Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushapigwa cha jioni? Tuanzie hapo kwanzaMi naswali hapo mwanzo Mungu alitumbaa vitu, viumbe na Hawa na Adam, haya Sasa kwanini hadi wazungu waje kutuonyesha dini sahihi na huku Dunia ilishaumbwa mbona hakujitokeza kabla ni baada ya wazungu kutuambia yupo??🤦
Kwanini??Bado hujapata mume
Naelewa ila sijui nawaza tu nijueAtheist wanakuchanganya,the bible is spiritual book,it's not material as you think
Mzungu Alisambaza ukristo alioupokea Kwa MitumeNaelewa ila sijui nawaza tu nijue
Lakini wengine waliweka maslahi Yao humoMzungu Alisambaza ukristo alioupokea Kwa Mitume
Waliupokea kwa Mtume gani?Mzungu Alisambaza ukristo alioupokea Kwa Mitume
Tunazungumza Kwa context ya biblia, the thelve apostlesWaliupokea kwa Mtume gani ?
Nd nauliza waliupokea kwa mtume gani hasa? Hao hao wa biblia unaowaongeleaTunazungumza Kwa context ya biblia,the thelve apostles
Cycle ya wazungu hasa wakristo inachekesha sana, mie mie nmekaa nao America na UK ila nikashia kuona hawa jamaa sio kabisa.Wazungu wengi ni wapsgani nyakati hizi
Petros, Paul Barnabas, Yohana, BartholemeoNd nauliza waliupokea kwa mtume gani hasa ? Hao hao wa biblia unaowaongelea
Kanisa Katoliki ni wamiliki wa Imani, imani zote ukitoa uyahudi zimetokana na imani ya Kanisa Katoliki.Kuna jambo umekaririshwa vibaya,hakuna mwenye hatimiliki ya imani
Hata wazungu walimjua kuptia wayahudi! MUNGU alikusudia iwe hivyo mkuu Yani tumjue kupitia haoMi naswali hapo mwanzo Mungu alitumbaa vitu, viumbe na Hawa na Adam, haya Sasa kwanini hadi wazungu waje kutuonyesha dini sahihi na huku Dunia ilishaumbwa mbona hakujitokeza kabla ni baada ya wazungu kutuambia yupo??🤦
Yeah ndo haohao.. Paulo alitembelea maeneo Kama Spain,Italy,turkey nk kusambaza injiliNd nauliza waliupokea kwa mtume gani hasa ? Hao hao wa biblia unaowaongelea