Tena tumsaidir hapa hapaUna tatizo la Afya ya akili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena tumsaidir hapa hapaUna tatizo la Afya ya akili.
na mimi naunga unitagAkijibu na yeye ni kilema unitag
haupo sahhMagongo yote yanafanana na yametengenezwa na fundi mmoja
Htr mtupuMagongo yote yanafanana na yametengenezwa na fundi mmoja
NI mwamba huyu Mwamposa.Huyu jamaa anaendelea kuwapiga
Ova
Mimi nilikuwa mpweke, baada ya kunywa yale maji na mengine kunawa usoni, binti aliyekuwa pembeni yangu akaanza kunitazama kwa jicho la mahaba.Wewe ulikuwa kilema umepona?
NyumbuAkijibu na yeye ni kilema unitag
Akuponye na ugonjwa wa ujinga ulio nao,shit hole!!Kama kichwa cha habari hapo juu, ujio wa Mwamposa, Songea ni neema.
Umeleta uponyaji mkubwa sana, vilema wanatembea, vipofu wanaona, hiyo haina kupinga.
Mimi nilikuwa simuamini lakini kwasasa naanza kumuamini.
View attachment 2387081
huyo mdada alikuwa shetani😅Mimi nilikuwa mpweke, baada ya kunywa yale maji na mengine kunawa usoni, binti aliyekuwa pembeni yangu akaanza kunitazama kwa jicho la mahaba.
Wakati ibada imeisha nikamshika mkono kwa Upendo, tukaenda hapo Kawe Guest, GENTAMYCINE anapafahamu sana, basi tukalala usiku kucha na kesho yake tukarudi ibadani.
Nikaambulia GONO, nikajaribu kunywa yale maji Lita 20 GONO halikupona, nikajisalimisha kwenye madhabahu ya zahanati ya serikali hapo Kawe, ndipo nikachomwa penaduu ya upako, na GONO likaisha.
HahahaahAkuponye na ugonjwa wa ujinga ulio nao,shit hole!!
Kasome Mathayo 28 utaelewa kuwa haya yote yalishatabiriwa, manabii wa uongo, ni rahisi kuwajua, matendo yao, Yesu hakuponya na kuhubiri kama wafanyalo wao, fedha iko mbele kuliko Mungu wa kweli, msidanganyike ule mwisho umefika, watu hawako kwa ajili ya kumjua Mungu bali kwa ajili ya kuona miujiza tu.Kama kichwa cha habari hapo juu, ujio wa Mwamposa, Songea ni neema.
Umeleta uponyaji mkubwa sana, vilema wanatembea, vipofu wanaona, hiyo haina kupinga.
Mimi nilikuwa simuamini lakini kwasasa naanza kumuamini.
View attachment 2387081
Acheni ujinga ,maskini na wajinga ni mitaji mizuri sana hapa duniani ,when they are desperate they take and believe anything , aende moi na ocean road akasaidie kuponyesha watuKama kichwa cha habari hapo juu, ujio wa Mwamposa, Songea ni neema.
Umeleta uponyaji mkubwa sana, vilema wanatembea, vipofu wanaona, hiyo haina kupinga.
Mimi nilikuwa simuamini lakini kwasasa naanza kumuamini.
View attachment 2387081
Sawa. Wa daslamu zamu yao lini?Kama kichwa cha habari hapo juu, ujio wa Mwamposa, Songea ni neema.
Umeleta uponyaji mkubwa sana, vilema wanatembea, vipofu wanaona, hiyo haina kupinga.
Mimi nilikuwa simuamini lakini kwasasa naanza kumuamini.
View attachment 2387081
Kawasomee wazazi wako huo ujinga wako,marko ndiyo nani au kwavile umekuta wazazi wako wamelishwa ujinga na wewe unaendeleza ujinga wa wazazi wakoKasome Marko 13 kuanzia mstari wa.5
Mwamposa anaponya wanadaiUjinga ulionao wewe kwa njaanjaa zako usiwaambukize wengine,kama kweli huyo bwanako mwamposa ana uwezo wa kuponya wagonjwa basi aende hospitalini ambako wagonjwa wamejaa tele akiweza hilo basi utakuwa sahihi
Angalia magongo hapoAkuponye na ugonjwa wa ujinga ulio nao,shit hole!!