natural girla
JF-Expert Member
- Jul 9, 2017
- 224
- 276
Ok ndo nimeingia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaa. Pacha mie mwenzio baba kanikataza eti nikifanyiwa interview ndio itakuwa mwisho kukanyaga kwake. [emoji85] [emoji85] [emoji85]Nilikumiss pia pacha
Intaviuu yako lini?naisubiri kwa hamu ujue
Hadi nikufikie itakuwa ulishazeeka au hata kutoweka duniania[emoji23] [emoji23] [emoji23]Namba yako ni 23374059 🙂
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]haya bhana[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Inesababisha majanga mengi hata ya watu kumeza devices zao.
Maana kuna wakulima huku kibiti walijikuta wanameza mbegu kisa nilikuwa na mazungumzo nao.
Ondoa shaka wa uvungu wa moyo wang.Hahahh usiniangushe sasa
Naona hatokei muhusika..kunani???Kabisa yaani mtoto mzuri mwenzangu. Hata mie kwa upande wangu jf ndio mtandao pendwa kabisa.
Haya my dear ngoja tuendelee kusubiri interview.
Hahahh
Kivipi mpenzi wangu?
Kama mimi manake maswali ya muosha rungu wetu ni ya kufukuzwa nyumbani kabisaaaHahaaa. Pacha mie mwenzio baba kanikataza eti nikifanyiwa interview ndio itakuwa mwisho kukanyaga kwake. [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Nilianza hadi kukubonge bonge ni zaidi ya kukumiss miss! [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hujambo lakin
Mana hadi nakumiss ujue
Na mlengwa hajatokeaMbona pages zimekimbia hivyo jamanii
Mkuu kaa mbali asee kabla sijawa nisiejulikana.Kwahiyo ndo ushanizurumu mke wanguu..
Karibu sana my dearOk ndo nimeingia
Sie tumefika kitambo sana hapa. Tukaona muhusika hayupo,ikabidi tuanze kupiga soga wenyewe kwa wenyeweMbona pages zimekimbia hivyo jamanii
Kweli kabisabas waintaviane hukohuko pm..si wa nini hapa?
tunataka picha
Eeeh[emoji23][emoji23]Nilianza hadi kukubonge bonge ni zaidi ya kukumiss miss! [emoji23] [emoji23] [emoji23]