Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana, ngumu sana kumuuzia mtanzania, fikiri mti uliouhangaikia kwa zaidi ya miaka 15 utauza kwa shs ngapi? Fanya kwa hobby tu, umri wako miaka 40 unapanda mti + 15=55! Utakayemuuzia awe na nyumba ya kistaarabu wanaojua faida ya mapambo vinginevyo utakuta wametupa jalalani! Utapiga nyumba nzima mpaka na paka nao utawapiga.Sorry una ambayo iko tayari? Unauza?
Chungu kifupi chenye mdomo mpana.
vinginevyo utakuta wametupa jalalani! Utapiga nyumba nzima mpaka na paka nao utawapiga.[emoji23]Hapana, ngumu sana kumuuzia mtanzania, fikiri mti uliouhangaikia kwa zaidi ya miaka 15 utauza kwa shs ngapi? Fanya kwa hobby tu, umri wako miaka 40 unapanda mti + 15=55! Utakayemuuzia awe na nyumba ya kistaarabu wanaojua faida ya mapambo vinginevyo utakuta wametupa jalalani! Utapiga nyumba nzima mpaka na paka nao utawapiga.
Chungu kifupi chenye mdomo mpana.
Mkuu Mshana PM yako imefungwa, naomba uniPM kuna jambo tulonge.