Natubu: Nilikuwa simuelewi Mwamposa, ila kwa idadi ya viwete walioponyeshwa Songea naanza kumuamini

Natubu: Nilikuwa simuelewi Mwamposa, ila kwa idadi ya viwete walioponyeshwa Songea naanza kumuamini

Nani yuko tayari kuwa spie, tuprove miujiza ya mzee ni ya kweli au movie.
Script itakuwa hivi...hakikisha unaudhururia mikutano ya mzee na umepata picha na video za wanaodaiwa kupokea miujiza ya kuponywa sehemu za mwili zinazoonekana kama upofu, kiwete wa sehemu za viungo km miguuni na mikono.
Ukipata hzo picha na video, zoezi linalofuata ni kuwafuatilia waliopokea muujiza kwa kuspie, kuuliza majirani na wanaowafahamu ili wathitishe kama kweli walikuwa na huo ulemavu.

Ukifanikisha hilo, naamini una stori nzuri ya kupublish na ikapata followers wengi.

Uwe makini sana kwa sababu unagusa mfuko wa mtu hapo.
Ongezea maelezo mtu aingie kushoot [emoji23]
Hivyo vita utakayokua umeianzisha unaweza kuishia kuuawa mzee
 
Tangu mwaka juzi Mke wangu alikuwa na shida kubwa ya macho kuuma sana,
Miwani keshabadilisha sana, dawa keshanunua sana lkn wapi,
Siku tatu za injili ya mwamposa Bukoba,
Sasa mke wangu anashuhudia uponyaji Wa macho kwa jina la YESU KRISTO.
 
Injili haiwezi kwenda bila kuwezeshwa..unadhani ni rahisi sana kuendesha ministry kubwa kama hiyo ya mtume na Nabii Mwamposa??acha kujitoa akili kama wewe tu hapo kwako unahitaji pesa kuendesha familia iweje kwa ministri kama hiyo ya Mwamposa.

Acheni wivu wa kike.

#MaendeleoHayanaChama
Wajinga ndiyo waliwao... Kalagabahooo.
 
Ivi aliyeumba "ulemavu" ni nani? Na ni nani anayeombwa/ anayetakiwa na waombaji kuwaondolea ulemavu? Alikosea kuwaumba hivyo? Hakujua kama watateseka hapa duniani? Kwanini tunamkosoa muumbaji kwa kuwaaminisha walemavu kwamba wao "hawapo normal" na kuna namna ya kuwafanya wakawa "normal". Kwa matakwa ya Mungu alitaka wawe walemavu, haya yanayoletwa sasa ni matakwa ya nani? Mwamposa au Mungu huyo huyo?

Nachoka sana.

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Weee jamaa utakua msomi sana, Kama siyo msomi sana bas akili yako kubwa inazidi wasomi wengi
 
Una tatizo la Afya ya akili.
Nyie wote ni wapumbavu wakubwa,anayeponya magonjwa ni YESU KRISTO mwana wa Mungu, Mwamposa ni mtumishi wa Mungu anayemwakilisha YESU,kaeni na maukimwi yenu msubiri kifo tu majuha nyie wakati kuna uponyaji wa Bure kabisa
 
Nilifikiri wewe ndiye Mlemavu umekuja kutoa ushahidi.

Mtafute Mlemavu yeyote aliyeponywa akiwa na ushahidi wa Ndugu, Jirani, Marafiki, aliosoma nao n.k aje atoe ushuhuda humu yeye Mwenyewe.
 
Uponyajinwa mchongo ,hiyo ni muhimu km wahuni km wahuni wengine
 
Back
Top Bottom