Natumiaje kompyuta kupata kipato?

Natumiaje kompyuta kupata kipato?

Fanya kazi online Kwa mtaji wa muda wako, ushawishi na bandle lako

Jaribu hii [emoji1541][emoji1541] aihitaji kuwekeza mtaji zaidi ya kushawishi watu kujiunga na kusambaza link

Utaingiza pesa Kila siku na % Kwa Kila atakayejiunga kupitia link hii

Pesa yako itaingia moja Kwa moja kwenye simu Kwa kulingana na namba yako utakayotaka ipokee pesa

Fata link hii kujiunga

Nashukuru kwa ushauri mkuu
 
WAKUU NINA MILIKI COMPUTER (DESKTOP) YA KAWAIDA TU, RAM GB 3 HDD GB 500 ILA IPO TU HAINA KAZI NAWEZAJE KUITUMIA KUINGIZA KIPATO MAZINGIRA YA MJINI?

Nilishawahi kuitumia kwenye mambo ya stationary, na library, pia nina uwezo waku edit video,(video production), kiufupi napenda sana kutumia computer na kama kuna idea ya kuhusu computer ambayo ninaona ina matter huwa nafanya juu chini kujifunza,

Nilisha kuwa vizuri hapo mwanzo nilijenga msingi ukakaa sawa ila mambo ya ujana siku za hivi karibuni yakanifanya nipoteze mtaji, akili inakuja kunikaa sawa najikuta nilicho baki nacho ni hii computer tu.

fanya trading
 
Tumia kwa kile kilichokufanya uinunue, anza upya, achana na mambo ya ujana. Tafuta pesa nunua printer ya Epson, simu yenye kamera kuanzia 20mp, location nzuri, gonga passport size.
Ninakuombea ufanikiwe kwenye hili.
Nashukuru sana mkuu [emoji123][emoji120][emoji120]
 
Nilifilisiwa kaka saivi sina mtaji wa kufungulia ofisi ndio kisanga kilipo, ila nataka nianze na vimishe vidogodogo vya kawaida mpaka nirudi juu.

Kuna mwamba hapo juu kanishauri niweke meza nje ya ofisi ya mtu nadhani hio itakuwa poa kwangu.
Naomba nikuulize studio ya kurusha season uliwezaje kwa GB 500, mbona ni ndogo sana kwa kuhifadhi vitu. Maana hata mimi nimeshindwa kufungua studio kutokana na sababu mbali mbali ila mambo yaliyomo kwenye computer yako hata mimi ndo hayo hayo, pia me nimefanya kazi na wahindi maswala ya photo printing na Adobe nilikuwa naweza kuitumia vizuri ingawa nina miaka sijashirikisha kwenye huo utundu.
 
Kuna idea umepewa kurusha season na kuanza picha au ku edit hizo videos. Naongezea hapo kweny video editing.

Unajua kuedit haswa au ndo una idea? Na unatumia software gani vizuri, ni Movavi, Da Vinci, Filmora, Premiere Pro au Vegas Studio?

Kama hufahamu editing kutumia any ya hizo nimetaja, jipe walau mwezi wa userious kujifunza kiundani software moja wapo na uive.

Then jaribu chukua videos za kawaida hata kwa simu na ku edit ukiweka manjonjo yako yote, composition, text animation, editing yenyewe, color grading, sfx ma transitions na kila kitu . Vuwe vuvideo vufupi walau dakika 15 hivi. Tengeneza vutatu hadi vutana hivi.


Hatua ya mwisho, kuna watu wana exposure tayari ikija swala la kushoot hizo video za harusi, sijui kapu la mama, nk karibia kila sehemu tz na wanalipwa hela ya maana. Japo kazi zao ni utumbo. Wafuate hao kama kumi, waoneshe video zako na waambie unaweza kuwa una waeditia na kuwapa wao waburn tu hizo mikanda kwa cd na kuwapa clients wao.


Kama umekwiva na edits zako zinaonekana ni pro kuwazidi(maana wengi hutambaa kwa jina lakini skills ni zero), ukimtajia offer ya bei yako hato bargain sana na kati ya hao kumi utakaofuata, watu 5 lazima wakubali. Usikubali kufanyia kazi ofisin kwao. Ni wanakupa videos una edit, wanakulipa unawapa , kwa flash.

Nimefanya hizo nambo za ku edit mikanda ya harusi saana enzi hizo na lazima kazi upate karibia kila week. Price ilianzaga nacharge laki na nusu baadae nikapandisha kwenda laki mbili na elf 45 per video na bado walikuwa wanatoa hela. Then nka upgrade computer yenyewe, na kuendelea kuboost maujuzi etc, hadi nlipokuja acha kujikita na mambo mengine.

Hio ni bora kuliko ku burn.movie kwa buku buku kwa jua la stend japo nayo nimefanya miaka hiyo.🤠


Kila lakheri.
 
Naomba nikuulize studio ya kurusha season uliwezaje kwa GB 500, mbona ni ndogo sana kwa kuhifadhi vitu. Maana hata mimi nimeshindwa kufungua studio kutokana na sababu mbali mbali ila mambo yaliyomo kwenye computer yako hata mimi ndo hayo hayo, pia me nimefanya kazi na wahindi maswala ya photo printing na Adobe nilikuwa naweza kuitumia vizuri ingawa nina miaka sijashirikisha kwenye huo utundu.
Nina external HDD ya Tb 1 hio ndio nilijaza movie humu kwenye internal HDD niliweka nyimbo zaidi na movie chache
 
Kuna idea umepewa kurusha season na kuanza picha au ku edit hizo videos. Naongezea hapo kweny video editing.

Unajua kuedit haswa au ndo una idea? Na ubatumia software gani vizuri, ni Movavi, Da Vinci, Filmora, Premiere Pro au Vegas Studio?

Kama hufahamu editing kutumia any ya hizo nimetaja, jipe walau mwezi wa useriois kujifunza kiundani software moja wapo na uive.

Then jaribu chukua videos za kawaida hata kwa simu na ku edit ukiweka manjonjo yako yote, composition, text animation, editing yenyewe, color grading, sfx ma transitions na kila kitu . Vuwe vuvideo vufupi walau dakika 15 hivi. Tengeneza vutatu hadi vutana hivi.


Hatua ya mwisho, kuna watu wana exposure tayari ikija swala la kushoot hizo video za harusi, sijui kapu la mama, nk karibia kila sehemu tz na wanalipwa hela ya maana. Japo kazi zao ni utumbo. Wafuate hao kama kumi, waoneshe video zako na waambie unaweza kuwa una waeditia na kuwapa wao waburn tu hizo mikanda kwa cd na kuwapa clients wao.


Kama umekwiva na edits zako zinaonekana ni pro kuwazidi(maana wengi hutambaa kwa jina lakini skills ni zero), ukimtajia offer ya bei yako hato bargain sana na kati ya hao kumi utakaofuata, watu 5 lazima wakubali. Usikubali kufanyia kazi ofisin kwao. Ni wanakupa videos una edit, wanakulipa unawapa , kwa flash.

Nimefanya hizo nambo za ku edit mikanda ya harusi saana enzi hizo na lazima kazi upate karibia kila week. Price ilianzaga nacharge laki na nusu baadae nikapandisha kwenda laki mbili na elf 45 per video na bafo walikuwa wanatoa hela. Then nka upgrade comouter yenyewe, na kuendelea kuboost maujuzi etc, hadi nlipokuja acha kujikita na mambo mengine.

Hio ni bora kuliko ku burn.movie kwa buku buku kwa jua la stend japo nayo nimefanya miaka hiyo.[emoji1783]


Kila lakheri.
Nimekupata vizuri mkuu na program niliyo kuwa napendelea kuitumia ni Wonder share filmora.

Nashukuru kwa idea uliyo nipa ni kweli hata mi mwenyewe sometimes nilikuwa nikitulia tu sina hili wala lile, nilikua napenda kuchukua simu yangu na kuanza kujishoot vi clip then na edit alafu navihifadhi, hio ni moja ya hobby yangu, na ninavyo vi clip kadhaa humu kwenye computer.

Pia huwa na edit kwa kutumia application za simu kama vile VN video editor na KINE MASTER.

Kuna vitu vilikuwa vinanichanganya sana siku za nyuma na nikawa na shauku ya kuvijua mfano jinsi ya ku clone mtu mmoja aonekane mara mbili na wawe wanazungumza kama mtu na pacha ake na nilifanikiwa hilo pia nimejifunza ile VFX editing kwa kutumia green screen kubadilisha mazingira halisi na kuyaweka mazingira yanayo endana na filamu, hiyo nayo nimesha i master vya kutosha.

Pia naendelea kujifunza vitu mbali mbali kupitia YouTube juu ya masuala ya editing maana napenda sana haswa haswa napenda kuedit video kuliko picha.

Nashukuru kwa idea yako maana umenikumbusha kipindi fulani nilikuwa Morogoro kuna bwana mmoja alikuwa ni camera man mkongwe kweli kweli mpaka leo hii yupo ila nikaangalia baadhi ya kazi zake alizo shoot na ku edit zilikuwa za hali duni sana nikaona kama ningeifanya ile kazi ningeweza kuweka vitu fulani vya tofauti ambavyo vingefanya iwe bora, ila ndio hivyo sikuwa na muda wa kutosha kukaa pale.

Ninalichukua hili wazo lako na nitalifanyia kazi pia, ninaenda kuandaa clip kadhaa za u serious alafu nitazitumia kwenda kuomba kazi

nashukuru sana mkuu
 
Back
Top Bottom