Natongozwa sana na wakaka wa Kikurya. Tatizo litakuwa wapi?

Jaribu wasukuma wanahonga hao
 
Una nyota ya vurugu 🤣🤣🤣🤣. Hahaha kidding haha
Give them chance or kama huwahitaji tell them
 
Unataka makabila yote wakutongoze wewe tuu? Umekaa na sura ya kupiganapigana kama bhoke komaa na hao unaofañana nao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…