Wewe mpaka leo hujajua Ukraine wanavyoitesa urusi? ukraine wana tabia ya kuwaacha urusi waingie katika miji halafu wanawazunguka na kuwarambisha mchanga., tokea vita imeanza habari ni hii wanayokumbana nayo russia, unaeza ona kijii kimetekwa kumbe wanasubiriwa wajazane, ndio mana urusi wamepoteza wanajeshi wao kama kumbikumbi mtindo nu huo sasa wanakodi makundi ya kigaidi wagner group, russia hana tena jeshiAngekuwa hana Jeshi angeendelea kuteka miji kila kukicha? Please use your common sense mkuu!!
Haya yako ya mwisho inaogopesha sana..Hii vita Russia atashinda, ataweka mtu wake Ukraine, America hatofanya chochote cha maana (kujiingiza moja kwa moja Ukraine) kwani anamuhofia Mchina kwamba mara atakapojiingiza Ukraine dhidi ya Russia Mchina naye atajiingiza Taiwan, Korea kaskazini naye atadili na korea kusini mbaya zaidi vita vitapiganwa mbali na ilipo Marekani na nje ya Bahari hii itaipa America kazi kubwa kama itajiingiza moja kwa moja, isitoshe America hajawahi kupigana vita vya aina hii tangu vita kuu ya dunia na ya vietnam na hivi karibuni vita dhidi ya Ugaidi hivyo hana uzoefu kupigana vita kubwa inayopiganwa na taifa kubwa lenye vifaa vya kisasa kama Russia.
UTABIRI NI; Russia atashinda hii vita lakini huo ndio utakuwa mwanzo wa maandalizi mapya ya vita ya tatu ya dunia kwani nchi za NATO na America hazitakubali tena kufedheheshwa na Russia hivyo wataanza kuunda silaha na kuzilimbikiza ili baadaye kumpiga Russia na (China).
Kujiunga NATO siyo kama kujiunga CCM kwamba unaomba leo jioni unapewa alafu hata akipewa uanachama leo hawezi kuanza kusaidiwa kama member maana mpaka ipite miaka 2 tangu umejiunga ndo ibara ya 5 itaanza kufanya kazi.Sasa wanatuma silaha kumsaidia kama nani pia sialisha peleka maombi ya kujiunga huko wamkubalie fasta wapate sababu mashoga hao
Msaada anopata zaidi ni vifaru na magari, vita ya Karne hii inapigwa anganiKujiunga NATO siyo kama kujiunga CCM kwamba unaomba leo jioni unapewa alafu hata akipewa uanachama leo hawezi kuanza kusaidiwa kama member maana mpaka ipite miaka 2 tangu umejiunga ndo ibara ya 5 itaanza kufanya kazi.
Mwisho nimesema umoja wa NATO haujamsaidia kitu Ukraine wala hauwezi kujivika uhusika wa kumsaidia bali ataendelea kusaidiwa na washirika mbalimbali individually haswa wale wanaomwona Russia kama adui na ambao wanajiona wako atarini kumegwa kama inavyotaka kutokea kwa Ukraine, mfano Poland.
NATO hawafanyi tena kitu.Wameamua kumuwacha Zelensky ateketee na vita alivyovianzisha. Fikiria wote wameshasema wanaunga mkono lakini ndege anazotaka hawatampatia.Na vifaru vya leopard wale waliosema watampatia mmoja mmoja anabadili maamuzi. kwa kujua muelekeo wa vita kusaidia chochote ni hasara tu.Tatizo USA na NATO hawakujua strategy ya Russia. Mpango mkubwa wa Russia ni kuchukua nuclear plant kubwa kuliko zote in Europe na maeneo muhimu kijeshi na kiuchumu na amefanikiwa kwa 100%.
Ile ya kujifanya anataka kuichukua kyiv ni war plan ya kuwazuga. Hayo maeneo aliyoyachukua plus nuclear plant ni kujiakikishia usalama wake kwa asilimia kubwa sana.
My friend USA, NATO na Zelensky wameshapotea vibaya sana na wanachoendela kufanya ni kuiteketeza Ukraine kabisa
waUikrane wakaanza kuuziwa umeme na Putin ilihali kinu ni chao,,tena na bei akapanga putini.Malizia na kile kinu cha nyuklia kinacho zalisha umeme (kinaiywa "zaporoshie") ambacho urusi ameruka nacho juu juu sasa kimeunganishwa na grid ya taifa ya urusi!
Habari kuu hapo juu inaonesha ugumu kwa Ukraine kwamba hizo silaha zaidi ni ahadi wakati mrusi ndio anasonga mbele.Mataifa yote ya NATO yanalalamika kupungukiwa na silaha baada ya kuzipeleka Ukraine na nyingi zimeangamia bila kutoa matokeo mazuri. Utengenezaji wa hizo silaha upya wataalamu wa kijeshi wanasema hauwezi kufanyika kwa haraka hasa kutokana na kuporomoka kwa uchumi na hatua za kiufundi za utengenezaji ambazo huwa hazihitaji pupa.Russia is closing in pale Bakhmut.
Vyombo vya habari vya magharibi haviwezi kusema haya.
Ukraine yajiandaa kujibu mapigo mwezi ujao baada ya kupokea shehena ya silaha jambo ambalo linawafanya wapoteze uwezo huo.
Maeneo anayotaka kashachukua unataka ateke nn tenaNjia alokuwa akiitumia mwanzo kwa sasa haipo tena. Russia ni anapga akitokea mbali, na hii imeonesha namna gani Ukraine ameimprove ktk mapambano.
Kasi ya Russia kuteka miji imepungua kwa zaidi ya asilimia 80, unless uwe haufatilii hii vita kwa undani zaidi.
Ona hiyo misaada[emoji15][emoji15][emoji15]Habari kuu hapo juu inaonesha ugumu kwa Ukraine kwamba hizo silaha zaidi ni ahadi wakati mrusi ndio anasonga mbele.Mataifa yote ya NATO yanalalamika kupungukiwa na silaha baada ya kuzipeleka Ukraine na nyingi zimeangamia bila kutoa matokeo mazuri. Utengenezaji wa hizo silaha upya wataalamu wa kijeshi wanasema hauwezi kufanyika kwa haraka hasa kutokana na kuporomoka kwa uchumi na hatua za kiufundi za utengenezaji ambazo huwa hazihitaji pupa.
Nchi kama Uiengereza inasemekana ndio iko hoi zaidi.
HatariiiiOna hiyo misaada[emoji15][emoji15][emoji15]View attachment 2519247
Binafsi naona kushindwa vita kwa US/NATO hakutoshi - kumaliza ujeuri na upenda penda vita wa genge hili ovu ni vema Urusi kuiteka Ukraine nzima nzima ikaungana na Russian Federation na kuwa taifa moja,Urusi ikikosea kutekeleza jambo hilo nyeti basi wakumbuke kwamba USA itabuni plan "B" ya ku-destroy Russia in totality ie militarily and economically.NATO hivi sasa hana silaha za kutosha, na hawana mpango wa kutengeneza silaha, kumbuka NATO ni umoja wa kijeshi wa nchi za ulaya, NATO kama umoja wa nchi hauna kiwanda kimoja kinachoitwa kiwanda cha NATO cha silaha kama ilivyo Russia ambayo viwanda vyake leo hii havilali, vinatengeneza silaha 24hrs kwa ajili ya hii vita achilia mbali zile wanazonunua kutoka China, korea kaskazini, Iran nk.
NATO wenyewe wameshagawanyika juu ya hii vita na huo ni udhaifu mkubwa wa NATO, NATO kabakia kubweka kama mbwa asiyekuwa na meno akaangalia mtiti anaotembeza Russia dhidi ya Ukraine licha ya masilaha yote waliyompatia.
Kila siku naku hoji, hivi: Jeshi la Amerika liliwachukua muda gani kupigana na walima mpunga na wavaa sandals zilizo tengenezwa kutokana na mabaki ya matairi ya magari na matairi ya B-52 zilizo tunguliwa na hao hao WavietCong.Kama Ukraine isiyokuwa na jeshi la maana, isiyojitosheleza kwa silaha mpaka isaidiwe ndo inamsumbua hivi Russia takriban mwaka sasa, hakika NATO inaweza ikamburuza Russia itakavyo. Jambo pekee linalohofiwa hapo ni silaha za Nuclear.
We uko dunia gani man .ebu fanya uchunguzi bila kueka mapenz upande mmoja .utaona ukweli .Kama suala la urusi kuishiwa wanajeshi huo Ni utoto usiongee mbele za watu wazima utaonekana punguanisuccessfully mkuu., Russia alivyojipanga alibugi sana alisema ataishughulikia Ukraine kwa 72hrs sasa inamkost mwaka 2 tena, budget yake imevurugwa kitambo sana, anapigana kwa hasara, vita ya siku 1 Russia inagaramika Euro 160 million, Urusi sasa amelazimika kukodi majeshi kwa vikundi vya kigaidi dhidi ya Ukraine jesh hana tena, kamaliza vijana wake, wafungwa magerezani na wanajeshi aliplan kuwapeleka mwanzo wote kwisha habar yao, urusi inaenda kuanguka raia wake wanahama nchi kutafuta maisha nchi nyengine
Namaanisha majeshi aliyoplan kuivamia Ukraine na kuibuka mshindi yameshindwa na kuuliwa jeshi alilonalo ni la kulinda Urusi kama nchi ndio maana anakodi hayo makundi, alichagua vita lakini hana jeshi kwa lugha nyepesiWe uko dunia gani man .ebu fanya uchunguzi bila kueka mapenz upande mmoja .utaona ukweli .Kama suala la urusi kuishiwa wanajeshi huo Ni utoto usiongee mbele za watu wazima utaonekana punguani
Russia nu weak na ndio maana hadi leo kashindwa fika Kyiv kabaki kulipua majengo tu.Kama Ukraine isiyokuwa na jeshi la maana, isiyojitosheleza kwa silaha mpaka isaidiwe ndo inamsumbua hivi Russia takriban mwaka sasa, hakika NATO inaweza ikamburuza Russia itakavyo. Jambo pekee linalohofiwa hapo ni silaha za Nuclear.
Tarehe 24/02 hadi April elites na wazoefu wengi waliuawa.Namaanisha majeshi aliyoplan kuivamia Ukraine na kuibuka mshindi yameshindwa na kuuliwa jeshi alilonalo ni la kulinda Urusi kama nchi ndio maana anakodi hayo makundi, alichagua vita lakini hana jeshi kwa lugha nyepesi
Ukreini itatema bungosuccessfully mkuu., Russia alivyojipanga alibugi sana alisema ataishughulikia Ukraine kwa 72hrs sasa inamkost mwaka 2 tena, budget yake imevurugwa kitambo sana, anapigana kwa hasara, vita ya siku 1 Russia inagaramika Euro 160 million, Urusi sasa amelazimika kukodi majeshi kwa vikundi vya kigaidi dhidi ya Ukraine jesh hana tena, kamaliza vijana wake, wafungwa magerezani na wanajeshi aliplan kuwapeleka mwanzo wote kwisha habar yao, urusi inaenda kuanguka raia wake wanahama nchi kutafuta maisha nchi nyengine
Leta link tukasomeAcha hizo Hilo ni kundi lake nenda kasome au kasome uchambuz wa @Habibuanga kaelezea vizur kiufupi ni kundi ameunda yeye mwenyewe Putin
Kila mtu anasema lakeHakuna eneo hata moja kwenye ardhi ya Ukraine ambayo urusi wamechukua na kuwa comfortable kufanya shughuli za kichumi ni propaganda ya hali ya juu umelishwa, miji waliyotangaza urusi kuchukua ni partially hayako full controlled na urusi vita inaendelea ingawa ni kweli Urusi alikuwa na mpango wakupora hayo maeneo kujimilikisha rasilimali lakini kilichomkuta hakutegemea ndio maana hadi mwaka umeisha bado anapeleka makundi haya na haya kwenye vita wanajeshi wake wanaambulia kufa tu.
Vita alii miscalculate vibaya na sasa anakumbana na changamoto ambazo Urusi kurudi kiuchumi ni ndoto, raia wake wanahama nchi maisha yamekuwa magumu urusi na juzi ametunga sheria kuwazuia raia wake wasiondoke au atawalipisha kodi mara 2 lakini wimbi ni kubwa hata urusi sasa wanaishi kwa khofu.
Marekani wanataifisha hela za matajiri wa kirusi walizoekeza Ulaya na Marekani kuzitoa msaada Ukraine zikiwemo hela za mtoto wa Putin ni vile Putin vita inamugharimu yeye peke yake sasa amekodi silaha kutoka Iran kila ndege na droon inayoangushwa inasoma toka Iran, putin amebakiwa na nuclear ambayo sasa hataweza kutumia alitishia vya kutosha lakini akachemsha watu wanasonga mbele