Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hoja kwa hoja itapendeza sanaHuna lolote mzandiki wewe.
Ndio hoja yangu hiyo kwa Wazandiki.Hoja kwa hoja itapendeza sana
Haya yote yatapita duniani tunapita ukikumbuka hilo hakuna kinyamkera atakughasiHata kama ni 'Mtu kwao',hii sasa imezidi. Aliyekuwa Spika wa Bunge la Tisa,Hayati Samwel Sitta alianzisha na kusimamia ujenzi wa Ofisi ya Spika huko Urambo,Tabora. Nyumbani na jimboni kwake. Ofisi ikajengwa.
Sasa unajengwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa huko Chato,Geita. Nyumbani na lililokuwa jimbo la Rais na Mwenyekiti wetu wa CCM,Dr. John Pombe Magufuli. Uwanja umeshaanza kujengwa na ujenzi umeshika kasi.
Ofisi ya Spika kule Urambo,kama ulivyo Uwanja wa Ndege wa Chato,ilijengewa hoja na kutetewa na Wabunge wetu wa CCM. Kwasasa,haijulikani Ofisi ile ya Urambo inatumikaje na inatumika na nani. Labda Spika Ndugai huwa anaitumia.
Mambo ya Urambo yaweza kujirudia Chato. Hii ndiyo courtesy begins at home? Urambo=Chato?
Bunduki za nini tena jamani katika kujenga hoja!?
Mzee Tupatupa wa Lumumba(kwasasa Kibiti,Pwani)
Pita kushoto Yono wee.
Ninakutakia uwekezaji uliotukukaKWA AINA YA UWANJA UNAOJENGWA PALE,NGOJA NITAFUTE NAULI NIKATEMBELEE CHATO KUONA FURSA ZA UWEKEZAJI
Ni swala la muda tu utakuja kuelewa kinachozungumzwa maana kuna baazi ya watu hawaioni fitina wakati wa kuingia bari huiona wakati wa kuondokaWivu wenye husuda Kamwe hauna nafasi Duniani na Mbinguni.
Tatizo ni mgongano wa kimasilahiWewe ulitaka kampuni iwe yako?
Uwanja wa ndege sio stendi ya mabasi kusema tutauza korosho madirishani kwa ndege...! Mi naona punda wangejengewa tu fly over maana taa wamezizoea sasaKWA AINA YA UWANJA UNAOJENGWA PALE,NGOJA NITAFUTE NAULI NIKATEMBELEE CHATO KUONA FURSA ZA UWEKEZAJI
Mhongano ndio jitu gani?Tatizo ni mhongano wa kimasilahi
Afwani lengo ilikua ni Mgongano.Mhongano ndio jitu gani?
KWA AINA YA UWANJA UNAOJENGWA PALE,NGOJA NITAFUTE NAULI NIKATEMBELEE CHATO KUONA FURSA ZA UWEKEZAJI
Hata kama ni 'Mtu kwao',hii sasa imezidi. Aliyekuwa Spika wa Bunge la Tisa,Hayati Samwel Sitta alianzisha na kusimamia ujenzi wa Ofisi ya Spika huko Urambo,Tabora. Nyumbani na jimboni kwake. Ofisi ikajengwa.
Sasa unajengwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa huko Chato,Geita. Nyumbani na lililokuwa jimbo la Rais na Mwenyekiti wetu wa CCM,Dr. John Pombe Magufuli. Uwanja umeshaanza kujengwa na ujenzi umeshika kasi.
Ofisi ya Spika kule Urambo,kama ulivyo Uwanja wa Ndege wa Chato,ilijengewa hoja na kutetewa na Wabunge wetu wa CCM. Kwasasa,haijulikani Ofisi ile ya Urambo inatumikaje na inatumika na nani. Labda Spika Ndugai huwa anaitumia.
Mambo ya Urambo yaweza kujirudia Chato. Hii ndiyo courtesy begins at home? Urambo=Chato?
Bunduki za nini tena jamani katika kujenga hoja!?
Mzee Tupatupa wa Lumumba(kwasasa Kibiti,Pwani)
Yatakushindaa! Lingekuwa sofa kutoka Danube mngetokwa povu pia.Uanze nakiwanda cha magodoro ya bei nafuu . Si uliona kale kagodoro waliketi familia last week [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Yatakushindaa! Lingekuwa sofa kutoka Danube mngetokwa povu pia.
Ndio hali halisi ya familia lakini.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] siyo kwa kagodoro kale
mkuu mbona ile ya upanuzi wa barabara ya Airport ni NYANZA ROAD WORK ama!!Mbaya zaidi Kampuni inayofanya ujenzi ni YAKE MWENYEWE.. MAYANGA CONTRACTORS ENGINEERING LTD...
Ni ile ile iliyofanya upanuzi wa Barabara inayotaka Mwanza Airport..
Aibu kabisa.
Kumbe huyu bwana naye ni mpiga dili? mama yangu huyu2 mzee msema kweli mpenzi wa munguMbaya zaidi Kampuni inayofanya ujenzi ni YAKE MWENYEWE.. MAYANGA CONTRACTORS ENGINEERING LTD...
Ni ile ile iliyofanya upanuzi wa Barabara inayotaka Mwanza Airport..
Aibu kabisa.