Natoa wito IGP Wambura ajiuzulu mara moja

Natoa wito IGP Wambura ajiuzulu mara moja

Umeniangusha mno Poti / Mwetu Mzanaki Mwenzangu IGP Wambura kwa kukubali Order ya #2 ( kwa kutaka Kwake Sifa kwa #1 ) kumshughulikia haraka Dk. Slaa huku Ukijichanganya Kimaelezo kuwa mara ni Mhaini na baadae ni Mchochezi hali iliyopelekea Watu kuanza kuhoji Umahiri wako.

IGP Wambura ulichotakiwa kufanya ni kumwambia huyo #2 Mshamba, Mnafkki na Mpenda Sifa kwa #1 kuwa akupe muda ili Ulichunguze na Ujiridhishe lakini Ukamuogopa na Kuhofia Cheo chako na Kukurupuka huku ukiwa Fixed na ukafanya Kosa ambalo tayari limeshaanza kuitia nchi Doa huku Wawekezaji nao sasa wakianza Kuogopa kuja.

Siombei litokee ila GENTAMYCINE kila nikimulika na kuangaza huku na kule napatwa na wasiwasi mkubwa kama Utavumiliwa na hicho Cheo cha IGP hivyo nikuombe tu kama Wewe ni Mtu wa Maombi basi Sali sana bila Kuchoka na kama nawe unapenda Kuroga kama Vilabu vya Simba na Yanga nakushauri Roga / Karoge mno ili muda wowote Dada Zuhura Yunus asije na Press Release yake juu ya Kubadilishwa Kwako kama IGP na akateuliwa Mwingine.
IGP, Makalla, Kibamba
1692394926982.png
 

Natoa Wito kwa Inspecta Jenerali wa Polisi Bwana Carmillius Wambura , kuachia madaraka yake haraka kwa vile haaminiki tena na Watanzania, hii ni kwa sababu anatumika kubambikia watu kesi za uongo za Uhaini Huku akijua Wazi kwamba hana Ushahidi wowote, kudukua akaunti za Mwabukusi baada ya kumnyang'anya simu zake na computer na kutengeneza clip za kizushi kwamba ni matamshi yake, haikubaliki na inadhalilisha Jeshi la Polisi , ambalo kimsingi ni mali ya Wananchi .

Lingine ni hili , Baada ya Dkt Slaa kukataa kutoa Sample ya Sauti yake, Polisi wakashindwa kutengeneza sauti ya kuipeleka Mahakamani ili kumbambikia Uhaini kama walivyotumwa na Mawakala wa DP WORLD , hii maana yake ni kwamba Polisi chini ya Wambura wamegeuka Maadui wa Taifa , hatimaye Dkt Slaa ameachiwa kwa dhamana , ulisikia wapi nchi hii Mhaini anapewa dhamana ?

Nafahamu kwamba wengi mnatamani Wambura aondoke kutokana na Tuhuma nyingi tangu akiwa DCI ila mnaogopa kusema hadharani kujiepusha na kutekwa au kuuawa , Tundu Lissu amemtuhumu waziwazi Wambura kuhusika na kesi zote za uongo wakati wa awamu ya 5 , yaani huyu ndio aliyekuwa Mpishi Mkuu wa kesi walizobambikwa Wapinzani, Watanzania wenzetu wamesoteshwa selo kwa muda mrefu kwa kesi za uongo, Mtu wa namna hii awezaje kuaminika leo?

Ni kweli kwamba Wananchi wengi wanatamani CCM ing'olewe madarakani hata muda huu , lakini huwezi kuangusha Mti mkubwa bila kupunguza kwanza Matawi yake ili kutafuta uelekeo mzuri wa kuanguka ili usiangukie nyumba za watu.

Naomba kuwasilisha.
Mtu aina ya Wambura ndio ambao CCM inaeatengeneza ili wawatumie kama electricgrill kwenye mjengo.
 

Natoa Wito kwa Inspecta Jenerali wa Polisi Bwana Carmillius Wambura , kuachia madaraka yake haraka kwa vile haaminiki tena na Watanzania, hii ni kwa sababu anatumika kubambikia watu kesi za uongo za Uhaini Huku akijua Wazi kwamba hana Ushahidi wowote, kudukua akaunti za Mwabukusi baada ya kumnyang'anya simu zake na computer na kutengeneza clip za kizushi kwamba ni matamshi yake, haikubaliki na inadhalilisha Jeshi la Polisi , ambalo kimsingi ni mali ya Wananchi .

Lingine ni hili , Baada ya Dkt Slaa kukataa kutoa Sample ya Sauti yake, Polisi wakashindwa kutengeneza sauti ya kuipeleka Mahakamani ili kumbambikia Uhaini kama walivyotumwa na Mawakala wa DP WORLD , hii maana yake ni kwamba Polisi chini ya Wambura wamegeuka Maadui wa Taifa , hatimaye Dkt Slaa ameachiwa kwa dhamana , ulisikia wapi nchi hii Mhaini anapewa dhamana ?

Nafahamu kwamba wengi mnatamani Wambura aondoke kutokana na Tuhuma nyingi tangu akiwa DCI ila mnaogopa kusema hadharani kujiepusha na kutekwa au kuuawa , Tundu Lissu amemtuhumu waziwazi Wambura kuhusika na kesi zote za uongo wakati wa awamu ya 5 , yaani huyu ndio aliyekuwa Mpishi Mkuu wa kesi walizobambikwa Wapinzani, Watanzania wenzetu wamesoteshwa selo kwa muda mrefu kwa kesi za uongo, Mtu wa namna hii awezaje kuaminika leo?

Ni kweli kwamba Wananchi wengi wanatamani CCM ing'olewe madarakani hata muda huu , lakini huwezi kuangusha Mti mkubwa bila kupunguza kwanza Matawi yake ili kutafuta uelekeo mzuri wa kuanguka ili usiangukie nyumba za watu.

Naomba kuwasilisha.
Ni kweli kwamba Wananchi wengi wanatamani CCM ing'olewe madarakani hata muda huu , lakini huwezi kuangusha Mti mkubwa bila kupunguza kwanza Matawi yake ili kutafuta uelekeo mzuri wa kuanguka ili usiangukie nyumba za watu[emoji419][emoji375]
 
Ni
Ushamba wao usidhalilishe Nchi
Je unafahamu watakaosababisha machafuko katika hii Nchi ni ccm na vyombo vya dola? Kamwe upinzani hautakuwa chanzo cha machafuko ila ccm kama wameahindwa kuiheshimu katiba walioapa kuilinda unadhani siku watu wenye uthubutu wakitaka kuilinda katiba hiyo chanzo cha machafuko watakuwa nani kama sip ccm? Hushangai kwanini wanajiongezea kinga za kutoshtakiwa ? Ni kwasababu wanajua wanayofanya ni machukizo mbele ya umma wa watanzania. Ingekuwa Nchi nyingine kitendo cha kupitisha sheria za kuuza Nchi kimangungomangungo bunge zima na spika walikuwa wanakamatwa na kufunguliwa mashtaka hasa ukichukulia hatukuwachagua ! Waliiba uchaguzi.
 

Natoa Wito kwa Inspecta Jenerali wa Polisi Bwana Carmillius Wambura , kuachia madaraka yake haraka kwa vile haaminiki tena na Watanzania, hii ni kwa sababu anatumika kubambikia watu kesi za uongo za Uhaini Huku akijua Wazi kwamba hana Ushahidi wowote, kudukua akaunti za Mwabukusi baada ya kumnyang'anya simu zake na computer na kutengeneza clip za kizushi kwamba ni matamshi yake, haikubaliki na inadhalilisha Jeshi la Polisi , ambalo kimsingi ni mali ya Wananchi .

Lingine ni hili , Baada ya Dkt Slaa kukataa kutoa Sample ya Sauti yake, Polisi wakashindwa kutengeneza sauti ya kuipeleka Mahakamani ili kumbambikia Uhaini kama walivyotumwa na Mawakala wa DP WORLD , hii maana yake ni kwamba Polisi chini ya Wambura wamegeuka Maadui wa Taifa , hatimaye Dkt Slaa ameachiwa kwa dhamana , ulisikia wapi nchi hii Mhaini anapewa dhamana ?

Nafahamu kwamba wengi mnatamani Wambura aondoke kutokana na Tuhuma nyingi tangu akiwa DCI ila mnaogopa kusema hadharani kujiepusha na kutekwa au kuuawa , Tundu Lissu amemtuhumu waziwazi Wambura kuhusika na kesi zote za uongo wakati wa awamu ya 5 , yaani huyu ndio aliyekuwa Mpishi Mkuu wa kesi walizobambikwa Wapinzani, Watanzania wenzetu wamesoteshwa selo kwa muda mrefu kwa kesi za uongo, Mtu wa namna hii awezaje kuaminika leo?

Ni kweli kwamba Wananchi wengi wanatamani CCM ing'olewe madarakani hata muda huu , lakini huwezi kuangusha Mti mkubwa bila kupunguza kwanza Matawi yake ili kutafuta uelekeo mzuri wa kuanguka ili usiangukie nyumba za watu.

Naomba kuwasilisha.
kwanini wewe usijiulizi kuleta kila upumbavu hapa JF?
 

Natoa Wito kwa Inspecta Jenerali wa Polisi Bwana Carmillius Wambura , kuachia madaraka yake haraka kwa vile haaminiki tena na Watanzania, hii ni kwa sababu anatumika kubambikia watu kesi za uongo za Uhaini Huku akijua Wazi kwamba hana Ushahidi wowote, kudukua akaunti za Mwabukusi baada ya kumnyang'anya simu zake na computer na kutengeneza clip za kizushi kwamba ni matamshi yake, haikubaliki na inadhalilisha Jeshi la Polisi , ambalo kimsingi ni mali ya Wananchi .

Lingine ni hili , Baada ya Dkt Slaa kukataa kutoa Sample ya Sauti yake, Polisi wakashindwa kutengeneza sauti ya kuipeleka Mahakamani ili kumbambikia Uhaini kama walivyotumwa na Mawakala wa DP WORLD , hii maana yake ni kwamba Polisi chini ya Wambura wamegeuka Maadui wa Taifa , hatimaye Dkt Slaa ameachiwa kwa dhamana , ulisikia wapi nchi hii Mhaini anapewa dhamana ?

Nafahamu kwamba wengi mnatamani Wambura aondoke kutokana na Tuhuma nyingi tangu akiwa DCI ila mnaogopa kusema hadharani kujiepusha na kutekwa au kuuawa , Tundu Lissu amemtuhumu waziwazi Wambura kuhusika na kesi zote za uongo wakati wa awamu ya 5 , yaani huyu ndio aliyekuwa Mpishi Mkuu wa kesi walizobambikwa Wapinzani, Watanzania wenzetu wamesoteshwa selo kwa muda mrefu kwa kesi za uongo, Mtu wa namna hii awezaje kuaminika leo?

Ni kweli kwamba Wananchi wengi wanatamani CCM ing'olewe madarakani hata muda huu , lakini huwezi kuangusha Mti mkubwa bila kupunguza kwanza Matawi yake ili kutafuta uelekeo mzuri wa kuanguka ili usiangukie nyumba za watu.

Naomba kuwasilisha.
waanacnhi gani hao nyie manyumbu wachache, tusubiri uchaguzi uje tena kuandika humu. Nyie ni mazuzu tu hamtakaa muongeze nchi hii mpaka vilembwe vyenu
 
Huyu hawezi kujiudhuru hata siku moja mkuu. Yupo hapo alipo kwa fadhila za CCM bado hajakamilisha agenda yake ya kuisaidia CCM kubakia madarakani milele.

Hata kama akipwaya kwenye utendaji wake kama IGP, ilmradi anaisaidia CCM, hakuna mtu atakayemtikisa kutoka kwenye nafasi yake labda wazalendo wenye uchungu na rasimali za nchi hii tuwakodi wachawi wamroge ajifie zake.
Hili tumkabizi Mama Amon SUMBAWANGA
 
Wa kulaumiwa ni huyo aliyemteua kuwa IGP na Kingai kuwa DCI. Hawa wawili waliotumika na awamu ya tano kupika kesi za mchongo kwa wapinzani kupewa dhamana ya kuliongoza jeshi la police ni dhihaka kubwa kwa dhana ya utawala bora.
Kama ufisadi unafanywa na watu binafsi utakuwa hatari, ila hatari itatisha zaidi kama sehemu ya state organs inafacilitate ufisadi.
Fuatilia tamthilia ya THE BROTHERS utaona uhusiano huu
 

Natoa Wito kwa Inspecta Jenerali wa Polisi Bwana Carmillius Wambura , kuachia madaraka yake haraka kwa vile haaminiki tena na Watanzania, hii ni kwa sababu anatumika kubambikia watu kesi za uongo za Uhaini Huku akijua Wazi kwamba hana Ushahidi wowote, kudukua akaunti za Mwabukusi baada ya kumnyang'anya simu zake na computer na kutengeneza clip za kizushi kwamba ni matamshi yake, haikubaliki na inadhalilisha Jeshi la Polisi , ambalo kimsingi ni mali ya Wananchi .

Lingine ni hili , Baada ya Dkt Slaa kukataa kutoa Sample ya Sauti yake, Polisi wakashindwa kutengeneza sauti ya kuipeleka Mahakamani ili kumbambikia Uhaini kama walivyotumwa na Mawakala wa DP WORLD , hii maana yake ni kwamba Polisi chini ya Wambura wamegeuka Maadui wa Taifa , hatimaye Dkt Slaa ameachiwa kwa dhamana , ulisikia wapi nchi hii Mhaini anapewa dhamana ?

Nafahamu kwamba wengi mnatamani Wambura aondoke kutokana na Tuhuma nyingi tangu akiwa DCI ila mnaogopa kusema hadharani kujiepusha na kutekwa au kuuawa , Tundu Lissu amemtuhumu waziwazi Wambura kuhusika na kesi zote za uongo wakati wa awamu ya 5 , yaani huyu ndio aliyekuwa Mpishi Mkuu wa kesi walizobambikwa Wapinzani, Watanzania wenzetu wamesoteshwa selo kwa muda mrefu kwa kesi za uongo, Mtu wa namna hii awezaje kuaminika leo?

Ni kweli kwamba Wananchi wengi wanatamani CCM ing'olewe madarakani hata muda huu , lakini huwezi kuangusha Mti mkubwa bila kupunguza kwanza Matawi yake ili kutafuta uelekeo mzuri wa kuanguka ili usiangukie nyumba za watu.

Naomba kuwasilisha.
Nchi hii inawasomi wengi wanafiki na wasaka tonge. Kwa ujumla bado hatujapata watu dhabiti kama taifa. Na ili liliasisiwa na mwl Nyerere. Kila aliyekuwa na fikra na mtazamo tofauti alimuona adui na msaliti. Mfano KAMBONA. Na rais Moi wa kenya aliwahi kumwambia mwl kuwa. Mimi ninatawala wakenya wanaojitambua siyo kama hao watanzania mbumbu. Mimi nikiongeza sent tano kwenye wembe wakenya watataka kujua kwanini nimeongeza. Na wewe ukaongeza sh hamsini watanzania wakakusifia na kusema, zidumu fikra safi za mk wa ccm
 

Natoa Wito kwa Inspecta Jenerali wa Polisi Bwana Carmillius Wambura , kuachia madaraka yake haraka kwa vile haaminiki tena na Watanzania, hii ni kwa sababu anatumika kubambikia watu kesi za uongo za Uhaini Huku akijua Wazi kwamba hana Ushahidi wowote, kudukua akaunti za Mwabukusi baada ya kumnyang'anya simu zake na computer na kutengeneza clip za kizushi kwamba ni matamshi yake, haikubaliki na inadhalilisha Jeshi la Polisi , ambalo kimsingi ni mali ya Wananchi .

Lingine ni hili , Baada ya Dkt Slaa kukataa kutoa Sample ya Sauti yake, Polisi wakashindwa kutengeneza sauti ya kuipeleka Mahakamani ili kumbambikia Uhaini kama walivyotumwa na Mawakala wa DP WORLD , hii maana yake ni kwamba Polisi chini ya Wambura wamegeuka Maadui wa Taifa , hatimaye Dkt Slaa ameachiwa kwa dhamana , ulisikia wapi nchi hii Mhaini anapewa dhamana ?

Nafahamu kwamba wengi mnatamani Wambura aondoke kutokana na Tuhuma nyingi tangu akiwa DCI ila mnaogopa kusema hadharani kujiepusha na kutekwa au kuuawa , Tundu Lissu amemtuhumu waziwazi Wambura kuhusika na kesi zote za uongo wakati wa awamu ya 5 , yaani huyu ndio aliyekuwa Mpishi Mkuu wa kesi walizobambikwa Wapinzani, Watanzania wenzetu wamesoteshwa selo kwa muda mrefu kwa kesi za uongo, Mtu wa namna hii awezaje kuaminika leo?

Ni kweli kwamba Wananchi wengi wanatamani CCM ing'olewe madarakani hata muda huu , lakini huwezi kuangusha Mti mkubwa bila kupunguza kwanza Matawi yake ili kutafuta uelekeo mzuri wa kuanguka ili usiangukie nyumba za watu.

Naomba kuwasilisha.

Hawa huwa wanafanyiwa vetting kweli?
 

Natoa Wito kwa Inspecta Jenerali wa Polisi Bwana Carmillius Wambura , kuachia madaraka yake haraka kwa vile haaminiki tena na Watanzania, hii ni kwa sababu anatumika kubambikia watu kesi za uongo za Uhaini Huku akijua Wazi kwamba hana Ushahidi wowote, kudukua akaunti za Mwabukusi baada ya kumnyang'anya simu zake na computer na kutengeneza clip za kizushi kwamba ni matamshi yake, haikubaliki na inadhalilisha Jeshi la Polisi , ambalo kimsingi ni mali ya Wananchi .

Lingine ni hili , Baada ya Dkt Slaa kukataa kutoa Sample ya Sauti yake, Polisi wakashindwa kutengeneza sauti ya kuipeleka Mahakamani ili kumbambikia Uhaini kama walivyotumwa na Mawakala wa DP WORLD , hii maana yake ni kwamba Polisi chini ya Wambura wamegeuka Maadui wa Taifa , hatimaye Dkt Slaa ameachiwa kwa dhamana , ulisikia wapi nchi hii Mhaini anapewa dhamana ?

Nafahamu kwamba wengi mnatamani Wambura aondoke kutokana na Tuhuma nyingi tangu akiwa DCI ila mnaogopa kusema hadharani kujiepusha na kutekwa au kuuawa , Tundu Lissu amemtuhumu waziwazi Wambura kuhusika na kesi zote za uongo wakati wa awamu ya 5 , yaani huyu ndio aliyekuwa Mpishi Mkuu wa kesi walizobambikwa Wapinzani, Watanzania wenzetu wamesoteshwa selo kwa muda mrefu kwa kesi za uongo, Mtu wa namna hii awezaje kuaminika leo?

Ni kweli kwamba Wananchi wengi wanatamani CCM ing'olewe madarakani hata muda huu , lakini huwezi kuangusha Mti mkubwa bila kupunguza kwanza Matawi yake ili kutafuta uelekeo mzuri wa kuanguka ili usiangukie nyumba za watu.

Naomba kuwasilisha.
Mambosasa anachukua nafasi yake
 
Naunga mkono hoja.

IGP wa ajabu kuwahi kutokea tangu Uhuru.

Nilishangazwa sana na matamshi yake yale siku anaongea na vyombo vya habari.

Nilijaribu kutafakari aina ya viongozi tulionao nilijikuta nalisikitikia Taifa langu
Kaingizwa mkenge na yule RC mwenye kuchekesha
 

Natoa Wito kwa Inspecta Jenerali wa Polisi Bwana Carmillius Wambura , kuachia madaraka yake haraka kwa vile haaminiki tena na Watanzania, hii ni kwa sababu anatumika kubambikia watu kesi za uongo za Uhaini Huku akijua Wazi kwamba hana Ushahidi wowote, kudukua akaunti za Mwabukusi baada ya kumnyang'anya simu zake na computer na kutengeneza clip za kizushi kwamba ni matamshi yake, haikubaliki na inadhalilisha Jeshi la Polisi , ambalo kimsingi ni mali ya Wananchi .

Lingine ni hili , Baada ya Dkt Slaa kukataa kutoa Sample ya Sauti yake, Polisi wakashindwa kutengeneza sauti ya kuipeleka Mahakamani ili kumbambikia Uhaini kama walivyotumwa na Mawakala wa DP WORLD , hii maana yake ni kwamba Polisi chini ya Wambura wamegeuka Maadui wa Taifa , hatimaye Dkt Slaa ameachiwa kwa dhamana , ulisikia wapi nchi hii Mhaini anapewa dhamana ?

Nafahamu kwamba wengi mnatamani Wambura aondoke kutokana na Tuhuma nyingi tangu akiwa DCI ila mnaogopa kusema hadharani kujiepusha na kutekwa au kuuawa , Tundu Lissu amemtuhumu waziwazi Wambura kuhusika na kesi zote za uongo wakati wa awamu ya 5 , yaani huyu ndio aliyekuwa Mpishi Mkuu wa kesi walizobambikwa Wapinzani, Watanzania wenzetu wamesoteshwa selo kwa muda mrefu kwa kesi za uongo, Mtu wa namna hii awezaje kuaminika leo?

Ni kweli kwamba Wananchi wengi wanatamani CCM ing'olewe madarakani hata muda huu , lakini huwezi kuangusha Mti mkubwa bila kupunguza kwanza Matawi yake ili kutafuta uelekeo mzuri wa kuanguka ili usiangukie nyumba za watu.

Naomba kuwasilisha.
Mungu wa Mbinguni akupe ulinzi

Jeshi la Polisi linapaswa kurejesha imani kwa nchi. Uhaini ni kesi kubwa na nzito.

Utamaduni wa kubambikia kesi watu sasa umefikia kilele chake
 
Kasome kifungu kidogo cha tano cha sheria hiyo wewe paralegal !

Ila ngoja nikusaidie ni kuwa kama mtu katenda uhaini, mauaji, armed robbery nk hatopewa dhamana

Hivyo usitudanganye, siku nyingine usitetee upumbavu

Kasome kifungu kidogo cha tano cha kifungu 148 cha sheria hiyo wewe paralegal !

Ila ngoja nikusaidie ni kuwa kama mtu katenda uhaini, mauaji, armed robbery nk hatopewa dhamana

Hivyo usitudanganye, siku nyingine usitetee upumbavu
Kwani hiyo charge ya hilo kosa umelitoa wapi? Wakati hawajakamilisha upelelezi na kujua maneno na mipango Yao imetengeneza kosa gani na DPP bado hajaandaa hati ya mashtaka? Au mmejitengenezea kosa Lenu la hear say?
 

Natoa Wito kwa Inspecta Jenerali wa Polisi Bwana Carmillius Wambura , kuachia madaraka yake haraka kwa vile haaminiki tena na Watanzania, hii ni kwa sababu anatumika kubambikia watu kesi za uongo za Uhaini Huku akijua Wazi kwamba hana Ushahidi wowote, kudukua akaunti za Mwabukusi baada ya kumnyang'anya simu zake na computer na kutengeneza clip za kizushi kwamba ni matamshi yake, haikubaliki na inadhalilisha Jeshi la Polisi , ambalo kimsingi ni mali ya Wananchi .

Lingine ni hili , Baada ya Dkt Slaa kukataa kutoa Sample ya Sauti yake, Polisi wakashindwa kutengeneza sauti ya kuipeleka Mahakamani ili kumbambikia Uhaini kama walivyotumwa na Mawakala wa DP WORLD , hii maana yake ni kwamba Polisi chini ya Wambura wamegeuka Maadui wa Taifa , hatimaye Dkt Slaa ameachiwa kwa dhamana , ulisikia wapi nchi hii Mhaini anapewa dhamana ?

Nafahamu kwamba wengi mnatamani Wambura aondoke kutokana na Tuhuma nyingi tangu akiwa DCI ila mnaogopa kusema hadharani kujiepusha na kutekwa au kuuawa , Tundu Lissu amemtuhumu waziwazi Wambura kuhusika na kesi zote za uongo wakati wa awamu ya 5 , yaani huyu ndio aliyekuwa Mpishi Mkuu wa kesi walizobambikwa Wapinzani, Watanzania wenzetu wamesoteshwa selo kwa muda mrefu kwa kesi za uongo, Mtu wa namna hii awezaje kuaminika leo?

Ni kweli kwamba Wananchi wengi wanatamani CCM ing'olewe madarakani hata muda huu , lakini huwezi kuangusha Mti mkubwa bila kupunguza kwanza Matawi yake ili kutafuta uelekeo mzuri wa kuanguka ili usiangukie nyumba za watu.

Naomba kuwasilisha.
Hiki kikundi kilicho fanya kazi za kuteka na kuua chini ya utawala wa JPM nikishangaa sana Mh. Rais Mama S.H alipo amua kufanya nao kazi.
Alifikiri wange badilika lakini Mwalimu Nyerere aliwahi kusema ukizowea kula nyama ya mtu huta weza kuacha.
Ndio hao hao wana endeleza ujinga wao wa kipindi cha JPM. Kutunga kesi za kipumbavu za kihaini.
Bado Mama anaendelea kuwakumbatia tuu!!
 
Au sio! Mboga saba, nyumba nzuri, hela kama zote....hivi wewe umepimwa akili kweli wewe? Au umerogwa? Unaijua shida wewe?
Mkuu mzee wako ndo IGP ni aibu kwako hata kumuita baba maana unajua anapata hela zakutumikishwa kuongea uongo
 
Back
Top Bottom