Na wajitutumue kweli, wakichelewa kidogo tu watawakuta Warusi wameshajimilikisha nchi.Kauli za mataifa yanayounda umoja wa NATO kwa sasa zinatia huruma.Unaweza ukaona hilo katika matamshi ya kiongozi wa umoja huo General Jens Stoltenberg aliposema mataifa hayo yanakimbia na wakati ili kuiwahi Urusi kabla haijakazia katika mashambulio yao makubwa dhidi ya mwenzao Ukraine.
Akaongeza kwa kusema kama mtu mwenye hofu "Na kwa kweli tumeshaona tayari wameanza".... "Kwangu mimi ni muhimu kukimbizana na wakati na kuipatia Ukraine silaha kwa haraka."
Hayo ameyasema Jumanne huko Brussels kwenye makao makuu ya umoja huo alipokuwa akikutana na waandishi wa habari.
Mkuu mtu mwenye hofu zaidi ni Putin kwamba inakuwaje Taifa kubwa kama Russia tulivyokuwa tunaambiwa hapo kabla kiongozi wao mkubwa wa kijeshi sasa anakuwa chini ya kundi la Wagner Group kwenye vita kule Ukrean kikundi kidogo cha kukodiKauli za mataifa yanayounda umoja wa NATO kwa sasa zinatia huruma.Unaweza ukaona hilo katika matamshi ya kiongozi wa umoja huo General Jens Stoltenberg aliposema mataifa hayo yanakimbia na wakati ili kuiwahi Urusi kabla haijakazia katika mashambulio yao makubwa dhidi ya mwenzao Ukraine.
Akaongeza kwa kusema kama mtu mwenye hofu "Na kwa kweli tumeshaona tayari wameanza".... "Kwangu mimi ni muhimu kukimbizana na wakati na kuipatia Ukraine silaha kwa haraka."
Hayo ameyasema Jumanne huko Brussels kwenye makao makuu ya umoja huo alipokuwa akikutana na waandishi wa habari.
Inayeyuka kikweli. Bandari zote zimekwenda imebaki Odessa nayo hawawezi kuitumia vizuri wateja wanaogopa.Mji wa viwanda Sevedonesk umekwenda.Na mgodi wa chumvi inayotumika ulaya yote nao umekwenda. Kyiv na Kharkiv ni kama Tanzania kubakiwa na Dodoma na Singida.Ukraine taaratibu inayeyuka
Putini hana hofu hata kidogo kwani Russia ilijipanga/kujiandaa kitambo sana. Mpango wa USA wa kuidhohofisha Russia kijeshi na kiuchumi ulipangwa kitambo sana na Russia walishausoma kitambo vilevile.Mkuu mtu mwenye hofu zaidi ni Putin kwamba inakuwaje Taifa kubwa kama Russia tulivyokuwa tunaambiwa hapo kabla kiongozi wao mkubwa wa kijeshi sasa anakuwa chini ya kundi la Wagner Group kwenye vita kule Ukrean kikundi kidogo cha kukodi
Ngoja wachelewe tu watakuta mrusi kafunga entry points zote sijui wataingizaje hayo machuma yaoNa wajitutumue kweli, wakichelewa kidogo tu watawakuta Warusi wameshajimilikisha nchi.
Wahuni wameanzisha jambo lao na lazima walitimize!
Duuh kumbe hali iko hiviInayeyuka kikweli. Bandari zote zimekwenda imebaki Odessa nayo hawawezi kuitumia vizuri wateja wanaogopa.Mji wa viwanda Sevedonesk umekwenda.Na mgodi wa chumvi inayotumika ulaya yote nao umekwenda. Kyiv na Kharkiv ni kama Tanzania kubakiwa na Dodoma na Singida.
Warusi wana roho ngumu kuliko kawaida wanapiga huku hawacheki na mtuNa wajitutumue kweli, wakichelewa kidogo tu watawakuta Warusi wameshajimilikisha nchi.
Wahuni wameanzisha jambo lao na lazima walitimize!
successfully mkuu., Russia alivyojipanga alibugi sana alisema ataishughulikia Ukraine kwa 72hrs sasa inamkost mwaka 2 tena, budget yake imevurugwa kitambo sana, anapigana kwa hasara, vita ya siku 1 Russia inagaramika Euro 160 million, Urusi sasa amelazimika kukodi majeshi kwa vikundi vya kigaidi dhidi ya Ukraine jesh hana tena, kamaliza vijana wake, wafungwa magerezani na wanajeshi aliplan kuwapeleka mwanzo wote kwisha habar yao, urusi inaenda kuanguka raia wake wanahama nchi kutafuta maisha nchi nyenginePutini hana hofu hata kidogo kwani Russia ilijipanga/kujiandaa kitambo sana. Mpango wa USA wa kuidhohofisha Russia kijeshi na kiuchumi ulipangwa kitambo sana na Russia walishausoma kitambo vilevile.
Huyo Zelensky na NATO ni tools za marekani ktk kumdhoofisha mrusi na hawataweza kushinda
Acha hizo Hilo ni kundi lake nenda kasome au kasome uchambuz wa @Habibuanga kaelezea vizur kiufupi ni kundi ameunda yeye mwenyewe PutinMkuu mtu mwenye hofu zaidi ni Putin kwamba inakuwaje Taifa kubwa kama Russia tulivyokuwa tunaambiwa hapo kabla kiongozi wao mkubwa wa kijeshi sasa anakuwa chini ya kundi la Wagner Group kwenye vita kule Ukrean kikundi kidogo cha kukodi
Hakuna anayekataa kwamba sio kundi lake ni kama huko kwenu unapoamua sasa unapeleka vitani vikosi vya JKT au Zimamoto na Fire ni dalili kwamba hana tena jeshi sasa anatumia hayo makundi na anawalipa hela nyingi kuweka rehani maisha yao, wengi wameuliwa na wanaendeleaAcha hizo Hilo ni kundi lake nenda kasome au kasome uchambuz wa @Habibuanga kaelezea vizur kiufupi ni kundi ameunda yeye mwenyewe Putin
Acha kujidanganya Mzee kwenye vita Kuna kitu kinaitwa propaganda na huwa ni muhimu kweli kweli kama Kuna wana jeshi kwenye huu Uzi watakuelezea . Hizo kauli za wafungwa na blabla zingine ni Moja ya propaganda zenyewe za kivita . Na kuhusu gharama sio kweli maeneo waliyochukua urusi ni yenye utajiri mkubwa Sana wa Mali kwahiyo watafidia haraka sanasuccessfully mkuu., Russia alivyojipanga alibugi sana alisema ataishughulikia Ukraine kwa 72hrs sasa inamkost mwaka 2 tena, budget yake imevurugwa kitambo sana, anapigana kwa hasara, vita ya siku 1 Russia inagaramika Euro 160 million, Urusi sasa amelazimika kukodi majeshi kwa vikundi vya kigaidi dhidi ya Ukraine jesh hana tena, kamaliza vijana wake, wafungwa magerezani na wanajeshi aliplan kuwapeleka mwanzo wote kwisha habar yao, urusi inaenda kuanguka raia wake wanahama nchi kutafuta maisha nchi nyengine
Hakuna eneo hata moja kwenye ardhi ya Ukraine ambayo urusi wamechukua na kuwa comfortable kufanya shughuli za kichumi ni propaganda ya hali ya juu umelishwa, miji waliyotangaza urusi kuchukua ni partially hayako full controlled na urusi vita inaendelea ingawa ni kweli Urusi alikuwa na mpango wakupora hayo maeneo kujimilikisha rasilimali lakini kilichomkuta hakutegemea ndio maana hadi mwaka umeisha bado anapeleka makundi haya na haya kwenye vita wanajeshi wake wanaambulia kufa tu.Acha kujidanganya Mzee kwenye vita Kuna kitu kinaitwa propaganda na huwa ni muhimu kweli kweli kama Kuna wana jeshi kwenye huu Uzi watakuelezea . Hizo kauli za wafungwa na blabla zingine ni Moja ya propaganda zenyewe za kivita . Na kuhusu gharama sio kweli maeneo waliyochukua urusi ni yenye utajiri mkubwa Sana wa Mali kwahiyo watafidia haraka sana
Urusi wamechukua ardhi ya Ukraine yenye utajiri wa chuma , utajiri wa chumvi, utajiri wa Aluminum, utajiri wa miji yenye viwanda vikubwa, wamechukua bandari kubwa zote kwenye miji hiyo , wameweza kulinda njia ya kupitisha Bomba lao la kimkakati kupeleka gesi na mafuta ulaya , pia wameweza kupora maeneo yenye utajiri wa mafuta na gesi na kuharibu mpango wa marekan na ulaya kuacha kutumia gesi na mafuta ya urusi na waanze kutumia ya Ukraine. Na Bado amebeba wananchi wa hayo maeneo na atanufaika nao kiuchumi. Na Bado anaendelea kupiga Ukraine na kupora maeneo mengine makubwa zaidi
Mwisho wa siku utajiri huo utafidiwa na kubwa zaid baada ya hii vita kuisha Kuna kitu kinaitwa balance of power inaenda kutokea Sasa hivi rasmi na Dunia itapumua Kwa ujinga wa marekan na vibaraka wake angalau Sasa Kuna block mpya ya urusi mataifa yanawezekana kukimbilia huko na kufanya biashara kama zamani
Wewe muhurumie Samia na ccm yake.Kauli za mataifa yanayounda umoja wa NATO kwa sasa zinatia huruma.Unaweza ukaona hilo katika matamshi ya kiongozi wa umoja huo General Jens Stoltenberg aliposema mataifa hayo yanakimbia na wakati ili kuiwahi Urusi kabla haijakazia katika mashambulio yao makubwa dhidi ya mwenzao Ukraine.
Akaongeza kwa kusema kama mtu mwenye hofu "Na kwa kweli tumeshaona tayari wameanza".... "Kwangu mimi ni muhimu kukimbizana na wakati na kuipatia Ukraine silaha kwa haraka."
Hayo ameyasema Jumanne huko Brussels kwenye makao makuu ya umoja huo alipokuwa akikutana na waandishi wa habari.
bado hujaamka tu!!!Hakuna eneo hata moja kwenye ardhi ya Ukraine ambayo urusi wamechukua na kuwa comfortable kufanya shughuli za kichumi ni propaganda ya hali ya juu umelishwa, miji waliyotangaza urusi kuchukua ni partially hayako full controlled na urusi vita inaendelea ingawa ni kweli Urusi alikuwa na mpango wakupora hayo maeneo kujimilikisha rasilimali lakini kilichomkuta hakutegemea ndio maana hadi mwaka umeisha bado anapeleka makundi haya na haya kwenye vita wanajeshi wake wanaambulia kufa tu.
Vita alii miscalculate vibaya na sasa anakumbana na changamoto ambazo Urusi kurudi kiuchumi ni ndoto, raia wake wanahama nchi maisha yamekuwa magumu urusi na juzi ametunga sheria kuwazuia raia wake wasiondoke au atawalipisha kodi mara 2 lakini wimbi ni kubwa hata urusi sasa wanaishi kwa khofu.
Marekani wanataifisha hela za matajiri wa kirusi walizoekeza Ulaya na Marekani kuzitoa msaada Ukraine zikiwemo hela za mtoto wa Putin ni vile Putin vita inamugharimu yeye peke yake sasa amekodi silaha kutoka Iran kila ndege na droon inayoangushwa inasoma toka Iran, putin amebakiwa na nuclear ambayo sasa hataweza kutumia alitishia vya kutosha lakini akachemsha watu wanasonga mbele