Natoa pongezi kwa wadada wote wa JamiiiForums mnaonifuata PM mkitaka tuchati nakutaka kujua Mimi ni wa namna gani

[emoji2539][emoji124][emoji124]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hakika umeni heshimisha sana haswa huo mstari wa "hata kama ni mweusi"

Nimefurahi mno Tena na umenitia moyo katika juhudi zangu za kumtaka Cute Wife

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Harusi hakuna mpk aweke mzigo sitaki kwenda kuishi na bwana hana pesa plus ilo sura linatisha hivyo ndugu yenu nitapata sonona
[emoji23] sisi shemeji yetu tumempitisha harusi tunayo
 
Huamini sweety, ake tukapendane basi,

Au umeangalia umri wangu unasoma 19 [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], acha hizo baby akee [emoji3531][emoji3531][emoji703]

Weeknd uko free,
Unaniangusha sana Kaka ako, hivi Nani alikufundisha kuomba hivyo??

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mwandiko kama wa antibiotics
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…