Natumiaje kompyuta kupata kipato?

Natumiaje kompyuta kupata kipato?

Nimekupata vizuri mkuu na program niliyo kuwa napendelea kuitumia ni Wonder share filmora.

Nashukuru kwa idea uliyo nipa ni kweli hata mi mwenyewe sometimes nilikuwa nikitulia tu sina hili wala lile, nilikua napenda kuchukua simu yangu na kuanza kujishoot vi clip then na edit alafu navihifadhi, hio ni moja ya hobby yangu, na ninavyo vi clip kadhaa humu kwenye computer.

Pia huwa na edit kwa kutumia application za simu kama vile VN video editor na KINE MASTER.

Kuna vitu vilikuwa vinanichanganya sana siku za nyuma na nikawa na shauku ya kuvijua mfano jinsi ya ku clone mtu mmoja aonekane mara mbili na wawe wanazungumza kama mtu na pacha ake na nilifanikiwa hilo pia nimejifunza ile VFX editing kwa kutumia green screen kubadilisha mazingira halisi na kuyaweka mazingira yanayo endana na filamu, hiyo nayo nimesha i master vya kutosha.

Pia naendelea kujifunza vitu mbali mbali kupitia YouTube juu ya masuala ya editing maana napenda sana haswa haswa napenda kuedit video kuliko picha.

Nashukuru kwa idea yako maana umenikumbusha kipindi fulani nilikuwa Morogoro kuna bwana mmoja alikuwa ni camera man mkongwe kweli kweli mpaka leo hii yupo ila nikaangalia baadhi ya kazi zake alizo shoot na ku edit zilikuwa za hali duni sana nikaona kama ningeifanya ile kazi ningeweza kuweka vitu fulani vya tofauti ambavyo vingefanya iwe bora, ila ndio hivyo sikuwa na muda wa kutosha kukaa pale.

Ninalichukua hili wazo lako na nitalifanyia kazi pia, ninaenda kuandaa clip kadhaa za u serious alafu nitazitumia kwenda kuomba kazi

nashukuru sana mkuu
Pamoja, kuwa pasionate na kitu husika ni nzuri na ndo itakayofanya kazi zako ziwe nzuri, hao wengine wanafanya kaz kwa kukairi na hela wakishaanz pata wanapoteza na ile enthusiasm ya kazi, inakua tu wanafnya kwa hela basi.

So, utakuwa kile wanachotaka kazi zao, ziwe . Kuedit kwa simu sishauri sana, ila app kama CapCut iko powerful kuliko hata hio KineMaster, endapo ukijua kuitumia.


Filmora iko bomba, but baad ya muda taratibu nenda unajifunza na Premiere Pro maana tempates zake, tutorials na stock footages unazoweza download na kutuma ni nyingi mno kuliko Filmora.
 
Pamoja, kuwa pasionate na kitu husika ni nzuri na ndo itakayofanya kazi zako ziwe nzuri, hao wengine wanafanya kaz kwa kukairi na hela wakishaanz pata wanapoteza na ile enthusiasm ya kazi, inakua tu wanafnya kwa hela basi.

So, utakuwa kile wanachotaka kazi zao, ziwe . Kuedit kwa simu sishauri sana, ila app kama CapCut iko powerful kuliko hata hio KineMaster, endapo ukijua kuitumia.


Filmora iko bomba, but baad ya muda taratibu nenda unajifunza na Premiere Pro maana tempates zake, tutorials na stock footages unazoweza download na kutuma ni nyingi mno kuliko Filmora.
Shukran mkuu nina kwenda kufanya hivyo
 
Fungua library uswahilini UZA CD za movie....pia kuwa na stock ya movie zakutosha unawabania KWENYE CD au unawawekea KWENYE flash zilizotafsiriwa Kwa kiswahili hakikisha unazo zakutosha
 
Back
Top Bottom