Na ukizichunguza sana huwa na sifa hizi;Eeeh ndio sampuli hizi
🐦 Birds of the same feathers 😁 flying together. Mimi ndoa ingekua isha vunjika.Sasa aliyekutuma kuoa slay Queen ni nani?mwanamke gani hana huruma na mwenza wake?rubbish
Nimeamini hapo kwenye same feathers,mume mwingine kwanza atakutia makofi uache upumbavu....eti nguo ya valentine,seriously?🐦 Birds of the same feathers 😁 flying together. Mimi ndoa ingekua isha vunjika.
Siku akikosa pesa za ku fullfil demand zake au ulemavu wa Maisha ndipo ataijua true colour ya huyo mwanamke .
Aishi kwa tahadhali nae Sana #YOLO
Mtu anaamka alfajiri kwenda kutafuta hela halafu mwanamke anazitumia kwenye vitu ambavyo havina maana, hamna mapenzi hapo.Cc.
Isomwe na wanaume wotee
Inauma SanaaMtu anaamka alfajiri kwenda kutafuta hela halafu mwanamke anazitumia kwenye vitu ambavyo havina maana, hamna mapenzi hapo.
Au ndio mambo ya limbwata 🏃Nimeamini hapo kwenye same feathers,mume mwingine kwanza atakutia makofi uache upumbavu....eti nguo ya valentine,seriously?
Mbunyendio maana wanao kataa ndoa wana hoja.
kwa hio ukishamfanyia hayo yote yeye anakupa nini?
Au ndiyo shuntama lenyeweAu ndio mambo ya limbwata 🏃
Huu mwezi sipendi kabisa. Nimetoka kulipa ada ya watoto watatu,mwezi uliopita January.
Inaingia February inaanza na siku ya CCM, mkosi namba Moja tarehe 05/ Feb.
Inafuata birthday ya mama watoto, she is very much demanding, yaani kwake birthday yake ni kama kamungu kake kadogo, utake usitake utakereka tu, eidha uwe na Hela au usiwe nazo, nakuapia mbele ya miungu yote kwamba utakereka tu.
Inakuja St. Valentine's Day, utake usitake utakasirika, ni lazima umnunulie nguo mpya za sikukuu, hizi ni tofauti na za mwaka Jana.
Pia ni lazima umtoe out, umpeleke sehemu classic kwa ajili ya candle light dinner, table for two.
Umpeleke akacheze classic jazz, au wakati mwingine umpeleke akacheze salsa na Latinos, dah kichwa kinauma.
Ukimwambia tubane matumizi, anakujibu kwamba yeye ana siku mbili tu za kufurahia maisha yake, birthday yake na Valentine's day.
Wenye ndoa tuna changamoto sana. Mke wako ni changamoto Yako, watoto wako ni changamoto Yako, ndugu zako ni changamoto Yako, ndugu wa mkeo ni changamoto Yako, yaani full machangamoto.
Kazini changamoto ni zako, mitaani, yaani kila sehemu pasua kichwa.
February hebu Isha mapema aisee.
Huu mwezi sipendi kabisa. Nimetoka kulipa ada ya watoto watatu,mwezi uliopita January.
Inaingia February inaanza na siku ya CCM, mkosi namba Moja tarehe 05/ Feb.
Inafuata birthday ya mama watoto, she is very much demanding, yaani kwake birthday yake ni kama kamungu kake kadogo, utake usitake utakereka tu, eidha uwe na Hela au usiwe nazo, nakuapia mbele ya miungu yote kwamba utakereka tu.
Inakuja St. Valentine's Day, utake usitake utakasirika, ni lazima umnunulie nguo mpya za sikukuu, hizi ni tofauti na za mwaka Jana.
Pia ni lazima umtoe out, umpeleke sehemu classic kwa ajili ya candle light dinner, table for two.
Umpeleke akacheze classic jazz, au wakati mwingine umpeleke akacheze salsa na Latinos, dah kichwa kinauma.
Ukimwambia tubane matumizi, anakujibu kwamba yeye ana siku mbili tu za kufurahia maisha yake, birthday yake na Valentine's day.
Wenye ndoa tuna changamoto sana. Mke wako ni changamoto Yako, watoto wako ni changamoto Yako, ndugu zako ni changamoto Yako, ndugu wa mkeo ni changamoto Yako, yaani full machangamoto.
Kazini changamoto ni zako, mitaani, yaani kila sehemu pasua kichwa.
February hebu Isha mapema aisee.
Huu mwezi sipendi kabisa. Nimetoka kulipa ada ya watoto watatu,mwezi uliopita January.
Inaingia February inaanza na siku ya CCM, mkosi namba Moja tarehe 05/ Feb.
Inafuata birthday ya mama watoto, she is very much demanding, yaani kwake birthday yake ni kama kamungu kake kadogo, utake usitake utakereka tu, eidha uwe na Hela au usiwe nazo, nakuapia mbele ya miungu yote kwamba utakereka tu.
Inakuja St. Valentine's Day, utake usitake utakasirika, ni lazima umnunulie nguo mpya za sikukuu, hizi ni tofauti na za mwaka Jana.
Pia ni lazima umtoe out, umpeleke sehemu classic kwa ajili ya candle light dinner, table for two.
Umpeleke akacheze classic jazz, au wakati mwingine umpeleke akacheze salsa na Latinos, dah kichwa kinauma.
Ukimwambia tubane matumizi, anakujibu kwamba yeye ana siku mbili tu za kufurahia maisha yake, birthday yake na Valentine's day.
Wenye ndoa tuna changamoto sana. Mke wako ni changamoto Yako, watoto wako ni changamoto Yako, ndugu zako ni changamoto Yako, ndugu wa mkeo ni changamoto Yako, yaani full machangamoto.
Kazini changamoto ni zako, mitaani, yaani kila sehemu pasua kichwa.
February hebu Isha mapema aisee.
Huu mwezi sipendi kabisa. Nimetoka kulipa ada ya watoto watatu,mwezi uliopita January.
Inaingia February inaanza na siku ya CCM, mkosi namba Moja tarehe 05/ Feb.
Inafuata birthday ya mama watoto, she is very much demanding, yaani kwake birthday yake ni kama kamungu kake kadogo, utake usitake utakereka tu, eidha uwe na Hela au usiwe nazo, nakuapia mbele ya miungu yote kwamba utakereka tu.
Inakuja St. Valentine's Day, utake usitake utakasirika, ni lazima umnunulie nguo mpya za sikukuu, hizi ni tofauti na za mwaka Jana.
Pia ni lazima umtoe out, umpeleke sehemu classic kwa ajili ya candle light dinner, table for two.
Umpeleke akacheze classic jazz, au wakati mwingine umpeleke akacheze salsa na Latinos, dah kichwa kinauma.
Ukimwambia tubane matumizi, anakujibu kwamba yeye ana siku mbili tu za kufurahia maisha yake, birthday yake na Valentine's day.
Wenye ndoa tuna changamoto sana. Mke wako ni changamoto Yako, watoto wako ni changamoto Yako, ndugu zako ni changamoto Yako, ndugu wa mkeo ni changamoto Yako, yaani full machangamoto.
Kazini changamoto ni zako, mitaani, yaani kila sehemu pasua kichwa.
February hebu Isha mapema aisee.
Ujinga tu😅Au ndio mambo ya limbwata 🏃
Kitu Cha bukoba icho 😊☺️Au ndiyo shuntama lenyewe
Wewe una matatizo ya akiliHizo pumba zako unamwambia nani kmmmk zako
View attachment 3226508
Mbaya sana hiyoKitu Cha bukoba icho 😊☺️
Eti sio unakunywa kipombe cha Laki3 uwaajiri watu kazi😂😂,.Eeeh ndio sampuli hizi
Aibu nimeona mimi,. Kanavyojieleza sasa😄😃,.
Hapo ukute hata chumba cha kupanga hana analala kwa mashosti😂Eti sio unakunywa kipombe cha Laki3 uwaajiri watu kazi😂😂,.
Na kawigi kake
Na mda wa kutoka kameazima kuanzia pochi,. Viatu hadi wigiHapo ukute hata chumba cha kupanga hana analala kwa mashosti😂