wa hapahapa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 7,455
- 4,395
Una tatizo la Afya ya akili.
Hata Mimi mwanzo nilikuwa siamini lkn ukipata muda kuangalia shuhuda za watu inaonyesha uponyaji upo na watu matatizo yao Yana tatuliwa....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una tatizo la Afya ya akili.
Sijui kwanini watu wanadanganywa kiasi hikiAu pengine nimuongezee swali la nyongeza...ndugu Zingzingzing
Kuna ndugu yake, rafiki, jirani au anaemfahamu aliyeponywa?
Kwa ufupi, kanuni ya uponyaji ni imani ya mtu kwa nguvu ya uponyaji (Mungu) sio Mwamposa. Huyu anachofanya ni kuamsha imani.
Acha ujinga dogo, kipi ambacho jina la Yesu linashindwa? Utakuwa ni lipumbavu kama unajiita mkristo halafu upinge miujiza kutokea kwa jina la Yesu Kristo.Kweli wajinga hamuwezi kuisha kamwe.
Stupid na huyo tapeli wako Mwamposa.Acha ujinga dogo, kipi ambacho jina la Yesu linashindwa? Utakuwa ni lipumbavu kama unajiita mkristo halafu upinge miujiza kutokea kwa jina la Yesu Kristo.
chief achana na kuamini hawa waganga wa jadi waliochangamka umeanza kumuamini nabii badala ya kumuamini Mungu na neno lake. ijue kwelii inayosemwa kwenye biblia nayo itakuweka huru utatoka kwny utumwa wa kuzunguka na vichupa vya mafuta kama unapiga ramli.Siwashangai,hata yesu kuna watu hawakumuamini mbaka siku ya mwisho .
Mimi nilikuwa simuamn,ila naanza kumuakiniOtherwise utakuwa umelipwa kutangaza huo utapeli endelea ndugu malipo yake utayaona
Namuamini mungu,ila mwamposa ni nabii wa munguchief achana na kuamini hawa waganga wa jadi waliochangamka umeanza kumuamini nabii badala ya kumuamini Mungu na neno lake. ijue kwelii inayosemwa kwenye biblia nayo itakuweka huru utatoka kwny utumwa wa kuzunguka na vichupa vya mafuta kama unapiga ramli.
Hawa hawana tofauti na wanganga wa kienyeji. usidanganywe na mapicha picha ya miujiza hata wachawi na waganga wanafanya miujiza ijue kwelii itakuweka huru!!!!.
Hao wamelipwa kuigiza ndugu, ukitaka kujua ni kweli mchukue mlemavu unaemfahamu uone kama atapona
Una uhakika ni viwete halisi?Kama kichwa cha habar hapo juu, ujio wa mwamposa songea ni neema. ,umeleta uponyaji mkubwa sana, vilema wanatembea, vipofu wanaona, hiyo haina kupinga. Mimi nilikuwa simuamini lakini kwasasa naanza kumuamini, .
😂😂😂😂Nabii anatokea mbeya ila wakristo ni mtihani sanaNamuamini mungu,ila mwamposa ni nabii wa mungu
Una tatizo la Afya ya akili.
Pumbavu kabisa wewe. Sijawahi kusali kanisani kwake na still ninaamini ni mtumishi wa kweli wa Mungu.Stupid na huyo tapeli wako Mwamposa.
Hao wamelipwa kuigiza ndugu, ukitaka kujua ni kweli mchukue mlemavu unaemfahamu uone kama atapona
Waislamu wamejaa sana uku pia😂😂😂😂Nabii anatokea mbeya ila wakristo ni mtihani sana
Yesu hajawahi kushindwaKama kichwa cha habar hapo juu, ujio wa mwamposa songea ni neema. ,umeleta uponyaji mkubwa sana, vilema wanatembea, vipofu wanaona, hiyo haina kupinga. Mimi nilikuwa simuamini lakini kwasasa naanza kumuamini, .