Hiyo ni Account maalumu ya Matangazo na Biashara ambayo wewe unailipia.Sasa kazi yako ni kuweka matangazo wao wanawafikia wateja.Kwa mfano ukiweka tangazo ukakubali kwa wiki $3 kwa siku linaweza wafikia wateja 200-300.Kadiri utavyobadli malipo ndivyo tangazo linavyozidi kupaa zaidi Duniani.Fafanua hii mkuu
Nilifilisiwa kaka saivi sina mtaji wa kufungulia ofisi ndio kisanga kilipo, ila nataka nianze na vimishe vidogodogo vya kawaida mpaka nirudi juu.Ushasema unafaham video edit sasa unakwama wapi?
Asante, ila hio kesi nimesha i solve imeishaKwanzaa anza an hayo mambo yaliyo fanya ukaboronga kama usipo yamaliza utakwama tena
Nipo Tanga mkuu wewe upo wapiNjoo nikufundishe kuflash simu huo ujuzi utautumia kufanya kazi popote
Nipo Tanga Korogwe kiongozUnapatikana wapi mkuu
Nitalifuatilia kiundani hili wazo nashukuru sana mkuuFungua Facebook business account uwe unarusha matangazo facebook Adds wewe wanakulipa na wewe unawalipa Facebook.Kuna mengi humo utasema ulichelewa.NB uwe na Visa Card ya kuwalipa mpunga wao na Kizungu kiwemo kidogo maana maswali lukuki.
Nashukuru sana mkuu kwa wazo hili nitalishughulikia [emoji120]Tafuta hela ununue camera uwe unapiga picha Kisha retouching kwa Adobe warushie watu kwa WhatsApp
JamiiNasubiri mtoa mada kijibu oisha na mimi nizungumze na wewe pengine muongozo wako utanifungua macho pia.
Natanguliza shukrani
Shukran mkuu nafurahi kupata idea hiiHiyo ni Account maalumu ya Matangazo na Biashara ambayo wewe unailipia.Sasa kazi yako ni kuweka matangazo wao wanawafikia wateja.Kwa mfano ukiweka tangazo ukakubali kwa wiki $3 kwa siku linaweza wafikia wateja 200-300.Kadiri utavyobadli malipo ndivyo tangazo linavyozidi kupaa zaidi Duniani. Kikubwa ni uaminifu kwa wenye bidhaa.Ila ukipata connection za matangazo ya Akina Assas Basi ndani ya wiki Manara,kitenge akina Oscar watalala njaa.Matokeo watayaona.Facebook ina mamilioni ya watumiaji kuliko page zao.Nafikiri umenipata Mkuu.
Mimi ninatumia Mkuu kwenye inshu zangu na naona matokeo.Sisi wabongo Tunajua kununua bando tu.Lakini bando liturudishie ela yetu hatujui.Wajasiliamali hii ni njia ya kutangaza na kuuza bidhaa ukiwa umelela kitandani mchawi bando.Nitalifuatilia kiundani hili wazo nashukuru sana mkuu
Oky naomba kuuliza kitu hapa, kwahiyo ni kwamba mimi napost tangazo alafu mteja akipatikana commission yangu inatoka kwa hao walio nipa tangazo nipost au inakuaje mkuu.Mimi ninatumia Mkuu kwenye inshu zangu na naona matokeo.Sisi wabongo Tunajua kununua bando tu.Lakini bando liturudishie ela yetu hatujui.Wajasiliamali hii ni njia ya kutangaza na kuuza bidhaa ukiwa umelela kitandani mchawi bando.
NB:Hii unaiunga na Insta, WhatsApp,na Facebook page yako.Unapaste Facebook inajibu kote huko maana ni watoto wa Meta.
Asante.Hiyo ni Account maalumu ya Matangazo na Biashara ambayo wewe unailipia.Sasa kazi yako ni kuweka matangazo wao wanawafikia wateja.Kwa mfano ukiweka tangazo ukakubali kwa wiki $3 kwa siku linaweza wafikia wateja 200-300.Kadiri utavyobadli malipo ndivyo tangazo linavyozidi kupaa zaidi Duniani. Kikubwa ni uaminifu kwa wenye bidhaa.Ila ukipata connection za matangazo ya Akina Assas Basi ndani ya wiki Manara,kitenge akina Oscar watalala njaa.Matokeo watayaona.Facebook ina mamilioni ya watumiaji kuliko page zao.Nafikiri umenipata Mkuu.
Yes!Kama hauna biashara unaweza ukaingia makubaliano na watu ukawatangazia biashara zao.Mfano mtu ana barbershop anaweza lipa kwako ukaitangaza biashara yake kwa makubaliano kuwa kila Mwezi anakulipa kiasi kadhaa.Kuwa na Biashara Jambo moja kutangaza Jambo jingine.Oky naomba kuuliza kitu hapa, kwahiyo ni kwamba mimi napost tangazo alafu mteja akipatikana commission yangu inatoka kwa hao walio nipa tangazo nipost au inakuaje mkuu.
Shukran sana mkuuYes!Kama hauna biashara unaweza ukaingia makubaliano na watu ukawatangazia biashara zao.Mfano mtu ana barbershop anaweza lipa kwako ukaitangaza biashara yake kwa makubaliano kuwa kila Mwezi anakulipa kiasi kadhaa.Kuwa na Biashara Jambo moja kutangaza Jambo jingine.
Pamoja. Mkuu.Kumbuka usitumie simu kufungulia tumia computer.Shukran sana mkuu
Sawa Sawa kiongozi [emoji120][emoji120]Pamoja. Mkuu.Kumbuka usitumie simu kufungulia tumia computer.
WAKUU NINA MILIKI COMPUTER (DESKTOP) YA KAWAIDA TU, RAM GB 3 HDD GB 500 ILA IPO TU HAINA KAZI NAWEZAJE KUITUMIA KUINGIZA KIPATO MAZINGIRA YA MJINI?
Nilishawahi kuitumia kwenye mambo ya stationary, na library, pia nina uwezo waku edit video,(video production), kiufupi napenda sana kutumia computer na kama kuna idea ya kuhusu computer ambayo ninaona ina matter huwa nafanya juu chini kujifunza, nilisha kuwa vizuri hapo mwanzo nilijenga msingi ukakaa sawa ila mambo ya ujana siku za hivi karibuni yakanifanya nipoteze mtaji, akili inakuja kunikaa sawa najikuta nilicho baki nacho ni hii computer tu.
Nashukuru mkuu nitalishughulikia [emoji120][emoji120]Jishushe anza kuchapa barua ktk karatasi za A4 kwa wateja wanaohitaji kuandikiwa barua-rasmi , ku design kadi za mialiko n.k kisha ndiyo uanze kujiingiza ktk mambo ya video editing n.k nina uhakika ktk mji huo mdogo taratibu utaibuka tena.
[emoji28][emoji28]Inabidi nipate intro kwanza nijue hiyo ni nini then nijue naikodi shingapiNikukodishe Shingapi
View attachment 2310361
Mkuu kuna kitu nimetafakari sijapata jibu, hivi kwani kuna tofauti gani kwenye kutumia simu na kutumia computer kufungua hii page, ilihali Facebook ni ile ilePamoja. Mkuu.Kumbuka usitumie simu kufungulia tumia computer.