Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Ebu tafuta actor mmoja aje atoe ushuhuda hapa.Mbona magongo yote yaliyotupwa ni yanaonekana kuchongwa siku hiyohiyo (mapya), huo uwete ulikuwa unamngoja Mwamposa. Hayo magongo yalichongeshwa na Mwamposa na kugawiwa watu (actors) maalumu ili washiriki kwenye uongo na udanganyifu wa kupona.