At Last our Queen has arrived NALIA NGWENA ukuje hapa nimekuona unatafuta data za robot wa Elon musk[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimecheka sana’a aiseee!!
Mwenzio niko kwenye maandalizi ya kuomba visa ya France si unajua mFrance aliniambia niende kwao [emoji12]
GENTAMYCIME againHakika nafarijika mno NALIA NGWENA na sura langu hili Kama nazomea lakini Kuna totozi kutoka mitaa ya washua Tena pisi Kali kweli kweli haziogopi kunifata PM.
Hicho kitendo kimenifariji sana tena sana hakika aliyesema "wanawake wanahuruma " Nampa big up kwa asilimia Mia. Haiwezekani na weusi wangu huu mtoto mzuri Kama Cute Wife anakuja inbox kunijulia hali? Huo ni mfano tu nimetolea kwa huyo cute wife.
Nasimama hapa natoa pongezi za dhati kabisa kutoka kwenye uvungu wangu wa moyo yaani moyo mkunjufu hakika nina farijika sana na ninasikia utamu kwenye moyo wangu na mbarikiwe/muwe na moyo huo huo naimani ipo siku mtanibariki mpaka tunda.
Nawasilisha pongezi zangu hizo za dhati kwa wadada wa JamiiForums mnaokuja inbox kwangu na msiokuja pia.
Hakika Sina dhihaka, ni mashaka nitakapo kukosa..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimecheka sana’a aiseee!!
Mwenzio niko kwenye maandalizi ya kuomba visa ya France si unajua mFrance aliniambia niende kwao [emoji12]
Nitakupa pesa, mapenzi kila utakapo hitaji..Pesa zipo lakini?! Usilete janjajanja ya nyani km mnaigeria [emoji12]
Hakika Sina dhihaka, ni mashaka nitakapo kukosa..
Mrembo una kila sifa,siyo kijuso ka queen Ratifa..
Achana na mzungu njoo kwa NALIA NGWENA
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Countrywide ndege wako anachukuliwa huku [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nitakupa pesa, mapenzi kila utakapo hitaji..
Nitakuficha Kama nyeti ndani ya boksa,ili usiguswe na wazugaji...
NALIA NGWENA nitafurahi mno ukiniita "my"
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sasa maswali gani hayo yaani Gentleman NALIA NGWENA /Toto tundu/Toto babdindu/mishe mishe mjini yaani born town kitambo Sasa nitakosaje kibunda mbona unauliza maswali mepesi.Mimi sitaki verse za wimbo bora, mfuko unasoma?!!
Usichukulie serious kila kitu unachokiona mbele yako punguza makando kando kichwani mwako.Depression is for real
Naaaam nipo hapa NALIA NGWENAAt Last our Queen has arrived NALIA NGWENA ukuje hapa nimekuona unatafuta data za robot wa Elon musk
Sasa maswali gani hayo yaani Gentleman NALIA NGWENA /Toto tundu/Toto babdindu/mishe mishe mjini yaani born town kitambo Sasa nitakosaje kibunda mbona unauliza maswali mepesi.
ANGALIZO ; tukija kukutana usije kuandika bandiko humu jf kuwa umekutana NALIA NGWENA .
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Umenifurahisha mno Tena mno ulivyoniita "my wangu"Humu nawaandika wasiokuwa na vibunda, wale michosho maneno mengi vitendo zero
Chana wallet my wangu
Weka na pilipili mkuu ndiyo itanoga [emoji41]Chai ya leo sio tamu.
Pilipili manga au kichaa maana wewe unaenda kuwa kingmswati.....Weka na pilipili mkuu ndiyo itanoga [emoji41]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app