Naufananisha Uwanja wa Ndege wa Chato na Ofisi ya Spika ya Urambo

Naufananisha Uwanja wa Ndege wa Chato na Ofisi ya Spika ya Urambo

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,137
Reaction score
17,908
Hata kama ni 'Mtu kwao',hii sasa imezidi. Aliyekuwa Spika wa Bunge la Tisa,Hayati Samwel Sitta alianzisha na kusimamia ujenzi wa Ofisi ya Spika huko Urambo,Tabora. Nyumbani na jimboni kwake. Ofisi ikajengwa.

Sasa unajengwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa huko Chato,Geita. Nyumbani na lililokuwa jimbo la Rais na Mwenyekiti wetu wa CCM,Dr. John Pombe Magufuli. Uwanja umeshaanza kujengwa na ujenzi umeshika kasi.

Ofisi ya Spika kule Urambo,kama ulivyo Uwanja wa Ndege wa Chato,ilijengewa hoja na kutetewa na Wabunge wetu wa CCM. Kwasasa,haijulikani Ofisi ile ya Urambo inatumikaje na inatumika na nani. Labda Spika Ndugai huwa anaitumia.

Mambo ya Urambo yaweza kujirudia Chato. Hii ndiyo courtesy begins at home? Urambo=Chato?

Bunduki za nini tena jamani katika kujenga hoja!?

Mzee Tupatupa wa Lumumba(kwasasa Kibiti,Pwani)
 
KWA AINA YA UWANJA UNAOJENGWA PALE,NGOJA NITAFUTE NAULI NIKATEMBELEE CHATO KUONA FURSA ZA UWEKEZAJI
 
Hata kama ni 'Mtu kwao',hii sasa imezidi. Aliyekuwa Spika wa Bunge la Tisa,Hayati Samwel Sitta alianzisha na kusimamia ujenzi wa Ofisi ya Spika huko Urambo,Tabora. Nyumbani na jimboni kwake. Ofisi ikajengwa.

Sasa unajengwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa huko Chato,Geita. Nyumbani na lililokuwa jimbo la Rais na Mwenyekiti wetu wa CCM,Dr. John Pombe Magufuli. Uwanja umeshaanza kujengwa na ujenzi umeshika kasi.

Ofisi ya Spika kule Urambo,kama ulivyo Uwanja wa Ndege wa Chato,ilijengewa hoja na kutetewa na Wabunge wetu wa CCM. Kwasasa,haijulikani Ofisi ile ya Urambo inatumikaje na inatumika na nani. Labda Spika Ndugai huwa anaitumia.

Mambo ya Urambo yaweza kujirudia Chato. Hii ndiyo courtesy begins at home? Urambo=Chato?

Bunduki za nini tena jamani katika kujenga hoja!?

Mzee Tupatupa wa Lumumba(kwasasa Kibiti,Pwani)
Wivu wenye husuda Kamwe hauna nafasi Duniani na Mbinguni.
 
Hata kama ni 'Mtu kwao',hii sasa imezidi. Aliyekuwa Spika wa Bunge la Tisa,Hayati Samwel Sitta alianzisha na kusimamia ujenzi wa Ofisi ya Spika huko Urambo,Tabora. Nyumbani na jimboni kwake. Ofisi ikajengwa.

Sasa unajengwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa huko Chato,Geita. Nyumbani na lililokuwa jimbo la Rais na Mwenyekiti wetu wa CCM,Dr. John Pombe Magufuli. Uwanja umeshaanza kujengwa na ujenzi umeshika kasi.

Ofisi ya Spika kule Urambo,kama ulivyo Uwanja wa Ndege wa Chato,ilijengewa hoja na kutetewa na Wabunge wetu wa CCM. Kwasasa,haijulikani Ofisi ile ya Urambo inatumikaje na inatumika na nani. Labda Spika Ndugai huwa anaitumia.

Mambo ya Urambo yaweza kujirudia Chato. Hii ndiyo courtesy begins at home? Urambo=Chato?

Bunduki za nini tena jamani katika kujenga hoja!?

Mzee Tupatupa wa Lumumba(kwasasa Kibiti,Pwani)
Empty vessel
 
Mkuu anataka airbus zianze sumbua kwa fasi pale ,yaan mixer watu kutoka nje kushangilia wakisikia zinapita.
 
Unamwambia nani?? Sidhani hata kama anasoma kwanza kinachoandikwa mitandaoni
 
Hata kama ni 'Mtu kwao',hii sasa imezidi. Aliyekuwa Spika wa Bunge la Tisa,Hayati Samwel Sitta alianzisha na kusimamia ujenzi wa Ofisi ya Spika huko Urambo,Tabora. Nyumbani na jimboni kwake. Ofisi ikajengwa.

Sasa unajengwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa huko Chato,Geita. Nyumbani na lililokuwa jimbo la Rais na Mwenyekiti wetu wa CCM,Dr. John Pombe Magufuli. Uwanja umeshaanza kujengwa na ujenzi umeshika kasi.

Ofisi ya Spika kule Urambo,kama ulivyo Uwanja wa Ndege wa Chato,ilijengewa hoja na kutetewa na Wabunge wetu wa CCM. Kwasasa,haijulikani Ofisi ile ya Urambo inatumikaje na inatumika na nani. Labda Spika Ndugai huwa anaitumia.

Mambo ya Urambo yaweza kujirudia Chato. Hii ndiyo courtesy begins at home? Urambo=Chato?

Bunduki za nini tena jamani katika kujenga hoja!?

Mzee Tupatupa wa Lumumba(kwasasa Kibiti,Pwani)
Huna lolote mzandiki wewe.
 
Wivu wenye husuda Kamwe hauna nafasi Duniani na Mbinguni.
Kweli mkuu wakati Mobutu Sese Seko anajenga uwanja wa ndege kijijini kwake watu walikuwa na wivu kama huu, leo uwanja unaingiza pesa nyingi za kigeni na kuchangia pato la taifa, kwani watalii mbali mbali wamekuwa wakimiminika kwenda kuyashangaa magofu na kujiuliza aliwezaje kujenga uwanja kama huo katikati ya lindi la umasikini wa wananchi wake.
9d5f02a2-ede1-4780-a3ed-4caab3e01c40-2060x1297.jpeg
8dbac820-e933-49a5-8883-4208baad971a-2060x1236.jpeg
 
Back
Top Bottom