hapo upo sawa, nilidhani eti humpendi mondi, sasa swala linakuja mondi is workin extremely hard while kiba amekiachia kipaji kimfanyie kazi ndio maana anapoteza mvuto. akifanya kazi nzuri tupo kumsupport bila kinyongo kabisaaaaa
Daimond ni bora kwa afya yako tafadhalii naona unadhoofika wasanii wengine watakupa msongo wa mawazo video hawatoiiii, chagua Daimond kwa afya yakooo
Umepona eeeee kwa afya yako sikiliza nyimbo mpya na video kali toka kwa msanii Mkali East Afrika Nzima amewakalishaaa Diamond Platnum ni kwa Afya yako tuuuy
Ataanzia wapi kumchukia Dai thubutuuuuuuuuuu
hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahaaa dina utaniuwaaaaa na kwa mens kengele lazima zigonganeeeeee.
Hata mgonjwa nalijua hilo....Dai kwa Afya....
Na hii thread iunganishwe!
.
Huu sio ushabiki tena ni ulimbukeni.[/QUOT
uuuwiii hivi nianzaje kuacha kumpenda mondi, kijana anaenipa mavitu matamu hivi.
Hili Jukwaa Sasa Limechuja
Na Radha Yake Imepotea Kabisa
Mbona Kuna CeLebrities Kibao Hapa Town:..Sasa Kwa Nini Mmebase Kwa Msanii Mmoja Tu?
Kwa Hii Tabia , Mi Nasema Nimechoka!
Jigo