NATUBU: Kama Niliwahi Kukitukana Chama Changu cha CCM kuhusu kuwa na misingi Mibovu ya Kidemokrasia Naomba kwa Dhati kabisa Nisamehewe

Hameni kimya kimya,kwani mlipojiunga mlikuja hapa kututangazia?
😝😝
Siasa za kufuata mtu zitawaua nyie

Kapige kura wewe,kila dk mnafungua mada mpya
 
Sasa mbowe akiachia umiliki wa Chadema, mwanaJF Erythrocyte ataishi vipi au mnataka akadange 😂
 
Mbowe amekubali kirahisi kukivuruga chama chake.
 
Wacha Kura ipigwe na iwe wazi na haki.kwa mtazamo wangu kama TL akishinda chama kitapotea uongozi ni subira,hekima na busara
Hapna Kabisa Bob Nyanga Makani Alikuwa Ni mtu dizaini ya Lisu na aliiongoza CHADEMA kama Mwenyekiti mpaka alipostaafu 2004 akachukua Lissu Mbona Chadema Ilikuwa Imara?

Ulikuwa na Miaka mingapi Kwenye Uongozi Wa Bob Nyanga?
 
Hapna Kabisa Bob Nyanga Makani Alikuwa Ni mtu dizaini ya Lisu na aliiongoza CHADEMA kama Mwenyekiti mpaka alipostaafu 2004 akachukua Lissu Mbona Chadema Ilikuwa Imara?

Ulikuwa na Miaka mingapi Kwenye Uongozi Wa Bob Nyanga?
Nimeanza kupiga Kura 1995 na nilikuwa naudhuria mikatano ya vyama mbalimbali.Wakati upinzani ulikuwa NCCR Mageuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…