Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi naswali hapo mwanzo Mungu alitumbaa vitu, viumbe na Hawa na Adam, haya Sasa kwanini hadi wazungu waje kutuonyesha dini sahihi na huku Dunia ilishaumbwa mbona hakujitokeza kabla ni baada ya wazungu kutuambia yupo??🤦
Hakuna dini sahihi yoyote ile chini ya jua.Mi naswali hapo mwanzo Mungu alitumbaa vitu, viumbe na Hawa na Adam, haya Sasa kwanini hadi wazungu waje kutuonyesha dini sahihi na huku Dunia ilishaumbwa mbona hakujitokeza kabla ni baada ya wazungu kutuambia yupo??🤦
Usikufuru mambo ya kiimani.. Hayana mwisho mwema...!Mi naswali hapo mwanzo Mungu alitumbaa vitu, viumbe na Hawa na Adam, haya Sasa kwanini hadi wazungu waje kutuonyesha dini sahihi na huku Dunia ilishaumbwa mbona hakujitokeza kabla ni baada ya wazungu kutuambia yupo??[emoji1751]
Wazungu kwenye Ukristo ni wajuzi tu hapaWazungu hawajui dini ? Mambo ya dini wazungu sio asili yao, wao wenyewe waliletewa tu, wakafanya ukarabati wanavotaka wao ionekane machoni mwa watu, alaf nd waka anza kuisambaza. Ukitaka kujua dini, tembelea nchi zenye asili ya Dini, nchi zenye chimbuko na asili ya Mitume unayoiamini wewe.(nikiongelea Mitume siongelei kina mwamposa na wenzake wanaojipachika utume na unabii) nadhani umenielewa.
[emoji23][emoji23] [emoji119]sija kutusi njoo bhana kunakitu nikuelekeze.wee ni binti mzuri sana sawa ee mrembo?
Hayo ni facts ambazo zina proof.Hata Mambo ya akina Isaac Newton unayaamini pia na umeletew kwann usiamini sayansi ya hao mababu unaowasemea?
Wazungu kwa asilimia kubwa ndio waanzilish wa ukristoWazungu kwenye Ukristo ni wajuzi tu hapa
Labda tupate tafsiri sahihi ya wazungu.. Je waroma na wagiriki ni wazungu? Waisrael je?Wazungu kwa asilimia kubwa ndio waanzilish wa ukristo
So vtu vya MUNGU havina proof? Wewe mwenyew upo hai Ni proof toshaHayo ni facts ambazo zina proof.
Mungu amewahi kushusha dini duniani? Dini gani ambayo siyo man made?Wazungu hawajui dini? Mambo ya dini wazungu sio asili yao, wao wenyewe waliletewa tu, wakafanya ukarabati wanavyotaka wao ionekane machoni mwa watu, halafu nd wakaanza kuisambaza. Ukitaka kujua dini, tembelea nchi zenye asili ya Dini, nchi zenye chimbuko na asili ya Mitume unayoiamini wewe.(nikiongelea Mitume siongelei kina mwamposa na wenzake wanaojipachika utume na unabii) nadhani umenielewa.
Dini zote ni man made hakuna sehem Mungu amesema amezileta, ispokua dini moja tu ambayo ni Uislam Mungu amesema wazi ameileta yeye na anaetaka kufaulu siku ya mwisho basi awe muislam na afuate mafundisho ya Uislam na atekeleze na yeyote atakaejichagulia dini isiyokua Uislam basi huyo yupo katika khasara kubwa. (Quran 5:3.)Mungu amewahi kushusha dini duniani? Dini gani ambayo siyo man made?
Labda kama ulitaka muujiza wa Mungu kujidhihirisha kwa watu wote duniani pote kwa wakati mmoja, ila kila kitu kina mahali pa kuanzia kisha kinasambaa. Mfano kwenye ukristo, UKRISTO (kumuamini KRISTO/UFUASI KWA YESU KRISTO) ulianzia kwa yeye YESU kisha kwa wanafunzi wake, baada ya kuwapa training ya kutosha, siku anapaa (kwa imani ya kikirsto) aliwaachia Roho Mtakatifu na maagizo kuwa ,Mimi nina swali, hapo mwanzo Mungu aliumba vitu, viumbe na Hawa na Adam, haya sasa kwanini hadi wazungu waje kutuonyesha dini sahihi na huku Dunia ilishaumbwa, mbona hakujitokeza kabla ni baada ya wazungu kutuambia yupo??🤦