Nature preserved! Only for nature lovers

Nature preserved! Only for nature lovers

Bado hatujajua maana..! Tulikata miti milion 2 ili tujenge bwawa la kufua umeme wa maji.. Imagine miti 2,000,000
Hapa nadhani tunaangalia faida ya miti 2000000 (for long term) iliyokatwa kama isingekatwa, na hasara yake (baada ya kukatwa), halafu tunaangalia faida ya bwawa la umeme baada ya kuanza kufanya kazi (kuzalisha umeme). Kama faida ya bwawa itakuwa kubwa kuliko miti iliyokatwa, basi maamuzi (decision) yaliofanywa yalikuwa sahihi.
 
Bado hatujajua maana..! Tulikata miti milion 2 ili tujenge bwawa la kufua umeme wa maji.. Imagine miti 2,000,000
Kwani matumizi ya mkaa, mbao, kuni na kilimo kila siku zinateketea hekta ngapi za miti? Kama umeshafika hapo kwenye Bwawa hakuna athari kubwa kama wanasiasa na wanaharakati walivyokuwa wanatishia, tunakata miti kila kukicha na hatulalamiki
 
Hapa nadhani tunaangalia faida ya miti 2000000 (for long term) iliyokatwa kama isingekatwa, na hasara yake (baada ya kukatwa), halafu tunaangalia faida ya bwawa la umeme baada ya kuanza kufanya kazi (kuzalisha umeme). Kama faida ya bwawa itakuwa kubwa kuliko miti iliyokatwa, basi maamuzi (decision) yaliofanywa yalikuwa sahihi.
Ni wazo zuri pia.. Kila kitu kina pande mbili... Hasi na chanya.. Inategemea mizani itaelemea wapi, na nyakati ndio hutoa jibu sahihi na la kweli
 
Kwani matumizi ya mkaa, mbao, kuni na kilimo kila siku zinateketea hekta ngapi za miti? Kama umeshafika hapo kwenye Bwawa hakuna athari kubwa kama wanasiasa na wanaharakati walivyokuwa wanatishia, tunakata miti kila kukicha na hatulalamiki
Makosa mawili hayatengenezi moja sahihi...
Ni wazo zuri pia.. Kila kitu kina pande mbili... Hasi na chanya.. Inategemea mizani itaelemea wapi, na nyakati ndio hutoa jibu sahihi na la kweli
 
Makosa mawili hayatengenezi moja sahihi...
Ni wazo zuri pia.. Kila kitu kina pande mbili... Hasi na chanya.. Inategemea mizani itaelemea wapi, na nyakati ndio hutoa jibu sahihi na la kweli
Kama tunahitaji nishati ya umeme na tukakata miti ili tuipate sioni tatizo, suala ambalo watu wengi hawaelewi ni kubwa wapiga dili wa umeme wa mafuta na gesi walijua mitambo yao itadoda na dili zitaondoka ndiyo hao waliokuwa wanapaza sauti ili ionekane ni uharibu mkubwa, miaka 10 iliyopita kuna mikoa ilikuwa na mapori ya miti (Katavi, Tabora, Kigoma, Geita, Rukwa, Mbeya, Songwe, Ruvuma, Morogoro) nenda sasa hivi uone uharibifu wa mazingira kwa kisingizio cha kulima, kufuga, matumizi ya nishati ya mkaa miti imeteketea na tuko kimya hakuna suluhisho na inazidi kuteketea watu wako kimya
 
Kama tunahitaji nishati ya umeme na tukakata miti ili tuipate sioni tatizo, suala ambalo watu wengi hawaelewi ni kubwa wapiga dili wa umeme wa mafuta na gesi walijua mitambo yao itadoda na dili zitaondoka ndiyo hao waliokuwa wanapaza sauti ili ionekane ni uharibu mkubwa, miaka 10 iliyopita kuna mikoa ilikuwa na mapori ya miti (Katavi, Tabora, Kigoma, Geita, Rukwa, Mbeya, Songwe, Ruvuma, Morogoro) nenda sasa hivi uone uharibifu wa mazingira kwa kisingizio cha kulima, kufuga, matumizi ya nishati ya mkaa miti imeteketea na tuko kimya hakuna suluhisho na inazidi kuteketea watu wako kimya
Na ndio maana nikasema makosa mawili hayatengenezi moja sahihi.. Ukataji miti kwa kisingizio chochote kile, iwe ujenzi, mkaa, umeme nk HAUKUBALIKI kwa viwango vyovyote vile.. Wenzetu huko nje wanalia sasa
Tulikuwa na kampeni nzuri sana ya KATA MTI PANDA MITI, Mashuleni tulikuwa na mashindano ya kupanda miti, NGO za kuhamasisha upandaji wa miti na utunzaji wa mazingira zilikuwepo..! Haya yote leo hayapo! Tulikosea wapi kama Taifa?
Screenshot_20211221-071157.jpg
 
Na ndio maana nikasema makosa mawili hayatengenezi moja sahihi.. Ukataji miti kwa kisingizio chochote kile, iwe ujenzi, mkaa, umeme nk HAUKUBALIKI kwa viwango vyovyote vile.. Wenzetu huko nje wanalia sasa
Tulikuwa na kampeni nzuri sana ya KATA MTI PANDA MITI, Mashuleni tulikuwa na mashindano ya kupanda miti, NGO za kuhamasisha upandaji wa miti na utunzaji wa mazingira zilikuwepo..! Haya yote leo hayapo! Tulikosea wapi kama Taifa?View attachment 2051977
Hiyo kampeni sikuipenda nakumbuka imeanza tangu mwaka 1990 au 91 ila wao walileta acacia trees hivi hiyo miti ya miba unaipata hafu ikupe faida gani? Nazani walete miti yenye faida ili watu wapande, na jambo lingine tupunguze mifugo na wananchi waache kuvamia maeneo ya misitu
 
Hiyo kampeni sikuipenda nakumbuka imeanza tangu mwaka 1990 au 91 ila wao walileta acacia trees hivi hiyo miti ya miba unaipata hafu ikupe faida gani? Nazani walete miti yenye faida ili watu wapande, na jambo lingine tupunguze mifugo na wananchi waache kuvamia maeneo ya misitu
Wazo la kuletewa si zuri sana ni vema tukawa na tafakuri kubwa kwenye hili. Kipi tupokee kipi tuache.. Miti tupande yetu wenyewe ile yenye faida kwetu na mazingira yetu. Zero grazing ipewe kipaumbele.. Tuna wataalam wakutosha wa maliasili,kilimo , mifugo na mazingira.. Tunawahitaji
 
Back
Top Bottom