NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
- Thread starter
-
- #161
[emoji2539][emoji124][emoji124]Ndugu zangu tusijichoshe huyu bwana pesa hana, yeye na mFrance wote choka mbaya.
Huyu bwana alishawai kumkimbia mwanamke bar na rafiki zake kisa elfu 10 ya chakula[emoji1787] na ndugu zangu mnanijua bwana mwenye mistari mingi km ya wimbo bora kwenye bible simtaki!!
Mimi nataka bwana mwenye pesa shopping ya harusi twende Dubs
Nawe umesoma Cuba?Jicho langu la kijasusi limeona kitu wengi hamtaona[emoji124][emoji124][emoji124]
Nikionesha screenshot utatengua hayo maneno yako???Akatoe wapi hako ka screen shot?
Hana lolote huyo, wanaochat na madem wa jf wapo kimya ila huyu njemba kaja na chai jaba hana lolote.
Nitatoa mchango wa sherehe yako ya kumuoa cute wife 😂Nikionesha screenshot utatengua hayo maneno yako???
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hakika umeni heshimisha sana haswa huo mstari wa "hata kama ni mweusi"Na huu
Huyoo ni chaguo lako (chaguo lako)
Huyoo ni chaguo lako (chaguo lako)
Huyo ni chaguo lako (chaguo lako)
Hatakama ni mrefu, hatakama ni mfupi
Hatakama ni mnene, hatakama ni mwembamba
Huyo ni chaguo lako, huyoo ni chaguo lako
Hatakama ni mweusi, hatakama ni mweupe
Huyoo ni chaguo lako, Huyo ni chaguo lako Huyoo ni chaguo lako (chaguo lako)
Huyoo ni chaguo lako (chaguo lako)
Huyo ni chaguo lako (chaguo lako)
Ndugu wa mke hatukubali harusi tunayo hata akikataaDili limeyeyuka [emoji23]
[emoji23] ka kosta lazima kawepoMuhimu ka kosta kawepo ka kusambaza watu makwao watakao zima [emoji23][emoji23]
[emoji23] sisi shemeji yetu tumempitisha harusi tunayoHarusi hakuna mpk aweke mzigo sitaki kwenda kuishi na bwana hana pesa plus ilo sura linatisha hivyo ndugu yenu nitapata sonona
Shemeji sisi tumeshakupitisha kwa ndugu yetuHakika umeni heshimisha sana haswa huo mstari wa "hata kama ni mweusi"
Nimefurahi mno Tena na umenitia moyo katika juhudi zangu za kumtaka Cute Wife
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Unaniangusha sana Kaka ako, hivi Nani alikufundisha kuomba hivyo??Huamini sweety, ake tukapendane basi,
Au umeangalia umri wangu unasoma 19 [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], acha hizo baby akee [emoji3531][emoji3531][emoji703]
Weeknd uko free,
Mtatumia password gani kumfungua akubali?Ndugu wa mke hatukubali harusi tunayo hata akikataa
Mkuu mbona umeshupalia sana.Mtatumia password gani kumfungua akubali?
Shemeji pesa anayo imeisha hii we subiri mualiko wa harusiMtatumia password gani kumfungua akubali?
Mwandiko kama wa antibioticsHakika nafarijika mno NALIA NGWENA na sura langu hili Kama nazomea lakini Kuna totozi kutoka mitaa ya washua Tena pisi Kali kweli kweli haziogopi kunifata PM.
Hicho kitendo kimenifariji sana tena sana hakika aliyesema "wanawake wanahuruma " Nampa big up kwa asilimia Mia. Haiwezekani na weusi wangu huu mtoto mzuri Kama Cute Wife anakuja inbox kunijulia hali? Huo ni mfano tu nimetolea kwa huyo cute wife.
Nasimama hapa natoa pongezi za dhati kabisa kutoka kwenye uvungu wangu wa moyo yaani moyo mkunjufu hakika nina farijika sana na ninasikia utamu kwenye moyo wangu na mbarikiwe/muwe na moyo huo huo naimani ipo siku mtanibariki mpaka tunda.
Nawasilisha pongezi zangu hizo za dhati kwa wadada wa JamiiForums mnaokuja inbox kwangu na msiokuja pia.
Doooh [emoji41]
Hii sura tu lakini pesa ipo mama.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ndugu wa mke hatukubali harusi tunayo hata akikataa
Nitatoa mchango wa sherehe yako ya kumuoa cute wife [emoji23]
Mtatumia password gani kumfungua akubali?
Ndugu wa mke hatukubali harusi tunayo hata akikataa
Sijafurahi ujue, nimesikitika mno kwa musee wa sura mbaya kutoswa.
Siwezi kujiweka mbadala wake maana sinaga kiherehere cha kununua mahaba.