Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Yesu awasaidie tu😂😂Na mda wa kutoka kameazima kuanzia pochi,. Viatu hadi wigi
Ila wanaume wana kazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yesu awasaidie tu😂😂Na mda wa kutoka kameazima kuanzia pochi,. Viatu hadi wigi
Ila wanaume wana kazi
Nawaza candle light dinner na table for two ukiwa umekereka ndani ya moyo inakuwaje🤔Huu mwezi sipendi kabisa. Nimetoka kulipa ada ya watoto watatu,mwezi uliopita January.
Inaingia February inaanza na siku ya CCM, mkosi namba Moja tarehe 05/ Feb.
Inafuata birthday ya mama watoto, she is very much demanding, yaani kwake birthday yake ni kama kamungu kake kadogo, utake usitake utakereka tu, eidha uwe na Hela au usiwe nazo, nakuapia mbele ya miungu yote kwamba utakereka tu.
Inakuja St. Valentine's Day, utake usitake utakasirika, ni lazima umnunulie nguo mpya za sikukuu, hizi ni tofauti na za mwaka Jana.
Pia ni lazima umtoe out, umpeleke sehemu classic kwa ajili ya candle light dinner, table for two.
Umpeleke akacheze classic jazz, au wakati mwingine umpeleke akacheze salsa na Latinos, dah kichwa kinauma.
Ukimwambia tubane matumizi, anakujibu kwamba yeye ana siku mbili tu za kufurahia maisha yake, birthday yake na Valentine's day.
Wenye ndoa tuna changamoto sana. Mke wako ni changamoto Yako, watoto wako ni changamoto Yako, ndugu zako ni changamoto Yako, ndugu wa mkeo ni changamoto Yako, yaani full machangamoto.
Kazini changamoto ni zako, mitaani, yaani kila sehemu pasua kichwa.
February hebu Isha mapema aisee.
😆😆😆Ukifilisika ndio utajua kua mkeo hakupendi..!
Ina kuaje kuajeMbaya sana hiyo
DuhHizo pumba zako unamwambia nani kmmmk zako
View attachment 3226508
CCM ni adui namba moja wa Tanganyikapole kwa yote.
1. kuhusu ada, peleka watoto shule ambazo utamudu gharama zake pasi na stress nyingi.
2. CCM wakatae kutokea moyoni. elimisha jamii yako pia inayokuzunguka, waikatae kwa moyo na kwa mataendo
watoto wapeleke shule za kawaida,
CCM wafute moyoni na akilini na uwaambie wengine hivyo
mdhibiti mkeo, awe anasikiliza kutoka kwako. kaa kwenye nafasi yako. wewe ni kichwa cha familia
Ila ww binti daah nakupenda bureMtu anaamka alfajiri kwenda kutafuta hela halafu mwanamke anazitumia kwenye vitu ambavyo havina maana, hamna mapenzi hapo.
Asante mkuu!Ila ww binti daah nakupenda bure
Mwanaume wako ana bahati sana aisee kuna vitu vya kijinga sana wadada wanavipa kipaumbeleAsante mkuu!
Kumbe hii ya kujifanya unaumwa kukwepa birthday ipo sana, nilifikiri ni huyu tu mzee wa matukio wangu 🤣🤣🤣🤣Mkaushie, mwambie huna hela. Ikishindikana sana anza routes za chooni frequently. Mwambie una tumbo la kuhara, hiyo itasaidia mtoko usiwepo.
Dah! Hayo maneno tu nimeyatupa. Hivyo vitu vya kijinga mimi mwenyewe navipa kipaumbele😅Mwanaume wako ana bahati sana aisee kuna vitu vya kijinga sana wadada wanavipa kipaumbele
Hongera sanaJuzi ilikua birthday yangu tareh 11 lakin sijaizingatia zaid ya kushukuru mungu maisha yaendelee
unanikana tenaDah! Hayo maneno tu nimeyatupa. Hivyo vitu vya kijinga mimi mwenyewe navipa kipaumbele😅
Aminapole kwa yote.
1. kuhusu ada, peleka watoto shule ambazo utamudu gharama zake pasi na stress nyingi.
2. CCM wakatae kutokea moyoni. elimisha jamii yako pia inayokuzunguka, waikatae kwa moyo na kwa mataendo
watoto wapeleke shule za kawaida,
CCM wafute moyoni na akilini na uwaambie wengine hivyo
mdhibiti mkeo, awe anasikiliza kutoka kwako. kaa kwenye nafasi yako. wewe ni kichwa cha familia
Kweli.Ukifilisika ndio utajua kua mkeo hakupendi..!