Nature preserved! Only for nature lovers

Nature preserved! Only for nature lovers

FB_IMG_1640176568221.jpg
FB_IMG_1640176614537.jpg
 
Sorry una ambayo iko tayari? Unauza?
Hapana, ngumu sana kumuuzia mtanzania, fikiri mti uliouhangaikia kwa zaidi ya miaka 15 utauza kwa shs ngapi? Fanya kwa hobby tu, umri wako miaka 40 unapanda mti + 15=55! Utakayemuuzia awe na nyumba ya kistaarabu wanaojua faida ya mapambo vinginevyo utakuta wametupa jalalani! Utapiga nyumba nzima mpaka na paka nao utawapiga.
 
Hapana, ngumu sana kumuuzia mtanzania, fikiri mti uliouhangaikia kwa zaidi ya miaka 15 utauza kwa shs ngapi? Fanya kwa hobby tu, umri wako miaka 40 unapanda mti + 15=55! Utakayemuuzia awe na nyumba ya kistaarabu wanaojua faida ya mapambo vinginevyo utakuta wametupa jalalani! Utapiga nyumba nzima mpaka na paka nao utawapiga.
vinginevyo utakuta wametupa jalalani! Utapiga nyumba nzima mpaka na paka nao utawapiga.[emoji23]
 
Back
Top Bottom