Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Nimesikia uzi una miguu mitatu si miwili.Mbona pages zimekimbia hivyo jamanii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimesikia uzi una miguu mitatu si miwili.Mbona pages zimekimbia hivyo jamanii
Upo peke yakoDah nisha athirika kisaikolojia.
"Tuko wangapi!!!!!!!!!"
utanitoa roho
Numbisa is a funny girl ever!![emoji23] [emoji23] [emoji23]Acha hizo weweView attachment 586236
[emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40]Naandika wasumbufu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Utabiri interview itaishia njiani napo ni saa tano usiku
Uzi utajaaa comments za watu kuzidi za mgeni rasmi. Ubuyu utakosekana baada ya otieno kuibuka
Dada angu mie kwani sisi midume hatutakiwi kuwa interviewed??halafu lazima kila muintaviwa aweke picha yake...sio linakuja dume hapa na mindevu yake unaliintaviu tunadhan dada..
Shem mzma! Kwa upande wang me naona jf n jukwaa zur la kubadilshana mawazo na lpo lipo vizur kwel!Fresh tu Shem hajambo!
Unaonaje jf
DJ sepetu
Acha nipite bhana maana nilikuwa na msubiri huyo kisula nimuone kama naweza kurusha ndoano naona kimya.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]haya bhana
Ila kama ingekuwa imehamia kwako ningeagiza jibapa kabisaaa na ningemuita mzee wa tukuyu aje[emoji23][emoji23][emoji23]
Baby mbona wewe numbisa,paprika,naniliu,naniliu imefika hadi valentina umeanza kumpenda
Nina moyo ujue...
Bas sawa kumbe ni kaka zako ao kina Mondray.....Upo peke yako
Acha niwapishe na interview yenu nitarudi warembo wakijaa hadi pomoni nijaribu bahati yanguEeeh[emoji23][emoji23]
Mtaalam wa pm upo?[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji257]
naongelea wale wenye id mbili wanakuwa na jinsia mbili....kama yule erick the bossladyDada angu mie kwani sisi midume hatutakiwi kuwa interviewed??
Huyu alichanganya mambo kwa kweli mkuu.Ndo interview imeanza mkuu??[emoji32][emoji32][emoji32]
kama huna chura hutakiwi hapa Inna!Nakuona nakuona na ww upo team shilawadu sikuhz
Kumbe mrithi wa shekhe yahaya upo humu.Utabiri interview itaishia njiani napo ni saa tano usiku
Uzi utajaaa comments za watu kuzidi za mgeni rasmi. Ubuyu utakosekana baada ya otieno kuibuka
Mi nataka utulie kwangu tuBaby Mwanamke ni simu (Nokia tochi) inaingia laini moja tuu!
Ila mwanaume ni Laini inaingia kila simu so vumilia tu ndio ndoa zinavyojengwa