NATUBU: Kama Niliwahi Kukitukana Chama Changu cha CCM kuhusu kuwa na misingi Mibovu ya Kidemokrasia Naomba kwa Dhati kabisa Nisamehewe

NATUBU: Kama Niliwahi Kukitukana Chama Changu cha CCM kuhusu kuwa na misingi Mibovu ya Kidemokrasia Naomba kwa Dhati kabisa Nisamehewe

Unafikiri TL anaweza kushinda Ikiwa Uongozi karibu wote ni Machawa wa Mwenyekiti?
UMeona Jinsi wanavyoporomosha Maneno ya Kashfa Mtandaoni?

NIkuulize kama NTOBI angemtukana Mwenyekiti angeendelea Kuwa Kiongozi Mwandamizi wa Mkoa?
Sio lazima Tundu Lisu ashinde, cha muhimu ni uchaguzi wa haki. Na hata kama Tundu Lisu atashindwa bado mageuzi aliyoahidi yatatokea ndani ya cdm. Ntobi ametukana na ameomba msamaha. Hiyo ndio demokrasia.
 
Sio lazima Tundu Lisu ashinde, cha muhimu ni uchaguzi wa haki. Na hata kama Tundu Lisu atashindwa bado mageuzi aliyoahidi yatatokea ndani ya cdm. Ntobi ametukana na ameomba msamaha. Hiyo ndio demokrasia.
Ntobi Msamaha wake ni Wa Kinafiki maana Bado ameendelea Kutoa Kashafa Baada ya Hapo soma Post zake za jana
 
Demokrasia Imevuliwa Nguo, sura Mpya ya CHADEMA inaanika Changamoto kubwa Iliyokuwa ikifichwa na wengi ya Uongozi wa Milele imebaki wazi na Kuonekana..

Kilichotokea leo, pale FAM alipotangaza kugombea tena nafasi ya uenyekiti wa CHADEMA, kimeacha alama ya fedheha kwa yeyote anayependa siasa za uwazi na demokrasia. Hatua hii imefungua pazia na kufichua uchi wa demokrasia ndani ya chama kinachojinasibu kupigania misingi ya haki na usawa.

Wengi walitarajia kwamba kwa ustaarabu wa hali ya juu, FAM angeamua kumuunga mkono TAL na hivyo kuondoa makandokando yanayoweza kugawa chama na kudhoofisha msingi wa demokrasia. Badala yake, hatua yake imeonyesha wazi kwamba anadhamiria kuendelea kutawala chama hicho ambacho amekiongoza kwa zaidi ya miongo miwili, Pasina Kuonyesha matunda yoyote jambo ambalo linaweza kuligharimu CHADEMA nafasi yake kama mbadala wa kweli wa CCM.

Tukumbuke kauli ya Barack Obama:

“A nation that wants to be strong in the future cannot have leaders who cling to power.”

"Taifa linalotaka kuwa na nguvu siku za usoni haliwezi kuwa na viongozi wanaoshikilia madaraka kwa nguvu."


CHADEMA sasa inakabiliwa na changamoto ya kupoteza uhalali wa kuwa chama cha demokrasia. Mienendo kama hii, ambapo viongozi wanashikilia madaraka kwa muda mrefu, inakidhalilisha chama mbele ya wapenda mabadiliko. Haiwezekani eti taifa likakubali kuongozwa na kiongozi ambaye anaonyesha dalili za kupenda utawala wa kiimla.

Kwa sasa, ni dhahiri kwamba kama FAM atapata nafasi ya kuongoza nchi hii "Maana nasikia Pia Anataka Kugombea Urais mwakani" (jambo ambalo haliwezekani), utawala wake unaweza kuwa mbovu kuliko hata ule wa viongozi waliokumbwa na ukosoaji mkubwa kama Robert Mugabe, Yoweri Museveni, au Idi Amin.

Kama John Adams alivyoandika:

“Because power corrupts, society's demands for moral authority and character increase as the importance of the position increases.”

"Kwa sababu madaraka hupotosha, jamii huhitaji maadili na tabia bora zaidi kadri nafasi ya uongozi inavyokuwa muhimu."

Hili linadhihirika wazi kwa FAM, ambaye licha ya kuwa mkongwe katika siasa za CHADEMA, ameonyesha uwezo mdogo wa uongozi wenye hisia (emotional intelligence) na maono mapana kwa manufaa ya chama na taifa.
maana Kwa sasa Taifa na CHADEMA ilimuhitaji TAL kuliko FAM kwa 100%

TAL, anajulikana na ana ushawishi mkubwa na ujasiri wa kisiasa, alionekana kuwa chaguo sahihi la kuleta uhai mpya kwa CHADEMA. Hata hivyo, nafasi yake imezimwa mapema kutokana na tamaa ya FAM kushikilia madaraka. TAL angeweza kuleta matumaini mapya kwa wanachama na taifa kwa ujumla, lakini kwa hali ya sasa, matumaini hayo yanaonekana kufifia.

Kwa sasa, CHADEMA ni chama Chemye mfano mbaya zaidi wa siasa za vyama vya upinzani. Badala ya kuwa mbadala wa CCM, kinazidi kuonekana kama chama kinachokumbatia utawala wa kiimla. Nafuu Kidogo ACT Wazalendo, ambao pia nao wanahusishwa na serikali kwa sababu wana serikali ya mseto Zanzibar, Kiukweli Chadema wamepoteza nafasi ya kuwa mpinzani wa kweli.

Kwa hali ilivyo, sitaki tena kukiita Chama cha Demokrasia na Maendeleo. Kuanzia sasa, nitakiita Chama cha Kiimla na Maendeleo (CHAKIMA).

“Power tends to corrupt, and absolute power corrupts absolutely.”

"Madaraka huelekea kupotosha, na madaraka ya hali ya juu hupotosha kabisa." - Lord Acton

Kwa wapenda demokrasia wa kweli, huu ni wakati wa kutafakari mustakabali wa siasa za Tanzania na kuona ni wapi tunapokosea. Demokrasia si neno la kupamba hotuba; ni msimamo wa msingi unaohitaji vitendo, siyo ahadi tupu.

na wala sio Kuhonga watu wakulazimishe Ugombee Mitandaoni na Huku Ukijua wewe ndo unawashawishi kufanya hivyo..

#Mungu awabariki..
CCM DAIMA
 
Form Moja ya Uenyekiti Wa CCM ni tofauti kabisa na Chadema..
CCM ni chama kilichopo Madarakani Na ili Uongozi uende sawa Hakuwzi kuwa na Mwenyekiti Tofauti na Rais so By Default mwenyekiti wa CCM huwa ni Lazima awe Rais wa Jamhuri ili apate Power ya Kuongoza Chama na Serkali..
Pamoja na maovu ya CCM lakini wanabadilishana madaraka angalau unaona ladha tofauti kidogo, hii ya ndugu yangu Mbowe hapana hapana hapana
 
Kwa taarifa yako pamoja na Mbowe kuzingua, wangalau sasa tunaona demokrasia ya kweli ya ushindani ndani ya cdm kuliko ya kile chama cha fomu moja. Tunaomba uandaliwe mdahalo wa wazi kati ya wagombea wa cdm ili tuone mipango ya hao wagombea. Maana kwa sasa ushindani wa kisiasa umeshaharibiwa na ccm, uchaguzi wa cdm ndio umebaki pekee wenye sura ya demokrasia.
Kwa CDM hii hapana hii ni mali binafsi ya Mbowe
 
Binafsi, kitendo cha kiongozi mkubwa wa Chama kuchaguliwa/kupitishwa na watu wachache such as central committee ni ukiritimba. Ipendekezwe upya maamuzi ya mustakabali wa Chama yapitishwe na mkutano mkuu, ili kuondoa sintofahamu.
 
Demokrasia Imevuliwa Nguo, sura Mpya ya CHADEMA inaanika Changamoto kubwa Iliyokuwa ikifichwa na wengi ya Uongozi wa Milele imebaki wazi na Kuonekana..

Kilichotokea leo, pale FAM alipotangaza kugombea tena nafasi ya uenyekiti wa CHADEMA, kimeacha alama ya fedheha kwa yeyote anayependa siasa za uwazi na demokrasia. Hatua hii imefungua pazia na kufichua uchi wa demokrasia ndani ya chama kinachojinasibu kupigania misingi ya haki na usawa.

Wengi walitarajia kwamba kwa ustaarabu wa hali ya juu, FAM angeamua kumuunga mkono TAL na hivyo kuondoa makandokando yanayoweza kugawa chama na kudhoofisha msingi wa demokrasia. Badala yake, hatua yake imeonyesha wazi kwamba anadhamiria kuendelea kutawala chama hicho ambacho amekiongoza kwa zaidi ya miongo miwili, Pasina Kuonyesha matunda yoyote jambo ambalo linaweza kuligharimu CHADEMA nafasi yake kama mbadala wa kweli wa CCM.

Tukumbuke kauli ya Barack Obama:

“A nation that wants to be strong in the future cannot have leaders who cling to power.”

"Taifa linalotaka kuwa na nguvu siku za usoni haliwezi kuwa na viongozi wanaoshikilia madaraka kwa nguvu."


CHADEMA sasa inakabiliwa na changamoto ya kupoteza uhalali wa kuwa chama cha demokrasia. Mienendo kama hii, ambapo viongozi wanashikilia madaraka kwa muda mrefu, inakidhalilisha chama mbele ya wapenda mabadiliko. Haiwezekani eti taifa likakubali kuongozwa na kiongozi ambaye anaonyesha dalili za kupenda utawala wa kiimla.

Kwa sasa, ni dhahiri kwamba kama FAM atapata nafasi ya kuongoza nchi hii "Maana nasikia Pia Anataka Kugombea Urais mwakani" (jambo ambalo haliwezekani), utawala wake unaweza kuwa mbovu kuliko hata ule wa viongozi waliokumbwa na ukosoaji mkubwa kama Robert Mugabe, Yoweri Museveni, au Idi Amin.

Kama John Adams alivyoandika:

“Because power corrupts, society's demands for moral authority and character increase as the importance of the position increases.”

"Kwa sababu madaraka hupotosha, jamii huhitaji maadili na tabia bora zaidi kadri nafasi ya uongozi inavyokuwa muhimu."

Hili linadhihirika wazi kwa FAM, ambaye licha ya kuwa mkongwe katika siasa za CHADEMA, ameonyesha uwezo mdogo wa uongozi wenye hisia (emotional intelligence) na maono mapana kwa manufaa ya chama na taifa.
maana Kwa sasa Taifa na CHADEMA ilimuhitaji TAL kuliko FAM kwa 100%

TAL, anajulikana na ana ushawishi mkubwa na ujasiri wa kisiasa, alionekana kuwa chaguo sahihi la kuleta uhai mpya kwa CHADEMA. Hata hivyo, nafasi yake imezimwa mapema kutokana na tamaa ya FAM kushikilia madaraka. TAL angeweza kuleta matumaini mapya kwa wanachama na taifa kwa ujumla, lakini kwa hali ya sasa, matumaini hayo yanaonekana kufifia.

Kwa sasa, CHADEMA ni chama Chemye mfano mbaya zaidi wa siasa za vyama vya upinzani. Badala ya kuwa mbadala wa CCM, kinazidi kuonekana kama chama kinachokumbatia utawala wa kiimla. Nafuu Kidogo ACT Wazalendo, ambao pia nao wanahusishwa na serikali kwa sababu wana serikali ya mseto Zanzibar, Kiukweli Chadema wamepoteza nafasi ya kuwa mpinzani wa kweli.

Kwa hali ilivyo, sitaki tena kukiita Chama cha Demokrasia na Maendeleo. Kuanzia sasa, nitakiita Chama cha Kiimla na Maendeleo (CHAKIMA).

“Power tends to corrupt, and absolute power corrupts absolutely.”

"Madaraka huelekea kupotosha, na madaraka ya hali ya juu hupotosha kabisa." - Lord Acton

Kwa wapenda demokrasia wa kweli, huu ni wakati wa kutafakari mustakabali wa siasa za Tanzania na kuona ni wapi tunapokosea. Demokrasia si neno la kupamba hotuba; ni msimamo wa msingi unaohitaji vitendo, siyo ahadi tupu.

na wala sio Kuhonga watu wakulazimishe Ugombee Mitandaoni na Huku Ukijua wewe ndo unawashawishi kufanya hivyo..

#Mungu awabariki..
Hapo umechemka mkuu hivi kama wewe unashambuliwa na msaidizi wako WA kazi then umuunge mkono!???
 
Hapo umechemka mkuu hivi kama wewe unashambuliwa na msaidizi wako WA kazi then umuunge mkono!???
Lazma Uone Kuna Shida Haiwezekani Mtu mmoja akawa anashambuliwa na wote haoo..

Kipindi. Ha Uchaguzi wa Mwenyekiti mwaka 2009 ilikuwa hivi hivi kwa chacha wangwe..

Mwaka 2012 Ilikuwa Hivi hivi kwa zitto kabwe Na Sasa Ni hivi hivi kwa Lissu..
NA mwaka 2013 na 2014 Kina Kitila Mkumbo et al ..

Hapana Mbowe ana tatizo tena Kubwa na watu walio karibu yake hawamuambii
 
Lazma Uone Kuna Shida Haiwezekani Mtu mmoja akawa anashambuliwa na wote haoo..

Kipindi. Ha Uchaguzi wa Mwenyekiti mwaka 2009 ilikuwa hivi hivi kwa chacha wangwe..

Mwaka 2012 Ilikuwa Hivi hivi kwa zitto kabwe Na Sasa Ni hivi hivi kwa Lissu..
NA mwaka 2013 na 2014 Kina Kitila Mkumbo et al ..

Hapana Mbowe ana tatizo tena Kubwa na watu walio karibu yake hawamuambii
Wacha Kura ipigwe na iwe wazi na haki.kwa mtazamo wangu kama TL akishinda chama kitapotea uongozi ni subira,hekima na busara
 
Form Moja ya Uenyekiti Wa CCM ni tofauti kabisa na Chadema..
CCM ni chama kilichopo Madarakani Na ili Uongozi uende sawa Hakuwzi kuwa na Mwenyekiti Tofauti na Rais so By Default mwenyekiti wa CCM huwa ni Lazima awe Rais wa Jamhuri ili apate Power ya Kuongoza Chama na Serkali..
Ulichoandika hakiendani na misingi ya demokrasia mfano chama cha ANC mwenyekiti anaweza kuwa mtu mwingine na Rais mwingine

Unasemaje haiwezekani sema tu ccm ya leo ndo hawawezi mwaka 1985 mpaka 1990 mwenyekiti wa ccm alikuwa nyerere huku Rais akiwa mwinyi
 
Lazma Uone Kuna Shida Haiwezekani Mtu mmoja akawa anashambuliwa na wote haoo..

Kipindi. Ha Uchaguzi wa Mwenyekiti mwaka 2009 ilikuwa hivi hivi kwa chacha wangwe..

Mwaka 2012 Ilikuwa Hivi hivi kwa zitto kabwe Na Sasa Ni hivi hivi kwa Lissu..
NA mwaka 2013 na 2014 Kina Kitila Mkumbo et al ..

Hapana Mbowe ana tatizo tena Kubwa na watu walio karibu yake hawamuambii
Mtu kushinda changamoto unasema kuna tatizo
Mazingira ya siasa za Tanzania ni ya kihuni sana angalia dola ilichofanya mwaka 2019, 2020, na 2024 kwenye hizo chaguzi sasa kama wameweza kwenye national stage sembuse kwenye chama ambacho kuna kiongozi dhaifu

Mbowe ameingia gharama kubwa sana na kumbuka account zilifunguliwa baada ya samia kuwa Rais
 
Back
Top Bottom