ni kama imewehuka, tuliamini vita haiwezi kumaliza mwezi. Lakini leo tunazungumzia mwaka.

Russia ataendelea kuchukua maeneo ya Ukraine ila hatochukua kwa kasi kubwa sana, watachukua sababu NATO wanataka vita vichukue muda mrefu zaidi, sasa itachukuaje muda mrefu endapo hakuna maeneo ya kupiganiwa? Ni lazima russia amege sehemu kisha ipambaniwe hiyo sehemu.

Kadri siku zinavyozidi kwenda, NATO wanaonesha kuikabili vyema Russia kijeshi, kiuchumi, kidiplomasia walishammaliza mpaka sasa.
 
Wakati sisi tumelala na tunafuatilia propaganda za NATO huko Urusi walikoteka wameshabadili kila kitu na hata wananchi waliokuwa waukraine wamekubali. Mji kama Mariupol na Severodonest hata kuitaja tena Zelensky hawezi.Barabara na madaraja yamejengwa na watu wametulia hawana habari na Ukraine.
Hiyo miji itakuja kutapikwa tu, mbona Kharkiv ilikamatwa na ikaachiwa? Mboja Kherson zilipandishwa bendera za Russia na mpaka sasa zmedondoshwa. Hii vita itakuja kuisha vibaya kwa upande wa Ukraine na Russia, Ukraine ina nafasi kubwa ya kujengwa vizuri huko mbeleni.
 
Hakuna anayekataa kwamba sio kundi lake ni kama huko kwenu unapoamua sasa unapeleka vitani vikosi vya JKT au Zimamoto na Fire ni dalili kwamba hana tena jeshi sasa anatumia hayo makundi na anawalipa hela nyingi kuweka rehani maisha yao, wengi wameuliwa na wanaendelea
Angekuwa hana Jeshi angeendelea kuteka miji kila kukicha? Please use your common sense mkuu!!
 
mpaka kufika machi mwishoni, 2022 jeshi la ukraine lilikuwa imevurugwa kwa 95%. Walikuwa hawana tena nguvu. Ndio misaada ikaanza. Ukraine kwa sasa nusu wa wapiganaji wake ni mamluki toka nchi mbalimbali.
Hizi silaha zote zinazopelekwa Ukraine zimeonesha matokeo chanya, na hiki ndicho kinaipa Ukraine matumaini.

1. Javeline, mpaka sasa tunaona idadi ya vifaru kutembea ktk hii vita imepungua kwa zaidi ya asilimia 90, Russia haingizi vifaru kizembe, hata vile vifaru vyake bora zaidi ameogopa kuviingiza Ukraine sababu ya Javeline.

2. Stinger, hakuja uchafu wa helkota yeyote ya Russia wala jets zinazopasua anga la Ukraine.

3. HIMARS, huyu ndo mnyama, mnyama haswa. Amebadili upepo mzima wa vita. Huyu ndo amemwaga roho za warusi kama uchafu. Zipo zaidi ya 30 hapo Ukraine na hakuna mpaka sasa hata moja iliyoangushwa.

Sasa fikiria NATO ikapeleka ndege, launchers zingine hapo Ukraine. Au tufanye zinaingizwa HIMARS za long range, HIMARA ziwe 200 hapo Ukraine, watu watapoteana.

Russia amebaki kupiga mabomu akiwa kwake tu, kisha ndo apeleke watu, ile approach ya kwanza ya kupeleka watu na vifaa ameshafeli vibaya sana.
 
Angekuwa hana Jeshi angeendelea kuteka miji kila kukicha? Please use your common sense mkuu!!
Njia alokuwa akiitumia mwanzo kwa sasa haipo tena. Russia ni anapga akitokea mbali, na hii imeonesha namna gani Ukraine ameimprove ktk mapambano.

Kasi ya Russia kuteka miji imepungua kwa zaidi ya asilimia 80, unless uwe haufatilii hii vita kwa undani zaidi.
 
Hizi silaha zote zinazopelekwa Ukraine zimeonesha matokeo chanya, na hiki ndicho kinaipa Ukraine matumaini.

1. Javeline, mpaka sasa tunaona idadi ya vifaru kutembea ktk hii vita imepungua kwa zaidi ya asilimia 90, Russia haingizi vifaru kizembe, hata vile vifaru vyake bora zaidi ameogopa kuviingiza Ukraine sababu ya Javeline.

2. Stinger, hakuja uchafu wa helkota yeyote ya Russia wala jets zinazopasua anga la Ukraine.

3. HIMARS, huyu ndo mnyama, mnyama haswa. Amebadili upepo mzima wa vita. Huyu ndo amemwaga roho za warusi kama uchafu. Zipo zaidi ya 30 hapo Ukraine na hakuna mpaka sasa hata moja iliyoangushwa.

Sasa fikiria NATO ikapeleka ndege, launchers zingine hapo Ukraine. Au tufanye zinaingizwa HIMARS za long range, HIMARA ziwe 200 hapo Ukraine, watu watapoteana.

Russia amebaki kupiga mabomu akiwa kwake tu, kisha ndo apeleke watu, ile approach ya kwanza ya kupeleka watu na vifaa ameshafeli vibaya sana.
Mkuu upo vitani Ukrean nini??
 
Back
Top Bottom