Natoa pongezi kwa Jerry Silaa na Paul Makonda kwa kushughulikia matatizo ya Watanzania maskini

Natoa pongezi kwa Jerry Silaa na Paul Makonda kwa kushughulikia matatizo ya Watanzania maskini

Wanapaswa kutengeneza mifumo ya kuondoa kero, siyo kuzunguka na microphone kutatua kero. Hizo ni kiki tu.

Una taarifa kwamba wale wote ambao Makonda akipata kiki kwa kuwatumbua akiwa mwenezi wapo kazini?
 
Hawa wanaweza kufanya hivyo sababu kuna loop holes za kutosha kwenye sheria. They know this
Sasa wapo kwa ajili ya loopholes,!? au wapo kwa ajili ya kutenda na kusimamia haki !? Tafakuru!!
 
Haya ndio mapungufu tuliyonayo sisi waafrika.

Tunajenga watu badala ya taasisi.

Tutachelewa sana.
Taasisi zipo na ziliwekwa na Big Ben akiwa Rais wa Tanzania, sema watu waadilifu kwenye hizo Taasisi ni wachache sana! Ndiyo maana inabidi tuzalishe faster akina Jerry Silaa wengi!!
 
Back
Top Bottom