Nauliza Hii Tabia Ya Kujaza Ukurasa Wa Hili Jukwaa Kwa Habari Za Msanii Mmoja, Mtaiacha Lini?

Nauliza Hii Tabia Ya Kujaza Ukurasa Wa Hili Jukwaa Kwa Habari Za Msanii Mmoja, Mtaiacha Lini?

Hili jukwaa wala halijachuja ndio limepamba moto!
Ni vigumu kuwapangia watu cha kujadili wakati umepoteza muda kulalamika badala ya kuanzisha thread unayo ona mpya halafu watu wajadili!

Samahani lakini!
 
Jamaa unatokea mji gani wewe? Dar es salaam sio town ni city au unatokea morogoro nini...acha kushusha hadhi jiji la watu wewe wa kuja nini? sijachangia habari za msanii sababu sijaona point ya kuchangia...

Umechangia Habari Za Nani Sasa?
 
Hili Jukwaa Sasa Limechuja
Na Radha Yake Imepotea Kabisa
Mbona Kuna CeLebrities Kibao Hapa Town:..Sasa Kwa Nini Mmebase Kwa Msanii Mmoja Tu?
Kwa Hii Tabia , Mi Nasema Nimechoka!
Jigo
Mi mgeni humu, kwani huyo msanii mmoja anayezungumziwa huyo huyo kila siku ni nani??
 
Hili jukwaa wala halijachuja ndio limepamba moto!
Ni vigumu kuwapangia watu cha kujadili wakati umepoteza muda kulalamika badala ya kuanzisha thread unayo ona mpya halafu watu wajadili!

Samahani lakini!

nakupendaga wewe hujui tu, halafu diamond ndo kalipambisha moto, raha sanaaa
 
Hili jukwaa wala halijachuja ndio limepamba moto!
Ni vigumu kuwapangia watu cha kujadili wakati umepoteza muda kulalamika badala ya kuanzisha thread unayo ona mpya halafu watu wajadili!

Samahani lakini!

Nimekupata Kiongozi
Kabla Sijatoa Thread Hyo Nikaona Kwanza Nitoe Hili Dukuduku Langu
Kweli Kila Mtu Na Uchaguzi Wake
Yaani Huoni Jukwaa Lilivyopoteza Hadhi?
Chunguza Hizo Thread Hapo Nje Ndo Utajua Nnachoongea Kina Maana Gani!
 
PAULA kilaki

uuuwiii hivi nianzaje kuacha kumpenda mondi, kijana anaenipa mavitu matamu hivi.[/QUOTE]

Shabash!!!!Leo nimekubamba....unakumbuka nilivyosema naanzanje kumchukia Kiba na sura yake ya upole bibi ukawaka hatariiii hadi ukatamani umjue mume wangu umpe umbeya???
Haya niambie hayo mavitu matamu anayokupa ndomo....sipati picha ningesema hivi ile siku....
 
Last edited by a moderator:
Aanhaa!! Kumbe ni yule ambae majirani zake wanawaka kimya kimya kwa kusema: "Aaaah, sasa hii sifa, na leo tena nyamaa... tunaumizana pua jamani!"

Huyo huyoooo... anawachomajeee
 
Mi nilikuwa sijafahamu... huyu nae kazidi misifa, hebu muambieni bhana, mambo gani haya kila siku nyama wakati majirani zake wakibana bana na kupata japo matembele, yanakosa hata nyanya!!!

Hahaaaa wakichoka matembele wapike hata dagaa wa chukuchuku
 
Hahaaaa wakichoka matembele wapike hata dagaa wa chukuchuku
Anayeshindia tembele kumwambia ahamie kwenye dagaa ni sawa na kumwambia mwenye uwezo wa maji ya Kandoro ahamie kwenye Uhai! Labda sema kama shida ni nyanya, basi hata nyanya chungu nazo nyanya; zitawasaidia kuongeza apetaiti. Na kama nongwa yao ni kwavile Mzee Mchalo kila siku kula nyama basi hata makongoro nayo nyama... wanaweza kupitia pitia angalau mara moja moja!
 
Anayeshindia tembele kumwambia ahamie kwenye dagaa ni sawa na kumwambia mwenye uwezo wa maji ya Kandoro ahamie kwenye Uhai! Labda sema kama shida ni nyanya, basi hata nyanya chungu nazo nyanya; zitawasaidia kuongeza apetaiti. Na kama nongwa yao ni kwavile Mzee Mchalo kila siku kula nyama basi hata makongoro nayo nyama... wanaweza kupitia pitia angalau mara moja moja!

Hahaaaaaa! Na watuache tulaleeeeee
 
Nimekupata Kiongozi
Kabla Sijatoa Thread Hyo Nikaona Kwanza Nitoe Hili Dukuduku Langu
Kweli Kila Mtu Na Uchaguzi Wake
Yaani Huoni Jukwaa Lilivyopoteza Hadhi?
Chunguza Hizo Thread Hapo Nje Ndo Utajua Nnachoongea Kina Maana Gani!

Mkuu Mimi natembelea sana na kuchangia sana hili jukwaa ndio maana nimeandika hivyo!

Kwa sababu ni jukwaa la celebrity ni lazima wajadiliwe celebrity na si kwasababu ya kuwa celebrity bali kwasababu wako hot kipindi hiki!

Hata kwenye maradio watu hulalamika nyimbo Fulani ndio zinapigwa sana kumbe wana sahau kuwa hizo zinapigwa kwa kuwa ziko kwenye chat na walaji ndio wanapenda kuzijadili!

Pengine wewe una shangaa watu wawili au mmoja kutawala jukwaa pengine majibu ni Yale Yale kuwa hao ndio wanao uza na hao ndio wana jadilika maana kuna kitu cha kuwafanya watu wajadili!

Na kuna ushahidi usio tia shaka wanao trend sana humu kwa mijadala ndio wanao ongelewa kwenye media zote bongo kwa kila siku bila shaka kwenye hili hutoomba ushahidi maana huko wazi!

Hata Mimi ningependa tusiwajadili au tusimjadili mtu mmoja kwenye jukwaa hili lakini ukiniuliza unataka tumjadili nani na kwasababu gani pengine naweza nisikupe jibu la haraka!

Pengine njia pekee ya kuondokana na hilo unalo fikiri ni tatizo ni kuanzisha mada zingine na uangalie...pengine ni wakati wao hao na ndio wanao uzika sana!

Pengine hadhi ya jukwaa Mimi na wewe tunaitafsiri tofauti .kwangu Mimi ninapo ona jukwaa linapata wachangiaji wengi kwenye mada hapo hadhi yake hiko juu na imeongezeka! Jukwaa hili unalo sema hadhi yake imeshuka lilikuwa limepooza sana miaka miwili iliyopita lakini kwa sasa ni Moja ya majukwaa hot hapa jf kama wewe si mgeni humu!

Pengine hadhi ya jukwaa ni zaidi ya kujadili watu wengi!
 
Back
Top Bottom