Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna kiwete ambaye unamfahamu anaishi mtaani kwenu au ndugu yako kaponyeshwa?Kama kichwa cha habar hapo juu, ujio wa mwamposa songea ni neema. ,umeleta uponyaji mkubwa sana, vilema wanatembea, vipofu wanaona, hiyo haina kupinga. Mimi nilikuwa simuamini lakini kwasasa naanza kumuamini, .
Nenda kanitafutie vilema hao 100 uwalete kama utawapata eneo moja acha kudanganyika kaka duuhWote hawa wamelipwa?
Usiwe na imani habaNitakuwa mtu wa mwisho kuamini hayo maigizo yenu.
yaani uwe kilema (mlemavu wa viungo), halafu from nowhere, utembee kwa sababu ya kuombewa na Mwamposa!!
Watu kama nyie ndo huwa mnatapeliwa kirahisi Kama wale wa KalyndaKama kichwa cha habar hapo juu, ujio wa mwamposa songea ni neema. ,umeleta uponyaji mkubwa sana, vilema wanatembea, vipofu wanaona, hiyo haina kupinga. Mimi nilikuwa simuamini lakini kwasasa naanza kumuamini, .
Hata yesu kuna watu hawakumuaminiWatu kama nyie ndo huwa mnatapeliwa kirahisi Kama wale wa Kalynda
Au pengine nimuongezee swali la nyongeza...ndugu ZingzingzingWewe ulikuwa kilema umepona?
Hawa uwanjani tumewaonaNenda kanitafutie vilema hao 100 uwalete kama utawapata eneo moja acha kudanganyika kaka duuh
Basi kumbe mwamposa ni mtu sahihiAu pengine nimuongezee swali la nyongeza...ndugu Zingzingzing
Kuna ndugu yake, rafiki, jirani au anaemfahamu aliyeponywa?
Kwa ufupi, kanuni ya uponyaji ni imani ya mtu kwa nguvu ya uponyaji (Mungu) sio Mwamposa. Huyu anachofanya ni kuamsha imani.
Kweli wajinga hamuwezi kuisha kamwe.Usiwe na imani haba
Otherwise utakuwa umelipwa kutangaza huo utapeli endelea ndugu malipo yake utayaonaHawa uwanjani tumewaona
Huyo ana kilema Cha akili hajapona vizur inaonekana!Wewe ulikuwa kilema umepona?