Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
aisee,Wanakunywa Sildenafil watakupelekea moto uite mma .
Achana na hao watoto.
me nguvu za nini usiku huu?Umri siyo ishu. Wape vijana wakukojoze. Sie wazee wenzio hatuna nguvu tena.
sasa unaanika chupi kwenye boxi la ofisi?
aisee? sasa ukapata nini kubaka vikongwe na maajuza?!Miaka ya 2015 nikiwa kijana mdogo ndio ilikuwa michezo yangu. Ilikuwa mdada/mmama akivaa kihasara hasara naruka nae bila kuwaza umri wake.
Kati ya vitu ambavyo huwa vinanifurahisha hapa JF ni hiki... kwenye nyuzi za namna hii huwa nashukaga tu chini kuangalia comment ya CHAI ππππ
wanhuni wanajua kujiongeza kwa maneno kumbe hamna kituKati ya vitu ambavyo huwa vinanifurahisha hapa JF ni hiki... kwenye nyuzi za namna hii huwa nashukaga tu chini kuangalia comment ya CHAI ππππ
Duuuh hatareee hiiMiaka ya 2015 nikiwa kijana mdogo ndio ilikuwa michezo yangu. Ilikuwa mdada/mmama akivaa kihasara hasara naruka nae bila kuwaza umri wake.
mwongo huyoDuuuh hatareee hii
πππ hatari yani.wanhuni wanajua kujiongeza kwa maneno kumbe hamna kitu
Ruka navyo vipate experiencyNi kwamba nimekosea kuwapa namba yangu ya whatsapp au?
mbona watoto wa 2000 mnaanza kunitongoza bibi yenu tena?
sasa mtapita wapi na mimi
"eti, Tsup ma, how ya doin'
baby send me your photo
ma, you love my swaga?
hey babe, lil mama
hey honey money
money penny i got money for ya''
yani huku whatsapp ni balaa, missed calls 300, picha za mb.o.o kama zote!
nyie watoto wa 2000 mimi nawazaa mara 10 mjue
mjukuu wangu wa 3 anamaliza chuo mwaka huu 2024
View: https://www.youtube.com/watch?v=fDxzQJaA228&list=RD-n3sUWR4FV4&index=11
Ila upo hot sana aiseeemwongo huyo
mwingine huyu sasa, kwa lugha ya kiswahiliIla upo hot sana aiseee
Huwa nakuelewa aiseeemwingine huyu sasa, kwa lugha ya kiswahili