Nauchukia mwezi February, mwezi wa birthday ya mke wangu, mwezi wa birthday ya CCM, mwezi wa Valentine's Day

Nauchukia mwezi February, mwezi wa birthday ya mke wangu, mwezi wa birthday ya CCM, mwezi wa Valentine's Day

Heci

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2016
Posts
3,591
Reaction score
6,114
Huu mwezi sipendi kabisa. Nimetoka kulipa ada ya watoto watatu,mwezi uliopita January.

Inaingia February inaanza na siku ya CCM, mkosi namba Moja tarehe 05/ Feb.

Inafuata birthday ya mama watoto, she is very much demanding, yaani kwake birthday yake ni kama kamungu kake kadogo, utake usitake utakereka tu, eidha uwe na Hela au usiwe nazo, nakuapia mbele ya miungu yote kwamba utakereka tu.


Inakuja St. Valentine's Day, utake usitake utakasirika, ni lazima umnunulie nguo mpya za sikukuu, hizi ni tofauti na za mwaka Jana.

Pia ni lazima umtoe out, umpeleke sehemu classic kwa ajili ya candle light dinner, table for two.

Umpeleke akacheze classic jazz, au wakati mwingine umpeleke akacheze salsa na Latinos, dah kichwa kinauma.

Ukimwambia tubane matumizi, anakujibu kwamba yeye ana siku mbili tu za kufurahia maisha yake, birthday yake na Valentine's day.

Wenye ndoa tuna changamoto sana. Mke wako ni changamoto Yako, watoto wako ni changamoto Yako, ndugu zako ni changamoto Yako, ndugu wa mkeo ni changamoto Yako, yaani full machangamoto.

Kazini changamoto ni zako, mitaani, yaani kila sehemu pasua kichwa.

February hebu Isha mapema aisee.
 
Huu mwezi sipendi kabisa. Nimetoka kulipa ada ya watoto watatu,mwezi uliopita January.

Inaingia February inaanza na siku ya CCM, mkosi namba Moja tarehe 05/ Feb.

Inafuata birthday ya mama watoto, she is very much demanding, yaani kwake birthday yake ni kama kamungu kake kadogo, utake usitake utakereka tu, eidha uwe na Hela au usiwe nazo, nakuapia mbele ya miungu yote kwamba utakereka tu.


Inakuja St. Valentine's Day, utake usitake utakasirika, ni lazima umnunulie nguo mpya za sikukuu, hizi ni tofauti na za mwaka Jana.

Pia ni lazima umtoe out, umpeleke sehemu classic kwa ajili ya candle light dinner, table for two.

Umpeleke akacheze classic jazz, au wakati mwingine umpeleke akacheze salsa na Latinos, dah kichwa kinauma.

Ukimwambia tubane matumizi, anakujibu kwamba yeye ana siku mbili tu za kufurahia maisha yake, birthday yake na Valentine's day.

Wenye ndoa tuna changamoto sana. Mke wako ni changamoto Yako, watoto wako ni changamoto Yako, ndugu zako ni changamoto Yako, ndugu wa mkeo ni changamoto Yako, yaani full machangamoto.

Kazini changamoto ni zako, mitaani, yaani kila sehemu pasua kichwa.

February hebu Isha mapema aisee.
Mkaushie, mwambie huna hela. Ikishindikana sana anza routes za chooni frequently. Mwambie una tumbo la kuhara, hiyo itasaidia mtoko usiwepo.
 
Huu mwezi sipendi kabisa. Nimetoka kulipa ada ya watoto watatu,mwezi uliopita January.

Inaingia February inaanza na siku ya CCM, mkosi namba Moja tarehe 05/ Feb.

Inafuata birthday ya mama watoto, she is very much demanding, yaani kwake birthday yake ni kama kamungu kake kadogo, utake usitake utakereka tu, eidha uwe na Hela au usiwe nazo, nakuapia mbele ya miungu yote kwamba utakereka tu.


Inakuja St. Valentine's Day, utake usitake utakasirika, ni lazima umnunulie nguo mpya za sikukuu, hizi ni tofauti na za mwaka Jana.

Pia ni lazima umtoe out, umpeleke sehemu classic kwa ajili ya candle light dinner, table for two.

Umpeleke akacheze classic jazz, au wakati mwingine umpeleke akacheze salsa na Latinos, dah kichwa kinauma.

Ukimwambia tubane matumizi, anakujibu kwamba yeye ana siku mbili tu za kufurahia maisha yake, birthday yake na Valentine's day.

Wenye ndoa tuna changamoto sana. Mke wako ni changamoto Yako, watoto wako ni changamoto Yako, ndugu zako ni changamoto Yako, ndugu wa mkeo ni changamoto Yako, yaani full machangamoto.

Kazini changamoto ni zako, mitaani, yaani kila sehemu pasua kichwa.

February hebu Isha mapema aisee.
Ni birthday ya Saa100 pia
 
Inafuata birthday ya mama watoto, she is very much demanding, yaani kwake birthday yake ni kama kamungu kake kadogo, utake usitake utakereka tu, eidha uwe na Hela au usiwe nazo, nakuapia mbele ya miungu yote kwamba utakereka tu.


Inakuja St. Valentine's Day, utake usitake utakasirika, ni lazima umnunulie nguo mpya za sikukuu, hizi ni tofauti na za mwaka Jana.

Pia ni lazima umtoe out, umpeleke sehemu classic kwa ajili ya candle light dinner, table for two.

Umpeleke akacheze classic jazz, au wakati mwingine umpeleke akacheze salsa na Latinos, dah kichwa kinauma.

Ukimwambia tubane matumizi, anakujibu kwamba yeye ana siku mbili tu za kufurahia maisha yake, birthday yake na Valentine's day.
Unamuendekeza huyo.
 
Hizo pumba zako unamwambia nani kmmmk zako
FB_IMG_17387515129136872.jpg
 
Huu mwezi sipendi kabisa. Nimetoka kulipa ada ya watoto watatu,mwezi uliopita January.

Inaingia February inaanza na siku ya CCM, mkosi namba Moja tarehe 05/ Feb.

Inafuata birthday ya mama watoto, she is very much demanding, yaani kwake birthday yake ni kama kamungu kake kadogo, utake usitake utakereka tu, eidha uwe na Hela au usiwe nazo, nakuapia mbele ya miungu yote kwamba utakereka tu.


Inakuja St. Valentine's Day, utake usitake utakasirika, ni lazima umnunulie nguo mpya za sikukuu, hizi ni tofauti na za mwaka Jana.

Pia ni lazima umtoe out, umpeleke sehemu classic kwa ajili ya candle light dinner, table for two.

Umpeleke akacheze classic jazz, au wakati mwingine umpeleke akacheze salsa na Latinos, dah kichwa kinauma.

Ukimwambia tubane matumizi, anakujibu kwamba yeye ana siku mbili tu za kufurahia maisha yake, birthday yake na Valentine's day.

Wenye ndoa tuna changamoto sana. Mke wako ni changamoto Yako, watoto wako ni changamoto Yako, ndugu zako ni changamoto Yako, ndugu wa mkeo ni changamoto Yako, yaani full machangamoto.

Kazini changamoto ni zako, mitaani, yaani kila sehemu pasua kichwa.

February hebu Isha mapema aisee.
ndio maana wanao kataa ndoa wana hoja.
kwa hio ukishamfanyia hayo yote yeye anakupa nini?
 
Back
Top Bottom