Nani yuko tayari kuwa spie, tuprove miujiza ya mzee ni ya kweli au movie.
Script itakuwa hivi...hakikisha unaudhururia mikutano ya mzee na umepata picha na video za wanaodaiwa kupokea miujiza ya kuponywa sehemu za mwili zinazoonekana kama upofu, kiwete wa sehemu za viungo km miguuni na mikono.
Ukipata hzo picha na video, zoezi linalofuata ni kuwafuatilia waliopokea muujiza kwa kuspie, kuuliza majirani na wanaowafahamu ili wathitishe kama kweli walikuwa na huo ulemavu.
Ukifanikisha hilo, naamini una stori nzuri ya kupublish na ikapata followers wengi.
Uwe makini sana kwa sababu unagusa mfuko wa mtu hapo.
Ongezea maelezo mtu aingie kushoot [emoji23]