technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Huyu ndiye Magufuli hii ndio chato International airport [emoji41][emoji41]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dar kuna idadi kubwa Sana ya watu na hivyo Kuna foleni kubwa Sana nyakati za asubh na jioni.dar? Why kujenga uwanja chato Ni nongwa?
anataja miradi yooote ila Chato na burigi hazitaji.
Sexless ni jamaa fulani aliyerejea baada ya miaka mitatu hukoo temboni.Kijijini Chato? Chato? Kwanini isiwe Geita au Katoro au Buseresere?
Kwa umimi huu.
Kwa ubinafsi huu.
Kwa ufujaji wa pesa huu.
Kwa ubabe huu
Kwa tabia hii ya ukanda.
Kwa tabia hii ya ukabila.
John must go. Hapati kura.
Na Watanzania tumeamua. Hatum-"beep" tunampigia kabisa.
Safi sana,huu ndo uwanja wa ndege wa Chato.Huyu ndiye Magufuli hii ndio chato International airport [emoji41][emoji41]View attachment 1568535View attachment 1568536View attachment 1568537View attachment 1568538View attachment 1568539View attachment 1568540View attachment 1568541
Nyumbu ni nyumbu tu.Hao wote wanaliwa na Simba mmoja tu JPM.nyumbu kwenye ubora wakoView attachment 1568554
Rubbish umeisha jengwa ,kanywe sumu ufe mbwa weweKijijini Chato? Chato? Kwanini isiwe Geita au Katoro au Buseresere?
Kwa umimi huu.
Kwa ubinafsi huu.
Kwa ufujaji wa pesa huu.
Kwa ubabe huu
Kwa tabia hii ya ukanda.
Kwa tabia hii ya ukabila.
John must go. Hapati kura.
Na Watanzania tumeamua. Hatum-"beep" tunampigia kabisa.
huko ulikokutaja hakuna tofauti na chatoKwa umimi huu.
Kwa ubinafsi huu.
Kwa ufujaji wa pesa huu.
Kwa ubabe huu
Kwa tabia hii ya ukanda.
Kwa tabia hii ya ukabila.
UnaAjengwa kijijini Chato? Uwanja wa mabilioni ya shilingi halafu ndege moja tu ndiyo inatua huko? Wakati wa krismas.Rubbish umeisha jengwa ,kanywe sumu ufe mbwa wewe
Kijijini Chato??!!!! Chato!???!!!huko ulikokutaja hakuna tofauti na chato
Dhahabu yote ya Geita itakua inaruka kutoka hapo,tutashusha hapo watalii kwenda kuwinda Burigi
Angalia sana chuki zako zinaweza kukupa kiungulia sugu
Angelalamika kama hiyo fly over ingejengwa Chato, kujenga fly over Dar kiuchumi ni jambo bora kabisa maana inaenda kutatua tatizo na kuchangia uchumi, sasa hiyo international airport Chato inatatua tatizo gani, inachangia kiasi gani kwenye uchumi?Mbona ulalamiki miradi ya fly over kujengwa dar na si chato?
Kwa reasoning kama hizi, kuna haja ya kuangalia upya mitaala ya elimu yetu ndio maana IQ ya watanzania is one of the lowest in the world.Ujajibu swali la msingi kwanini ulalamiki flyover inajengwa dar? Why kujenga uwanja chato Ni nongwa? Kwani watu wa chato sio watanzania? Ungejua mantiki ya swali langu using uliza swali
Kilaza kama wewe unaweza kuhoji kwa nini Bandari ya Mtwara inajengwa Mtwara na siyo MbeyaMbona ulalamiki miradi ya fly over kujengwa dar na si chato?
Hivi ule ugonjwa wake wa pushups umemrudia tena?Kama bado madaktari wake hawajamtibia tatizo hilo watakuwa wanatukosea sana sisi Watanzania.I'm not so sure if the man is mentally fit to persue Presidency rally!Halafu, mbona kwenye push-ups walinzi wake huwa 'chonjo' sana kuwainua wanaoshindana na mtu wao punde tu wakiona anakata upepo!!
Ujajibu swali la msingi kwanini ulalamiki flyover inajengwa dar? Why kujenga uwanja chato Ni nongwa? Kwani watu wa chato sio watanzania? Ungejua mantiki ya swali langu using uliza swali
Uwanja wa ndege wa Chato hauna manufaa kiuchumi..fullstopUjajibu swali la msingi kwanini ulalamiki flyover inajengwa dar? Why kujenga uwanja chato Ni nongwa? Kwani watu wa chato sio watanzania? Ungejua mantiki ya swali langu using uliza swali
Chadema akichukua Jiwe jela kwa kuvunja katibaRubbish umeisha jengwa ,kanywe sumu ufe mbwa wewe