🙈🙈🙈
[/QOTE]
Aya bhana w mkali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🙈🙈🙈
[/QOTE]
Aya bhana w mkali
nitunuku hiyohiyo ya wapigania uhuru naamini bado ina mnatounabisha kwan umenizaa?
hii ya jamiiforumya whatsapp au jamii forum?
Tante mamito.poyeeeeeeee
Basi kama hukuona alama ya kuuliza.lipi?
Kuolewa ni jambo jema.ME NISHAOLEWA NALEA WAJUKUU
Above that age ni ruksaUwiii hii sasa ndio Current situation yangu natafuta wazee wenzangu nashangaa vinakuja vivulana vyenye miaka 23-29. Sijui nimekuwa mshangazi mnooo
Sisi ndio kizazi jeuri leta mbususu hiyo vijana tusimamie ukucha
Sisi vijana wa 2000 tunapenda wamama wakubwa kwa sababu hawana Mambo hawana yale Mambo ya kuomba omba helakweli wewe unaheshima nitakupa maua yako
Ni kwamba nimekosea kuwapa namba yangu ya whatsapp au?
mbona watoto wa 2000 mnaanza kunitongoza bibi yenu tena?
sasa mtapita wapi na mimi
"eti, Tsup ma, how ya doin'
baby send me your photo
ma, you love my swaga?
hey babe, lil mama
hey honey money
money penny i got money for ya''
yani huku whatsapp ni balaa, missed calls 300, picha za mb.o.o kama zote!
nyie watoto wa 2000 mimi nawazaa mara 10 mjue
mjukuu wangu wa 3 anamaliza chuo mwaka huu 2024
View: https://www.youtube.com/watch?v=fDxzQJaA228&list=RD-n3sUWR4FV4&index=11
Na hakishindwi kituKISHINDWE
Sio shughuli yangunitunuku hiyohiyo ya wapigania uhuru naamini bado ina mnato
Sijaonahii ya jamiiforum
Ndefu sana nimechoka kusomaKuolewa ni jambo jema.
Hoja hapa ni kule mtu kutaka kujikweza na kutishia namba za umri wa miaka yake.
Kijana anapokutongoza siyo kwamba anakuwa haelewi kuwa anayemtaka ni mkubwa wake wa size ya dadake, mamake, shangazi yake ama nyanya yake.
Mwanamme mwingine anapolisaka penzi la mtu anayemzidi umri huwa kamaanisha seriousily.
Cameron ama nchi gani sijui kule west Africa, vimbibi vinatoka ulaya kuja kutafuta wavulana wadogo wavishughulikie kwa kuwalipa pesa ndefu.
Mwanzo wa penzi huwa ni kuangaliana sura bila hata kuanza kuchomoleana vyeti vya clinik kutathimini age!
Kama mdogo wako anakutaka, mtathimini kwa sifa zingine siyo kwa umri wake, kisha kama kakidhi vigezo vingine unavyovitaka wewe, ruka naye.
AiseeSisi vijana wa 2000 tunapenda wamama wakubwa kwa sababu hawana Mambo hawana yale Mambo ya kuomba omba hela
Njoo whatsapp kumenogaWhat will i do without you Money Pen.