Siyabonga101
JF-Expert Member
- Mar 8, 2016
- 2,424
- 2,300
Shida unaiona wewe uliyejaa sumu ya Chuki na Ukabila.Oneni comments za mataahira!! Yaani wewe pamoja na kwamba umejaza mavi kichwani huoni kabisa shida iliyopo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida unaiona wewe uliyejaa sumu ya Chuki na Ukabila.Oneni comments za mataahira!! Yaani wewe pamoja na kwamba umejaza mavi kichwani huoni kabisa shida iliyopo?
KWA AINA YA UWANJA UNAOJENGWA PALE,NGOJA NITAFUTE NAULI NIKATEMBELEE CHATO KUONA FURSA ZA UWEKEZAJI
Mie nazingatia ndio maana nipo hapa nina nguvu ya kukujibu. Tatizo ni wewe na jamaa yako wagonjwa wa "upstairs" lakini hamtaki kutumia dawa kwa wakati....mnaishia kuropoka kila siku.Nawe zingatia kumeza ARV zako kwa wakati mkuu.
Una hakika unazingatia?Mie nazingatia ndio maana nipo hapa nina nguvu ya kukujibu. Tatizo ni wewe na jamaa yako wagonjwa wa "upstairs" lakini hamtaki kutumia dawa kwa wakati....mnaishia kuropoka kila siku.
Mkuu naomba utuwekee hapa picha za ofisi ya spika iliyopo Urambo. Wengi hatujawahi kuionaHata kama ni 'Mtu kwao',hii sasa imezidi. Aliyekuwa Spika wa Bunge la Tisa,Hayati Samwel Sitta alianzisha na kusimamia ujenzi wa Ofisi ya Spika huko Urambo,Tabora. Nyumbani na jimboni kwake. Ofisi ikajengwa.
Sasa unajengwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa huko Chato,Geita. Nyumbani na lililokuwa jimbo la Rais na Mwenyekiti wetu wa CCM,Dr. John Pombe Magufuli. Uwanja umeshaanza kujengwa na ujenzi umeshika kasi.
Ofisi ya Spika kule Urambo,kama ulivyo Uwanja wa Ndege wa Chato,ilijengewa hoja na kutetewa na Wabunge wetu wa CCM. Kwasasa,haijulikani Ofisi ile ya Urambo inatumikaje na inatumika na nani. Labda Spika Ndugai huwa anaitumia.
Mambo ya Urambo yaweza kujirudia Chato. Hii ndiyo courtesy begins at home? Urambo=Chato?
Bunduki za nini tena jamani katika kujenga hoja!?
Mzee Tupatupa wa Lumumba(kwasasa Kibiti,Pwani)
Hata kama ni 'Mtu kwao',hii sasa imezidi. Aliyekuwa Spika wa Bunge la Tisa,Hayati Samwel Sitta alianzisha na kusimamia ujenzi wa Ofisi ya Spika huko Urambo,Tabora. Nyumbani na jimboni kwake. Ofisi ikajengwa.
Sasa unajengwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa huko Chato,Geita. Nyumbani na lililokuwa jimbo la Rais na Mwenyekiti wetu wa CCM,Dr. John Pombe Magufuli. Uwanja umeshaanza kujengwa na ujenzi umeshika kasi.
Ofisi ya Spika kule Urambo,kama ulivyo Uwanja wa Ndege wa Chato,ilijengewa hoja na kutetewa na Wabunge wetu wa CCM. Kwasasa,haijulikani Ofisi ile ya Urambo inatumikaje na inatumika na nani. Labda Spika Ndugai huwa anaitumia.
Mambo ya Urambo yaweza kujirudia Chato. Hii ndiyo courtesy begins at home? Urambo=Chato?
Bunduki za nini tena jamani katika kujenga hoja!?
Mzee Tupatupa wa Lumumba(kwasasa Kibiti,Pwani)
Unajua matunda ya roho njemaWivu wenye husuda Kamwe hauna nafasi Duniani na Mbinguni.
Lipi hilo mkuu?Kuna jambo la kujifunza kutokana na utawala huu
Umeona eee! Anatufanya sisi wajingaanataja miradi yooote ila Chato na burigi hazitaji.
Tena nawasubiri kwa hamu hapawanakuja
Huyu ipo siku atafunguliwa mashitakaNasikia uwanja unapeleka madini nje kwa siri.
Unajua kitu kinachoitwa Economic Sense. Kama hujui toka kijiweni rudi darasani.Mbona ulalamiki miradi ya fly over kujengwa dar na si chato?
Kijijini Chato? Chato? Kwanini isiwe Geita au Katoro au Buseresere?
Kwa umimi huu.
Kwa ubinafsi huu.
Kwa ufujaji wa pesa huu.
Kwa ubabe huu
Kwa tabia hii ya ukanda.
Kwa tabia hii ya ukabila.
John must go. Hapati kura.
Na Watanzania tumeamua. Hatum-"beep" tunampigia kabisa.
Ujajibu swali la msingi kwanini ulalamiki flyover inajengwa dar? Why kujenga uwanja chato Ni nongwa? Kwani watu wa chato sio watanzania? Ungejua mantiki ya swali langu using uliza swaliUnajua kitu kinachoitwa Economic Sense. Kama hujui toka kijiweni rudi darasani.