Hatuzungumzii biblia , tunazungumzia vitabu vya waislamu wa zamani kabla ya Muhammad ambavyo Muhammad na Allah walidai vilikiwepo ila Kwa sasa hatuna ata verse moja imebakiBiblia ina mikono ya Watu kuna watu wameichafuwa hiyo Biblia ina makosa zaidi ya elfu 50.
Mussa Myahudi lakini ametoka katika kizazi cha Yaakubu na Yaakubu alizaliwa na baba yake anaitwa isaka na isaka baba yake ni Nabii ibrahimu. Na hivyo hivyo Mtume Muhammad Rehema za Mungu ziwe juu yake pamoja na mani kizazichake kimetoka kwa ismail mwana kuwachinjwa na Nabii ibrahimu . Kwa hiyo Nabii ibrahim alikuwa ni Muislam pamoja kizazi chake chote ni waislam Dini ya kiislam ameanzisha Nabii ibrahimu sio Mtume Muhammad alikuja kuiendeleza uarabuni tunawezakusema Mtume muhammad ndio aliye leta dini ya kiislam uarabuni lakini Mwanzilisha wadini ya kiislam alikuwa ni Nabii ibrahim . Na Nabii ibrahim alikuwa ni Baba a Mataifa yote ya wayahudi pamoja na waarabu enzi hizo. Usahahidi Nabii ibrahim ndio aliye anzisha Dini ya kiislam soma aya ya Qur'am Sura. 22 AYA YA 78.Muhammad alikuwa muaarabu habari za Musa muislamu alizitoa wapi, na mbona hakuna history yoyote nje ya Koran inasema Kuna muislamu aliitwa Musa
Mpaka sasa hujasema hivyo vitabu vya hao waislamu vipo wapi? Na nje ya Koran Kuna history yoyote hao waislamu waliwahi kuwepo? Unazunguka zungukaMussa Myahudi lakini ametoka katika kizazi cha Yaakubu na Yaakubu alizaliwa na baba yake anaitwa isaka na isaka baba yake ni Nabii ibrahimu. Na hivyo hivyo Mtume Muhammad Rehema za Mungu ziwe juu yake pamoja na mani kizazichake kimetoka kwa ismail mwana kuwachinjwa na Nabii ibrahimu . Kwa hiyo Nabii ibrahim alikuwa ni Muislam pamoja kizazi chake chote ni waislam Dini ya kiislam ameanzisha Nabii ibrahimu sio Mtume Muhammad alikuja kuiendeleza uarabuni tunawezakusema Mtume muhammad ndio aliye leta dini ya kiislam uarabuni lakini Mwanzilisha wadini ya kiislam alikuwa ni Nabii ibrahim . Na Nabii ibrahim alikuwa ni Baba a Mataifa yote ya wayahudi pamoja na waarabu enzi hizo. Usahahidi Nabii ibrahim ndio aliye anzisha Dini ya kiislam soma aya ya Qur'am Sura. 22 AYA YA 78.
78. Na fanyeni juhudi kwa ajili ya Mwenyezi Mungu kama inavyo stahiki jihadi yake. Yeye amekuteueni. Wala hakuweka juu yenu mambo mazito katika Dini. Nayo ni mila ya baba yenu Ibrahim. Yeye (Mwenyezi Mungu) alikuiteni Waislamu tangu zamani, na katika hii (Qur'ani) pia, ili awe Mtume shahidi juu yenu, na nyinyi muwe mashahidi kwa watu. Basi shikeni Sala na toeni Zaka na shikamaneni na Mwenyezi Mungu. Yeye ndiye Mlinzi wenu, Mlinzi bora kabisa, na Msaidizi bora kabisa
Tafsiri yake
*78. Na wanieni katika Jihadi ya kunyanyua Neno la Mwenyezi Mungu na kutafuta radhi zake mpaka mwashinde maadui zenu na myashinde matamanio yenu. Kwani Yeye Subhanahu amekukaribisheni kwake, na amekuteueni muinusuru Dini yake, na amekujaalieni muwe Umma wa katikati. Wala hakukulazimisheni katika aliyo kuwekeeni Sharia lolote lenye mashaka juu yenu msilo weza kulichukua. Na amekufanyieni mepesi katika yanayo kuleteeni mashaka, na katika msiyo yaweza amekufanyieni ruhusa namna mbali mbali. Basi ishikeni Dini hii, kwani hii ndiyo Dini ya baba yenu Ibrahim katika misingi yake. Na Yeye Subhanahu ndiye aliye kuiteni Waislamu, (yaani Wanyenyekevu) katika Vitabu vya mbinguni vilivyo tangulia, na pia katika hii Qur'ani kwa ut'iifu wenu kwa yale aliyo kutungieni sharia. Basi kueni kama alivyo kuiteni Mwenyezi Mungu ili muwe mwisho wenu mnamshuhudia Mtume kama amekufikishieni ujumbe nanyi mkatenda aliyo kufikishieni, mpate kufanikiwa, na muwe mashahidi kwa kaumu zilizo tangulia kwa yaliyo kuja katika Qur'ani kwamba Mitume wao nao walifikisha ujumbe. Na ilivyo kuwa Mwenyezi Mungu amekuchagueni nyinyi khasa kuwa ni wat'iifu kwake, mkashika Sala kwa ukomo wa ukamilifu wake, basi ni waajibu wenu kulipa hayo kwa kumshukuru na kumt'ii, mshike Sala kwa utimilifu wake, na mwape Zaka wanao stahiki, na mumtegemee Mwenyezi Mungu katika mambo yenu yote, na mchukue kwake msaada, kwani Yeye ndiye Msaidizi wenu na ndiye wa kuwanusuru. Yeye ndiye Mbora wa ulinzi na Mbora wa kunusuru.
Kwa hiyo Mtume Muhammad a Nabii Mussa na yesu Babu yako alikuwa ni Mtume ibrahim aka Baba wa Mataifa yote 2 waarabu na wayahudi. Na Nabii ibrahimu alikuwa ni Muislam.
Ninakuuliza wewe swali Nionyeshe katika Biblia je ni wapi Nabii ibrahimu alikuwa ni Mkristo?
Shida una copy ma insha na kuyapest jibu kwa kifupiNinakuuliza wewe swali Nionyeshe katika Biblia je ni wapi Nabii ibrahimu alikuwa ni Mkristo?
Ninakuacha kama ulivyo huna hoja wewe Kitabu cha Allah ni Qur'an na kwenye hiyo Qur'an kuna Taurati ya mussa ,injili ya Bwana Yesu na Zaburi ya Mtume Daudi. Qur'an imekusanya vitabu vyote vya mitume aliwatuma Mwenyeezi Mungu kwa binadamu wake.Kazi kwako kuamini au kuto kuamini.Shida una copy ma insha na kuyapest jibu kwa kifupi
Biblia Ina character wake ambao sio hao wa Allah
Tumalize kwanza na character wa allah aliodai walikuwepo vitabu vyao vipo wapi maana Allah amesema alituma na vitabu
Waislamu wa kabla ya muhammad walikuwa hawana vitabu ila Allah amekuja kuvitoa kipindi Cha Muhammad?Ninakuacha kama ulivyo huna hoja wewe Kitabu cha Allah ni Qur'an na kwenye hiyo Qur'an kuna Taurati ya mussa ,injili ya Bwana Yesu na Zaburi ya Mtume Daudi. Qur'an imekusanya vitabu vyote vya mitume aliwatuma Mwenyeezi Mungu kwa binadamu wake.Kazi kwako kuamini au kuto kuamini.
Koran nzima Haina jina Yesu na Kwa kiaarabu jina la Yesu linajulikana , hii Yesu wewe umeitoa wapi?Ninakuacha kama ulivyo huna hoja wewe Kitabu cha Allah ni Qur'an na kwenye hiyo Qur'an kuna Taurati ya mussa ,injili ya Bwana Yesu na Zaburi ya Mtume Daudi. Qur'an imekusanya vitabu vyote vya mitume aliwatuma Mwenyeezi Mungu kwa binadamu wake.Kazi kwako kuamini au kuto kuamini.
Yesu sio jina halisiKoran nzima Haina jina Yesu na Kwa kiaarabu jina la Yesu linajulikana , hii Yesu wewe umeitoa wapi?
LIWEKE wewe hilo swali , mimi sijalionaJibu swali ulilouzwa sio unarukaruka tu
Kanisa limetoka wapi na uzi unahusu uislam.Ujanja janja Upo huko, kwenu, Akina masanja wamecheza komedi, wakaons hailipi leo hii nae mchungaji, anawapiga wenzie pesa.
Gwajima ameuza genge kule kwa Matias Kibaha, Leo hii anawapiga watu pesa.
Hivi unamjia mwingira, anawapiga watu pesa vya kutoshs, amewekeza sana kwenye ardhi, waumini wake huenda kuhiji shambani kwake kibaha mara mbili kwa mwaka, wakiwa huo yeye huwalisha na garama wanajilipia.
Niishie hapa ila ujanja ujanja, upo kanisani na wajinja wajinga wapo huko pia.
huo muongozo wala hautokani na vitabu babu zetu hawakujua kitabu chochote lakini walikua wanafunga ndoa,hawagomgi mama zao,kiba ni marufuku,kuzini ni marufufku ,hivyo vitabu vimekuja juzi tuJe simba kaumbiwa utashi kama mwanadamu, simba kawekewa moto, simba kuna sheria ya baya na zuri,!?
Simba mtoto kumpanda bimkubwa wake sio tatizo, simba kudhurumu chakula cha chui si tatizo, sisI wenye utashi ndio tumeelekezwa kwenye kitabu(muongozo) bwana fulani kugonga bila ya kuoa ni dhambi, umeumbiwa kugonga lakini fanya hivi na hivi, ebwana eeh, usifanye tendo fulani na aliyekuzaa hilo ni kosa, ukitaka kufanya jambo fulani fanya hivi.
ile ya matope hujaitaja umeikana kabisa umechagua hioKama unataka Kujua Quran inasemaje kuhusu jua uliza tukufundishe
Quran inasema jua linaogelea angani
Je! Angani Kuna matope? Jibu ni kwamba angani hakuna matope ila wewe akili zako ndio zimejaa matope
Quran 21:33.
Na Yeye ndiye aliye umba usiku na mchana na jua na mwezi, vyote katika anga vinaogelea.
kwahiyo alikua anakopi halafu anaediti kidogo,jamaa janjajanja sanaHii hoja ishajibiwa sana humu jukwaani,
Quran imekuja kama Upgrade ya Taurat, Injili, Zaburi, so si jambo la ajabu kukuta vifungu vinafanana.
Na ili mwenyez Mungu kuthibitisha hakuishia na stori za Injili/Biblia tu bali ameongezea saidi ya hapo.
Leo kuna story kibao ambazo zipo kwenye Biblia Quran imezikosoa ama kuongezea na elimu ya sasa imethibitisha Quran ipo sahihi.
Mifano kama
1. Quran haijamtaja Mfalme wa Egpty kipindi cha yusuf kama farao, Biblia inamtaja kama Farao, Elimu ya sasa inakubaliana na Quran Hakuwa Farao kipindi cha Yusuf sababu Farao ni Cheo cha kidini na Kipindi cha Yusuf mfalme alitoka Syria hakuwa akiabudu dini moja na Watu wa Egpty.
Hivyo unaona Quran haijacopy bali inajua inachokiongelea, kama Angekuwa mtume amecopy na yeye pia angesema Mfalme kipindi cha Yusuf ni pharaoh.
2. Quran inasema specific Kipindi cha Ibrahim waliabudu miungu 3 jua, Mwezi na Nyota ya asubuhi (Ishtar) wakati si Biblia wala Taurat inaongelea nyota ya asubuhi wao wanaongelea tu mwezi na jua, gunduzi za karibuni za magofu ya Babylon huko Iraq inaonesha waliabudu miungu 3.
Pia yapo mambo mengi sana ambayo Biblia inayasema ila yamekuwa proved sio sahihi ila Quran haijayasema, kama Muhammad angekua anacopy tu angeyakopy na Biblia na Quran zote zingekua sio sahihi, mfano Claim ya Bible dunia imeumbwa miaka 5000 iliopita.
Huwezi uka edit na kupredict vitu vinatokea maelfu ya miaka baadae, unapredict mamia ya vitu na vinatokea exactly hio sio nguvu ya kibinadamu.k
kwahiyo alikua anakopi halafu anaediti kidogo,jamaa janjajanja sana
Sio Fala msome vizuri ni mwenzio huyo.ππππ Fala sana we jamaa
Yea. Ni kweli... bikra zinasifiwa sana wakat hamna chochote[emoji706]Hehehe utamu upi kwa bikira zaidi ya usumbufu tu, dini imekaa kingono ngono adriz
Kama ni mzaha tupe yakini![emoji101][emoji101]Acha mzaha