Natongozwa na mpangaji mwenzangu

pole sana kwa hilo na hongera pia ila mungu akusaidie ushinde zaid maan hyo Dada atakuharibia ndoa yako
 
Sie wanaume tukoje jamenii? Tukinyimwa tunalalamika, tukipewa tunalialia....
 
Kama umepanga si uhame tu. Badilisha namba na mwambie mkeo. Naziona dalili za Shetani kuanza kukulainisha.
Duh abadilishe number kwa ajili ya mtaka dushe tu?, mimi hakuna ninachoheshimu number yangu ya simu, maana ni kila kitu kwangu
 
Mkuu weka picha yake angalau ya chura tuone
 
[emoji351] haya cheza singeli...nyonga kibaskeli...[emoji344] [emoji344] [emoji350]
 

Atawakimbia wangapi?
 
Mnampongeza huyu jamaa kwa lipi?

Mwanamke humtaki afu unampatia mawasiliano yako kwa lipi?
Tambua huyu ni mpangaji mwenzangu, na hakuna dalili zozote mbaya alizowahi kunionyesha hapo kabla kwahiyo sikuwa na haja ya kumnyima namba
 
Ahsante, lakini kukutana naye na kumsikiliza kumenisaidia kujua kuwa ni kweli kadhamiria maana mara ya kwanza nilijua just ni utani
 
Majiran wanamambo asee mpaka bas, nyumba za kupanga zinavimbwanga hatar
 
Hebu acha blah blah
Unafurahia kubembelezwa na mtoto wa kike [emoji23] [emoji23] [emoji23] ( maana ni wanaume wachache wanaotangozwa)
Kama kweli humtaki ungemwambia mkeo.
Huwezi kumwambia mkeo jambo ambalo hujajiridhisha kuwa kitatokea nini, labda kama hujaoa ila kama umeoa usingekuwa mwepesi wa kunishauri nimwambie wife punde tu jambo kutokea, ingawa nimempa worning kuwa akiendelea naweza kumwambia wife.
 
Hiyo namba ya huyo dada kwa nini usiizuie kwenye simu yako? Au badilisha namba ya simu.

Vv
 
mwanamke akikuamulia kukunasa mwanaume huna lolote..hata maombi hayasaidii..kitakachokusaidia ni mbio zako...usipotoshwe kuwa unakimbia udhaifu wako ila ndio njia pekee..endelea kupanga hapo na bila shaka utakuja kulalamika ndoa yako inayumba..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…