Naufananisha Uwanja wa Ndege wa Chato na Ofisi ya Spika ya Urambo

Naufananisha Uwanja wa Ndege wa Chato na Ofisi ya Spika ya Urambo

Hata kama ni 'Mtu kwao',hii sasa imezidi. Aliyekuwa Spika wa Bunge la Tisa,Hayati Samwel Sitta alianzisha na kusimamia ujenzi wa Ofisi ya Spika huko Urambo,Tabora. Nyumbani na jimboni kwake. Ofisi ikajengwa.

Sasa unajengwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa huko Chato,Geita. Nyumbani na lililokuwa jimbo la Rais na Mwenyekiti wetu wa CCM,Dr. John Pombe Magufuli. Uwanja umeshaanza kujengwa na ujenzi umeshika kasi.

Ofisi ya Spika kule Urambo,kama ulivyo Uwanja wa Ndege wa Chato,ilijengewa hoja na kutetewa na Wabunge wetu wa CCM. Kwasasa,haijulikani Ofisi ile ya Urambo inatumikaje na inatumika na nani. Labda Spika Ndugai huwa anaitumia.

Mambo ya Urambo yaweza kujirudia Chato. Hii ndiyo courtesy begins at home? Urambo=Chato?

Bunduki za nini tena jamani katika kujenga hoja!?

Mzee Tupatupa wa Lumumba(kwasasa Kibiti,Pwani)
Haya yote yatapita duniani tunapita ukikumbuka hilo hakuna kinyamkera atakughasi
 
Wivu wenye husuda Kamwe hauna nafasi Duniani na Mbinguni.
Ni swala la muda tu utakuja kuelewa kinachozungumzwa maana kuna baazi ya watu hawaioni fitina wakati wa kuingia bari huiona wakati wa kuondoka
 
KWA AINA YA UWANJA UNAOJENGWA PALE,NGOJA NITAFUTE NAULI NIKATEMBELEE CHATO KUONA FURSA ZA UWEKEZAJI
Uwanja wa ndege sio stendi ya mabasi kusema tutauza korosho madirishani kwa ndege...! Mi naona punda wangejengewa tu fly over maana taa wamezizoea sasa
 
KWA AINA YA UWANJA UNAOJENGWA PALE,NGOJA NITAFUTE NAULI NIKATEMBELEE CHATO KUONA FURSA ZA UWEKEZAJI

Uanze nakiwanda cha magodoro ya bei nafuu . Si uliona kale kagodoro waliketi familia last week [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Hata kama ni 'Mtu kwao',hii sasa imezidi. Aliyekuwa Spika wa Bunge la Tisa,Hayati Samwel Sitta alianzisha na kusimamia ujenzi wa Ofisi ya Spika huko Urambo,Tabora. Nyumbani na jimboni kwake. Ofisi ikajengwa.

Sasa unajengwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa huko Chato,Geita. Nyumbani na lililokuwa jimbo la Rais na Mwenyekiti wetu wa CCM,Dr. John Pombe Magufuli. Uwanja umeshaanza kujengwa na ujenzi umeshika kasi.

Ofisi ya Spika kule Urambo,kama ulivyo Uwanja wa Ndege wa Chato,ilijengewa hoja na kutetewa na Wabunge wetu wa CCM. Kwasasa,haijulikani Ofisi ile ya Urambo inatumikaje na inatumika na nani. Labda Spika Ndugai huwa anaitumia.

Mambo ya Urambo yaweza kujirudia Chato. Hii ndiyo courtesy begins at home? Urambo=Chato?

Bunduki za nini tena jamani katika kujenga hoja!?

Mzee Tupatupa wa Lumumba(kwasasa Kibiti,Pwani)

mkuu kuna chochote unajua kuhusu mmiliki HALISI wa kwanza wa hii kamuni..


 
Mbaya zaidi Kampuni inayofanya ujenzi ni YAKE MWENYEWE.. MAYANGA CONTRACTORS ENGINEERING LTD...
Ni ile ile iliyofanya upanuzi wa Barabara inayotaka Mwanza Airport..
Aibu kabisa.
mkuu mbona ile ya upanuzi wa barabara ya Airport ni NYANZA ROAD WORK ama!!
 
Mbaya zaidi Kampuni inayofanya ujenzi ni YAKE MWENYEWE.. MAYANGA CONTRACTORS ENGINEERING LTD...
Ni ile ile iliyofanya upanuzi wa Barabara inayotaka Mwanza Airport..
Aibu kabisa.
Kumbe huyu bwana naye ni mpiga dili? mama yangu huyu2 mzee msema kweli mpenzi wa mungu
 
Back
Top Bottom