Natongozwa na mpangaji mwenzangu

subiri kugeuziwa kibao kwa mkeo kuwa huwa unamsumbua huyo dada hivyo ameamua kukusemea kwa mkeo
 
Huyu si bure atakuwa na yake,kwanini? akupende mara tu ulipomleta Mkeo,mwambie kwa kukusaidia ngoja nikutafutie Mtu akupooze kama ndiyo unahitaji,akileta zake zip hamia kwingine,ni dhahiri ukitembea naye atakuvunjia ndoa,maana ataanza kumzodoa Mkeo na kumsema kimafumbo
 
Jibu ni moja tu jambo km hilo mshirikishr mkeo, kama unaona ni kikwazo kwako kabsaaa ni vyema mshirikishe atakusaidia sn kuepukana na hiyo kero
aiseee hapo unatengeneza bomu la hatariiiii
 
jitahidi kushinda majaribu nimependa msimamo wako,,mpende sana mkeo na heshimu ndoa yako.
 
Papuchi inapo jileta mbele ya sheikh kipozeo unategemea nini hapo...?

Ili kumkomoa huyo Malaya unachitakiwa ni kuhama hiyo nyumba
 
Ili tudhibitishe huo mkasa wako kama ni kweli basi iweke hiyo No. Ya huyo Mpangaji mwenzio ili wadau tumpe makavu live.
Nazani hatudhubutu kukulea shida tena.
 
Endelea na msimamo huo huo... shetan atakimbia mwenyewe!!! Zidisha maombi kwani huo ni mtihani mkubwa wa kiiman na uaminifu ktk ndoa
 
Moja kati ya watu watakaopata kivuli cha mwenyezimungu siku ya hukumu ni mwanaume aliyeitwa na mwanamke kwa tendo la zinaa akakataa kwa kuogopa kutenda dhambi.

Mi hata cha kukushauri sina....we mwanaume bwana.
 
Mkuu huyu Baba ameitikia Wito wa Vikao vya vya huyo mama zaidi ya Mara Mbili bila kumwambia mke wake huu usumbufu sasa akimshirikisha sasa hivi unajua moto wake?

Hivi unawasikia wanawake au Unawajua?
Hata ningekuwa mimi umeitwa bila kuniambia huo mziki wake lazima kinuke naye kwanini alienda au alijua wanaenda imba pambio huko au anapenda aache mambo ya kitoto hiyo namba wekwa black list baki hata akiitwa asiende akionja tu imekula kwake yaani ukiwa na mme au mke wenzio hawana ni mtihani kweli ila ukiwa na misimamo ya akili maisha yanaenda tu.
 
Moja kati ya watu watakaopata kivuli cha mwenyezimungu siku ya hukumu ni mwanaume aliyeitwa na mwanamke kwa tendo la zinaa akakataa kwa kuogopa kutenda dhambi.

Mi hata cha kukushauri sina....we mwanaume bwana.
Walio wengi wakiitwa tu lazima aende ila wanawake kama hamtaki mtu hawezi hata kunusa yaani mwanamke anakwambia nipo free leo tuonane jitu midevu mwili mzima linaenda bila hata kuwaza labda huzani mapambio
 

Wanaume twapenda tu kujishaua kijinga. Mwanamke hawezi kukutaka akawa usumbufu kama ujamchekea. Naturally wameumbwa hivyo.
 
mblock,muignore atachoka....
ila inaonekana na wewe ni staki nataka
 
Dah wanaume wengind wanakosa hzi chance afiu wana ambulia PUNYETO.....wewe leo unakuja humu kuleta hizoo dah wewe ni KILAZA CRITICAL LEVEL @100% aseeeeee hata kama dude lijali lililo oa na kupata watoto 4 haliwezii acha dagaa kama huyu aende maana yupo available..........
 


Punyeto huendekezwa na watu (kina dada/wanaume dhaifu). Hakuna mwanamke asiyependa kufanya ngono inatakiwa tu kujuwa namna ya kumu approach na kumpa somo. Nyege dawa yake ni kupeana na raha ya dunia utaiona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…