Natubu: Nilikuwa simuelewi Mwamposa, ila kwa idadi ya viwete walioponyeshwa Songea naanza kumuamini

Natubu: Nilikuwa simuelewi Mwamposa, ila kwa idadi ya viwete walioponyeshwa Songea naanza kumuamini

Wewe ulikuwa kilema umepona?
Mimi nilikuwa mpweke, baada ya kunywa yale maji na mengine kunawa usoni, binti aliyekuwa pembeni yangu akaanza kunitazama kwa jicho la mahaba.

Wakati ibada imeisha nikamshika mkono kwa Upendo, tukaenda hapo Kawe Guest, GENTAMYCINE anapafahamu sana, basi tukalala usiku kucha na kesho yake tukarudi ibadani.

Nikaambulia GONO, nikajaribu kunywa yale maji Lita 20 GONO halikupona, nikajisalimisha kwenye madhabahu ya zahanati ya serikali hapo Kawe, ndipo nikachomwa penaduu ya upako, na GONO likaisha.
 
Mwenye connections ya tenda za kutoa ushuhuda kwa manabii aniunge nao tafadhali
 
Mimi nilikuwa mpweke, baada ya kunywa yale maji na mengine kunawa usoni, binti aliyekuwa pembeni yangu akaanza kunitazama kwa jicho la mahaba.

Wakati ibada imeisha nikamshika mkono kwa Upendo, tukaenda hapo Kawe Guest, GENTAMYCINE anapafahamu sana, basi tukalala usiku kucha na kesho yake tukarudi ibadani.

Nikaambulia GONO, nikajaribu kunywa yale maji Lita 20 GONO halikupona, nikajisalimisha kwenye madhabahu ya zahanati ya serikali hapo Kawe, ndipo nikachomwa penaduu ya upako, na GONO likaisha.
huyo mdada alikuwa shetani😅
 
Kama kichwa cha habari hapo juu, ujio wa Mwamposa, Songea ni neema.

Umeleta uponyaji mkubwa sana, vilema wanatembea, vipofu wanaona, hiyo haina kupinga.

Mimi nilikuwa simuamini lakini kwasasa naanza kumuamini.

View attachment 2387081
Kasome Mathayo 28 utaelewa kuwa haya yote yalishatabiriwa, manabii wa uongo, ni rahisi kuwajua, matendo yao, Yesu hakuponya na kuhubiri kama wafanyalo wao, fedha iko mbele kuliko Mungu wa kweli, msidanganyike ule mwisho umefika, watu hawako kwa ajili ya kumjua Mungu bali kwa ajili ya kuona miujiza tu.
 
Kama kichwa cha habari hapo juu, ujio wa Mwamposa, Songea ni neema.

Umeleta uponyaji mkubwa sana, vilema wanatembea, vipofu wanaona, hiyo haina kupinga.

Mimi nilikuwa simuamini lakini kwasasa naanza kumuamini.

View attachment 2387081
Acheni ujinga ,maskini na wajinga ni mitaji mizuri sana hapa duniani ,when they are desperate they take and believe anything , aende moi na ocean road akasaidie kuponyesha watu
 
Ujinga ulionao wewe kwa njaanjaa zako usiwaambukize wengine,kama kweli huyo bwanako mwamposa ana uwezo wa kuponya wagonjwa basi aende hospitalini ambako wagonjwa wamejaa tele akiweza hilo basi utakuwa sahihi
 
Ujinga ulionao wewe kwa njaanjaa zako usiwaambukize wengine,kama kweli huyo bwanako mwamposa ana uwezo wa kuponya wagonjwa basi aende hospitalini ambako wagonjwa wamejaa tele akiweza hilo basi utakuwa sahihi
Mwamposa anaponya wanadai
 
Back
Top Bottom