Natumia Blog kupata PESA. Hivi ndivyo ninavyopata VIEWS

Natumia Blog kupata PESA. Hivi ndivyo ninavyopata VIEWS

Bonge Mpya

Member
Joined
Jul 6, 2021
Posts
39
Reaction score
136
Habari
Siku zilizopita nilipost Uzi kuhusu Mtaji wa 25,000 Unavyonipatia laki 4 kila mwezi>>
Screenshot_20220519-144357.png

Watu wengi walitaka kujua jinsi ya kupata Watembeleaji wengi kwenye Blog.

Screenshot_20220519-132851_1652957563909.jpg

Binafsi natumia njiaa kuu mbili kupata views kwenye blog yangu.
1. Natumia Magroup ya WhatsApp>.
Huwa Na-share Links za posts zangu kwenye Magroup ya WhatsApp>>

2. Natumia Google search
Hapa ndo napata Watembeleaji wengi kila siku kwenye blog yangu
Screenshot_20220517-232807.png

Jinsi ninavyofanya kupata Views kutoka Google
1.
Natafuta Idea ya Post. Mfano nimepata idea kuhusu Sportpesa app

2. Naingia google kusachi idea yangu Ili kuangalia posts zilizoandikwa kuhusu idea yangu.

3. Baada ya kusachi Huwa nashuka chini kuangalia kwenye REALATED SEARCH
Screenshot_20220519-141510.png


4. Nikishaona hizo related search naingia Google Ads kuangalia idadi ya watu wanao search hayo maneno google
Screenshot_20220519-134740_1652958392243.jpg


5. Baada ya kujua kila search na idadi ya watu wanaosachi Huwa nachagua Maneno yanayosachiwa na idadi ya wastani Ili kuepuka Ushindani na Blog zingine zenye Nguvu.
Mfano hapo nitachagua SPORTPESA APP DOWNLOAD na sitachagua SPORTPESA APP kwasababu ya ushindani.

6. Baada ya hapo naingia kwenye dashboard ya blog yangu na kuandika post. TITLE ya Post yangu naandika SPORTPESA APP DOWNLOAD kama ilivyo. Naweza kuongezea baadhi ya mbwembwe mfano Sportpesa app download Tz 2022 (LatestVersion)
Kifuatacho hapo kwa siku napata watu 50 Hadi 100 kutoka Google
Hiyo ni post moja, mfano chukulia Blog yangu Ina posts zaidi ya 100 kwa siku napata watu wangapi.
Screenshot_20220510-224820.png

Tazama hapo kwa siku napata Hadi Clicks 1000+ kutoka Google.
Kama umependezwa na Uzi huu Asante sana.
Mawasiliano yangu haya hapa

Screenshot_20220510-224820.png
 
Kanikumbusha platform moja inaitwa Quiz Money, Ilinimalizia bundle karibu la 20K kisambaza link zao kwenye social media, pia kualika marafiki! Mwisho wa siku nikatengeneza hadi 1.7M, kwenye ku withdraw wakanambia account yako haijaidhinishwa! Nikaambiwa kulipia 60,000 ya kufufua account au nisubiri miezi miwili, nikaisubiri! Mwisho wa siku wananambia account yako ni batili!
Dah!!
Sitaki tena kusikia kitu kutengeneza pesa mtandaoni!
 
Kanikumbusha platform moja inaitwa Quiz Money, Ilinimalizia bundle karibu la 20K kisambaza link zao kwenye social media, pia kualika marafiki! Mwisho wa siku nikatengeneza hadi 1.7M, kwenye ku withdraw wakanambia account yako haijaidhinishwa! Nikaambiwa kulipia 60,000 ya kufufua account au nisubiri miezi miwili, nikaisubiri! Mwisho wa siku wananambia account yako ni batili!
Dah!!
Sitaki tena kusikia kitu kutengeneza pesa mtandaoni!
Anachoelekeza ni kuhusu Adsense, Google sio matapeli
 
Kanikumbusha platform moja inaitwa Quiz Money, Ilinimalizia bundle karibu la 20K kisambaza link zao kwenye social media, pia kualika marafiki! Mwisho wa siku nikatengeneza hadi 1.7M, kwenye ku withdraw wakanambia account yako haijaidhinishwa! Nikaambiwa kulipia 60,000 ya kufufua account au nisubiri miezi miwili, nikaisubiri! Mwisho wa siku wananambia account yako ni batili!
Dah!!
Sitaki tena kusikia kitu kutengeneza pesa mtandaoni!
Bila shaka hao ni matapeli. Hakuna fedha rahisi namna hiyo. Ingekuwa kuna fedha za aina hiyo kuna mabingwa wa kutengeneza na kuendesha blog zilizoenda shule ambao wangekuwa mabilionea kwa hii kazi.
 
Back
Top Bottom