Nauchukia mwezi February, mwezi wa birthday ya mke wangu, mwezi wa birthday ya CCM, mwezi wa Valentine's Day

Nauchukia mwezi February, mwezi wa birthday ya mke wangu, mwezi wa birthday ya CCM, mwezi wa Valentine's Day

Eeeh ndio sampuli hizi
Na ukizichunguza sana huwa na sifa hizi;

1. Wametoka familia maskini kupindukia.

2. Wanapenda ku fake maisha. Nina hakika mke wa jamaa anadai yote hayo ili kujaza pics insta aonekane 'bosiledi'.

3. Ni malaya wa kutupwa, ili kuweza kukidhi maisha yao fake.

4. Kubwa na la muhimu, huwa wana matatizo ya akili ukikaa nao. Hawapo sawa mentally.


View: https://youtu.be/ik8WTbUSe2Q?si=AjiKLd-EYqNTZs6_
 
Makelele yote haya ni mtoko mmoja tu na kasherehe kamoja tu kwa mwaka??? Jipange tu wala hutaona kero. Wenzio wana mitoko kila sikukuu, kila harusi ya jamii mnayofahamiana nayo, kila birthday ya mtoto mke anaomba mtoke mkajipongeze mlizaa ... hapo ndio utajua maana ya kuwa mwanamume 😀 😀 matesoooo matetesooo kuhangaikaaa
 
Sasa aliyekutuma kuoa slay Queen ni nani?mwanamke gani hana huruma na mwenza wake?rubbish
🐦 Birds of the same feathers 😁 flying together. Mimi ndoa ingekua isha vunjika.
Siku akikosa pesa za ku fullfil demand zake au ulemavu wa Maisha ndipo ataijua true colour ya huyo mwanamke .
Aishi kwa tahadhali nae Sana #YOLO
 
🐦 Birds of the same feathers 😁 flying together. Mimi ndoa ingekua isha vunjika.
Siku akikosa pesa za ku fullfil demand zake au ulemavu wa Maisha ndipo ataijua true colour ya huyo mwanamke .
Aishi kwa tahadhali nae Sana #YOLO
Nimeamini hapo kwenye same feathers,mume mwingine kwanza atakutia makofi uache upumbavu....eti nguo ya valentine,seriously?
 
Huu mwezi sipendi kabisa. Nimetoka kulipa ada ya watoto watatu,mwezi uliopita January.

Inaingia February inaanza na siku ya CCM, mkosi namba Moja tarehe 05/ Feb.

Inafuata birthday ya mama watoto, she is very much demanding, yaani kwake birthday yake ni kama kamungu kake kadogo, utake usitake utakereka tu, eidha uwe na Hela au usiwe nazo, nakuapia mbele ya miungu yote kwamba utakereka tu.


Inakuja St. Valentine's Day, utake usitake utakasirika, ni lazima umnunulie nguo mpya za sikukuu, hizi ni tofauti na za mwaka Jana.

Pia ni lazima umtoe out, umpeleke sehemu classic kwa ajili ya candle light dinner, table for two.

Umpeleke akacheze classic jazz, au wakati mwingine umpeleke akacheze salsa na Latinos, dah kichwa kinauma.

Ukimwambia tubane matumizi, anakujibu kwamba yeye ana siku mbili tu za kufurahia maisha yake, birthday yake na Valentine's day.

Wenye ndoa tuna changamoto sana. Mke wako ni changamoto Yako, watoto wako ni changamoto Yako, ndugu zako ni changamoto Yako, ndugu wa mkeo ni changamoto Yako, yaani full machangamoto.

Kazini changamoto ni zako, mitaani, yaani kila sehemu pasua kichwa.

February hebu Isha mapema aisee.
Huu mwezi sipendi kabisa. Nimetoka kulipa ada ya watoto watatu,mwezi uliopita January.

Inaingia February inaanza na siku ya CCM, mkosi namba Moja tarehe 05/ Feb.

Inafuata birthday ya mama watoto, she is very much demanding, yaani kwake birthday yake ni kama kamungu kake kadogo, utake usitake utakereka tu, eidha uwe na Hela au usiwe nazo, nakuapia mbele ya miungu yote kwamba utakereka tu.


Inakuja St. Valentine's Day, utake usitake utakasirika, ni lazima umnunulie nguo mpya za sikukuu, hizi ni tofauti na za mwaka Jana.

Pia ni lazima umtoe out, umpeleke sehemu classic kwa ajili ya candle light dinner, table for two.

Umpeleke akacheze classic jazz, au wakati mwingine umpeleke akacheze salsa na Latinos, dah kichwa kinauma.

Ukimwambia tubane matumizi, anakujibu kwamba yeye ana siku mbili tu za kufurahia maisha yake, birthday yake na Valentine's day.

Wenye ndoa tuna changamoto sana. Mke wako ni changamoto Yako, watoto wako ni changamoto Yako, ndugu zako ni changamoto Yako, ndugu wa mkeo ni changamoto Yako, yaani full machangamoto.

Kazini changamoto ni zako, mitaani, yaani kila sehemu pasua kichwa.

February hebu Isha mapema aisee.

pole kwa yote.
1. kuhusu ada, peleka watoto shule ambazo utamudu gharama zake pasi na stress nyingi.
2. CCM wakatae kutokea moyoni. elimisha jamii yako pia inayokuzunguka, waikatae kwa moyo na kwa mataendo
Huu mwezi sipendi kabisa. Nimetoka kulipa ada ya watoto watatu,mwezi uliopita January.

Inaingia February inaanza na siku ya CCM, mkosi namba Moja tarehe 05/ Feb.

Inafuata birthday ya mama watoto, she is very much demanding, yaani kwake birthday yake ni kama kamungu kake kadogo, utake usitake utakereka tu, eidha uwe na Hela au usiwe nazo, nakuapia mbele ya miungu yote kwamba utakereka tu.


Inakuja St. Valentine's Day, utake usitake utakasirika, ni lazima umnunulie nguo mpya za sikukuu, hizi ni tofauti na za mwaka Jana.

Pia ni lazima umtoe out, umpeleke sehemu classic kwa ajili ya candle light dinner, table for two.

Umpeleke akacheze classic jazz, au wakati mwingine umpeleke akacheze salsa na Latinos, dah kichwa kinauma.

Ukimwambia tubane matumizi, anakujibu kwamba yeye ana siku mbili tu za kufurahia maisha yake, birthday yake na Valentine's day.

Wenye ndoa tuna changamoto sana. Mke wako ni changamoto Yako, watoto wako ni changamoto Yako, ndugu zako ni changamoto Yako, ndugu wa mkeo ni changamoto Yako, yaani full machangamoto.

Kazini changamoto ni zako, mitaani, yaani kila sehemu pasua kichwa.

February hebu Isha mapema aisee.
Huu mwezi sipendi kabisa. Nimetoka kulipa ada ya watoto watatu,mwezi uliopita January.

Inaingia February inaanza na siku ya CCM, mkosi namba Moja tarehe 05/ Feb.

Inafuata birthday ya mama watoto, she is very much demanding, yaani kwake birthday yake ni kama kamungu kake kadogo, utake usitake utakereka tu, eidha uwe na Hela au usiwe nazo, nakuapia mbele ya miungu yote kwamba utakereka tu.


Inakuja St. Valentine's Day, utake usitake utakasirika, ni lazima umnunulie nguo mpya za sikukuu, hizi ni tofauti na za mwaka Jana.

Pia ni lazima umtoe out, umpeleke sehemu classic kwa ajili ya candle light dinner, table for two.

Umpeleke akacheze classic jazz, au wakati mwingine umpeleke akacheze salsa na Latinos, dah kichwa kinauma.

Ukimwambia tubane matumizi, anakujibu kwamba yeye ana siku mbili tu za kufurahia maisha yake, birthday yake na Valentine's day.

Wenye ndoa tuna changamoto sana. Mke wako ni changamoto Yako, watoto wako ni changamoto Yako, ndugu zako ni changamoto Yako, ndugu wa mkeo ni changamoto Yako, yaani full machangamoto.

Kazini changamoto ni zako, mitaani, yaani kila sehemu pasua kichwa.

February hebu Isha mapema aisee.

watoto wapeleke shule za kawaida,
CCM wafute moyoni na akilini na uwaambie wengine hivyo
mdhibiti mkeo, awe anasikiliza kutoka kwako. kaa kwenye nafasi yako. wewe ni kichwa cha familia
 
Kiufupi hamna ndoa hapo. Tupo kataa ndoa tunakusubiri muachane
 
Back
Top Bottom