Natoa huduma za kushughulikia masuala mbalimbali Dodoma bila wewe kulazimika kufika hapa

Nahitaji mpenzi wa Dodoma jaman, nitaweza kumpata
Mkuu kua serious au una impairment yoyote?
Mi nashughulika na jambo lisilokulazimu wewe kuwepo eneo la kupatiwa huduma.Miongoni mwa hayo mambo ni kama
 

Attachments

  • messenger 1.jpg
    1.3 MB · Views: 15
 
Hii huduma bado ipo hii
 
HONGERA mkuu Kwa kuwa kwenye game Kwa kitambo kidogo bila feedback yeyote mbaya Kwa wateja wako.

TRUST ni kitu kikubwa Sana kukijenga na kukiimarisha, ila Ni Jambo dogo Sana na hata la sekunde kadhaa kulivunja, na punde Tu Uaminifu unapotoweka kuna uwezekano mkubwa husiweze kujengeka tena.
 
Asante sana.
 
Nimeupenda huu ubunifu
 
Hakuna watakaopigwa hapa kweli😂😂😂, nimeuliza tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…